Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
- Thread starter
- #41
Excellent put...You might have a point... lakini kumbuka haya
1. Ajira ilisimamishwa
2. Madaraja yalisimamishwa
HIYO EFFECT YA WAFANYAKAZI HEWA NA WA VYETI FEKI, UMEIONA KWEYE GRAPH? Kwa maelezo uliyoyatoa, nilitegemea graph ipande, ifike mwaka wa kuondolewa wafanyakazi hewa na wa vyeti feki, at least kuwe na significant drop ya gharama, then ipande kwa uliyoyasema...
Ulivyoongea ni as if baada ya kutoka walioondoka, wakaajiriwa wapya wa ghara ile ile kama walioondolewa na siku hiyo hiyo walioondolewa...
Kumbuka hili..
Wale wakurugenzi 8 waliotumbuliwa, watano walikuwa replaced emadiately wakati kesi bado inaunguruma... Kwa hiyo, waliotumbuliwa wakawa wanaendelea kulipwa mishahara.. Hii maana yake, kwa nafasi zile 5, mishara miwili ilikuwa inalipwa kwa nafasi moja... aliyetumbuliwa na mpya... THIS WENT ON FOR A YEAR.. na watumbuliwa wakaja lipwa..!!! UFAHAMU TU KWAMBA PARTLY, MISHAHARA ILIPANDA KWA SABABU YA MAAMUZI YASIYOFUATA TARATIBU TULIZOJIWEKEA
This is very good.. good
Umetoa hoja nzuti sana 100%... kuna wanajaribu kubisha lakini, sioni kama wanakuja na hoja zaidi ya matusi.