Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Mwaka jana majira haya nchi za Ulaya na Marekani walikuwa kwenye kipindi kigumu sana.
Raia wao walikuwa wakifa maelfu na maelfu kwa siku sababu ya Corona.
Mbona mwaka huu hawafi? Na ninasikia Kuna wave 2.0 ya Corona ambayo ni mbaya zaidi kuliko ile ya Mwaka jana?
Raia wao walikuwa wakifa maelfu na maelfu kwa siku sababu ya Corona.
Mbona mwaka huu hawafi? Na ninasikia Kuna wave 2.0 ya Corona ambayo ni mbaya zaidi kuliko ile ya Mwaka jana?