Swali la kizushi: Hebu tutajie jina moja tu la X wako aliyewahi kukuacha lakini bado unampenda

Swali la kizushi: Hebu tutajie jina moja tu la X wako aliyewahi kukuacha lakini bado unampenda

Ex wangu naempenda mpka kesho kasha comment juu huko..

naomba kuuliza kama hamjafanya chochote pia si ni ex au ni rafiki wa kike?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea hebu mtaje X wako kwa jina moja tuu ambae hadi leo bado unampenda

Mimi upande wangu kipenzi changu mtoto Kissa wa pale Mbezi kwa makabe umeniacha mwaka tano hadi leo hii bado namkumbuka bado nampenda

Wewe je?
Consolatha
 
Yule mrembo alikuwa anaitwa Ndukulukusucho Sumbalawinyola alikuwa anatokea Ikungulyabhashahsi, nilimpenda Sana, Hadi leo sijapenda kama nimpendavyo
Mkuu kwa hilo jina na anakotokea yaelekea ni kuku wa kienyeji,kwa fununu tu nasikia ni watamu balaa
 
Ex na bado nikupende..maajabu haya

Ila huu Uzi umedhihurisha namna gani wanawake wengi tunaingia kwenye mahusiano ya wanaume wa wengine..Yani upo nae ila moyo upo kwa ex wake😂😂😂 mashokoro
 
Ex na bado nikupende..maajabu haya

Ila huu Uzi umedhihurisha namna gani wanawake wengi tunaingia kwenye mahusiano ya wanaume wa wengine..Yani upo nae ila moyo upo kwa ex wake😂😂😂 mashokoro
Inauma sana wakwetu, usikute hata bae wangu sahii moyo wake unaishi kwa dear ex..!!
 
Hell nuh'...!
Nimeskia aibu vile mtu anavyotaka kuikana Le Family, while anajua Mimi ni No. 1 fan wake.!
Aliekuambia nina familia ni muongo, tena anatuchonganisha na anataka kutugombanisha. Mimi nipo singo walahi, tena bado mvulana kabisa hata memba wa humu wanatambua...🙄🙄
 
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea hebu mtaje X wako kwa jina moja tuu ambae hadi leo bado unampenda

Mimi upande wangu kipenzi changu mtoto Kissa wa pale Mbezi kwa makabe umeniacha mwaka tano hadi leo hii bado namkumbuka bado nampenda

Wewe je?
mpakato
 
Back
Top Bottom