Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanatizuga huku mambo yao yakienda kulingana na mipango yao.Angalia bambika ya ugaidi.Hawa ccm sina imani nao kabisa. Hili la Sabaya litakuja kufia juu kwa juu tu hawa watu sio watu wazuri kabisa. Hapa tunachezeshewa sinema tu.
kama ni hela watakula sana! atapuruswa hataamini!Dalili zinaonesha anapata treatment first class, hata huyo askari magereza alivyosimama hapo karibu yake anaonekana kabisa anamsikiliza bosi wake, inawezekana zile pesa alizojilimbikizia ndio zinamfanya sasa hivi aishi gerezani kama mfalme.
Mmeshaanza kutubambika na kutupeleka kisa katiba mpya,msijali ongezeni juhudi.Na nyie nendeni mkanenepe.
Mbowe is a rose flower hata umpe majina yote mabaya atabaki kuwa rose flowerNew terrorists in town.....[emoji44][emoji44][emoji44]nae si ni gaid kama gaid mbowe wote wanalalia ngumi na kujifunika leso[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1871933
The beauty of a rose, it continues to give out aroma in rain and in sunshine.Mbowe is a rose flower hata umpe majina yote mabaya atabaki kuwa rose flower
Siku yako inakuja,kwa sasa endelea kujimwambafai,ni muda wenu kutubambikia kwa Sasa Ila tunataka katiba mpya.Na nyie nendeni mkanenepe.
Mbona ananawili na kitambi kinaongezeka, yuko poa kabisa as if nalala Kilimanjaro Hotel ya enzi za Israel!
View attachment 1871922
Ona walio gerezani Gagnija
View attachment 1871946
Mbowe Sabaya ni chalii za Arusha,Jela ni kitu gani ntaenda ntaachiwa,kama ni kesi mbuzi nyingi nishasingiziwa.Siku yako inakuja,kwa sasa endelea kujimwambafai,ni muda wenu kutubambikia kwa Sasa Ila tunataka katiba mpya.