Faiza fo..yule atakuwa mbibiWapi...
Watoto wazuri na mashangazi wazuri wapo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Faiza fo..yule atakuwa mbibiWapi...
Watoto wazuri na mashangazi wazuri wapo...
BICHWA KOMWE - huko wapi?Mbona nasikia JF hakuna wasichana na kwamba yote hii unayoiona ni mibaba inasemekana lakini
Kwako Evelyn SaltMimi napata. Sijui wenzangu...
Wet dreams ndo nini kwani, au ndo kuota unakimbizwa hadi unatoka jasho....
Ahahhahahaha ww tena??? Labda ndoto za kuota una kojoa kitandani...Wet dreams ndo nini kwani, au ndo kuota unakimbizwa hadi unatoka jasho....
Acha bhana tuulize tuongeze ujuzi kadri wakati unaenda😁Oyaa weeeeh uhuru umezidi sasa kwa hii nchi
Tunaomba ufafanuzi zaidiMimi napata. Sijui wenzangu...
Kila mtu na hisia zake....Tunaomba ufafanuzi zaidi
UmepatiaMbona nasikia JF hakuna wasichana na kwamba yote hii unayoiona ni mibaba inasemekana lakini
Nilikuwa na huzuni ya ijumaa kuu ya kifo cha Yesu, hata uo mpunga haukulika jirani 🤦🏼♂Jirani hujaniita pasaka niufinye mpunga 🤣🤣🤣
UchoyoNilikuwa na huzuni ya ijumaa kuu ya kifo cha Yesu, hata uo mpunga haukulika jirani 🤦🏼♂
Jirani mi sio mchoyo kabisa au nikumegee hatua chache kwenye kiwanja changu?Uchoyo
Toka mwaka uanze leo ndio umeongea point sasa jirani!!! 😍😍😍Jirani mi sio mchoyo kabisa au nikumegee hatua chache kwenye kiwanja changu?
Na hapo umeniita mchoyo mara moja, imagine ukiniita mara 7 itakuaje?Toka mwaka uanze leo ndio umeongea point sasa jirani!!! 😍😍😍
Fanya hivo jirani