Beberu ni mtu yeyote anayetaka kukupa msaada au huduma kwa njia ya kukudhalilisha, anayetaka kuchukua uhuru wako, kwa kutumia nguvu zake au uwezo wake kifedha nk,
jina beberu linatumika kwa mfano wa mbuzi dume ambae hupenda kumtolea sauti nzito shingoni mwa mbuzi jike hasa pale anapotaka kufanya mapenzi na mbuzi jike
Hivyo huonyesha kama anamkoromea mbuzi jike.
Sasa mabeberu wa kizungu hupenda kutaka kutukoromea sisi waafrica na kutumia misaad yao kutunyanyasa na kutupangia wanachotaka wao hata kama ni cha kudhalilisha.
Mfano mmoja ni ushoga.