Swali la kizushi: Hebu tutajie jina moja tu la X wako aliyewahi kukuacha lakini bado unampenda

Swali la kizushi: Hebu tutajie jina moja tu la X wako aliyewahi kukuacha lakini bado unampenda

Bata batani

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2011
Posts
3,217
Reaction score
3,694
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea hebu mtaje X wako kwa jina moja tuu ambae hadi leo bado unampenda

Mimi upande wangu kipenzi changu mtoto Kissa wa pale Mbezi kwa makabe umeniacha mwaka tano hadi leo hii bado namkumbuka bado nampenda

Wewe je?
 
Hatukuachana Anaitwa JOYCE

Tukapige kura kuchagua kiongozi Mzuri wa Taifa letu, kiongozi Mwenye Nia ya Dhati na Maendeleo ya Tanzania, kiongozi anae jenga uchumi wa Nchi yetu tusichague kiongozi kwa Kumuonea Huruma

Kila Mtu atimize jukumu lake kwa Maendeleo ya Taifa
 
Back
Top Bottom