Ndoivo kuna swaga fulani hivi mwanaume akikumwagia mwenyewe unaingia mkengeHahaha... Hapa ndiyo napocheka kwa dhaaraau...
Swaga is for boys... Young boys...
A man like me i don't need swag to get a lady like you... Because i know where when and how to get you...
Wewe cheka tu kama ni mazuri...
Nyuma geuka maanake nini? Anakichogo au??Ndoivo kuna swaga fulani hivi mwanaume akikumwagia mwenyewe unaingia mkenge
Hasa hizo swaga zinapoendana na vitendo dah taratiiiibu unazama mzima mzima teh
Kasheshe inakuja anaposema nyuma geuka..
KhakhaakhaaaaaNyuma geuka maanake nini? Anakichogo au??
Ndiyo masiingie kingi kwa sababu ya swaga...Khakhaakhaaaaa
Nacheka kama mazuri vile
Si maisha ni kama gwaride akisema nyuma geuka wa kwanza anakua wa mwisho
Ndomana sitaki kukurupuka TehtehNdiyo masiingie kingi kwa sababu ya swaga...
Use your brain..
There is something you don't and i'm not going to tell you....Ndomana sitaki kukurupuka Tehteh
Sina haraka na maisha miyeeee
What's that?! Ninong'oneze basiiiiThere is something you don't and i'm not going to tell you....
Hapana... Kwani shida ipo wapi... Kesho si jumapili usijali...What's that?! Ninong'oneze basiiii
Au twende chemba kidogo
Una akili had basi.... Nimekupenda bureHamna Mkuu ni kawaida hata wengine wanazaa Sana tuu sema umaarufu unafanya watambulike zaidi kwasababu wanafuatiliwa na big crowd akiwemo na Wewe. Ni sawa na akifa wazir au Kiongoz Mkubwa watu watashtuka wakati maskin wanakufa kilasiku kwA ajari, migogoro ya ardhi, majambazi, vita, njaa lakn watu hawashtuk wanaona kawaida..
Ukiamua????Kupata twins nasikia ni malengo
Hata wewe hapo ambaye sio tajiri wala superstar unaweza kupata ukiamua
NOTE:sifahamu ni kiaje
Haa Wee mwanaume mbona Mgumu hivo!Hapana... Kwani shida ipo wapi... Kesho si jumapili usijali...
Huh!! Hunipeleki chemba wala PM... Siendi huko nimegoma...
Nakujua vuzuri sana wewe... Nitashikwa na kigugumizi huko nijikute naimba mapambio...
Ivi mna habari kua mungu ndie anaeumba???? Mungu ndie muamuaji. Hata ungekula na kunywa nini kama mungu kapanga hakupi na hutapata.Eti nasikia mapacha huwa hawawezi kamwe kuzaa watoto mapacha hivi ni kweli???
Nasikia tu binafsi sijui
Ila I like twins lol!
Nilisikia tu mamitoIvi mna habari kua mungu ndie anaeumba???? Mungu ndie muamuaji. Hata ungekula na kunywa nini kama mungu kapanga hakupi na hutapata.
Wala sina ugumu kwako... Ila scratch my back and i will scratch your back... You know what do and where to find me...Haa Wee mwanaume mbona Mgumu hivo!
Ukimjua mtu hakupi shida kwenye kuishi nae
Ukiimba mapambio ndo kulegea kwenyew huko
Thanks[emoji7][emoji7]Una akili had basi.... Nimekupenda bure
Una utani wa ngumi lolWala sina ugumu kwako... Ila scratch my back and i will scratch your back... You know what do and where to find me...
Ila @mahodaw sikushindi wewe kwa kunidengulia... Mara umenuna kidogo, mara umenichekea kwa sana, mara kimya, mara unaniuliza nipo wapi... Mungu anakuona...
Ila ijumaa manusura roho ikutoke... Hahahah... Ujanja wote mfukoni.
Hahaha... Nacheka kwa dhaaraaau...Una utani wa ngumi lol
Ijumaa nilichungulia kaburi Wee acha tu
Hapo pa ijumaa hapo umegusa pasipo yani mulemule pozi zote kwishaaaa
Madolido kwishaaaa
Usingizi kwishaaaa hahahaah si ya kucheka haya
Hapana chezea aisee hata nguvu ya kula kwishaaaa hahahaahHahaha... Nacheka kwa dhaaraaau...
Wewe si unajionaga shujaa... Nikasema ngoja huyu dawa yake leo ipo...
Wacha uanze kupiga kelele... Mbili hazikai moja haikii...
Ila serious nilikuonea ilifika point nakuonea huruma... Ndiyo ukapumua sasa...