Swali la kizushi: Hivi kweli Sabaya analala gerezani?

Swali la kizushi: Hivi kweli Sabaya analala gerezani?

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Mbona ananawili na kitambi kinaongezeka, yuko poa kabisa as if nalala Kilimanjaro Hotel ya enzi za Israel!

1627487080960.png



Ona walio gerezani Gagnija
1627488494576.jpeg
 
Dalili zinaonesha anapata treatment first class, hata huyo askari magereza alivyosimama hapo karibu yake anaonekana kabisa anamsikiliza bosi wake, inawezekana zile pesa alizojilimbikizia ndio zinamfanya sasa hivi aishi gerezani kama mfalme.
 
Dalili zinaonesha anapata treatment first class, hata huyo askari magereza alivyosimama hapo karibu yake anaonekana kabisa anamsikiliza bosi wake, inawezekana zile pesa alizojilimbikizia ndio zinamfanya sasa hivi aishi gerezani kama mfalme.
kama ni hela watakula sana! atapuruswa hataamini!
 
Duh. SABAYA Amepata mda mzuri wa kukaa na kutafakari namna ya kuifanya mambo makubwa Zaidi.
 
Kusema ukweli Johnson Johnson iwahishwe magere ni, kwa huu unene wa Sabaya akipata Covid hali yake itakua mbaya sana.
 
Hakuna kinachoendelea hapo zaidi ya kuwaadaa watanzania.

Kuna polisi kaniambia kukamatwa kwa sabaya ilikuwa ni chambo ya kuja kumkamata Mbowe.

Katumika kama chambo na amesema hukumu ya mbowe itafika kabla ya hukumu ya sabaya na mbowe atafungwa mpaka 2025 kabla ya uchaguzi

Lengo ni kukwamisha katiba mpya.
 
Siku yako inakuja,kwa sasa endelea kujimwambafai,ni muda wenu kutubambikia kwa Sasa Ila tunataka katiba mpya.
Mbowe Sabaya ni chalii za Arusha,Jela ni kitu gani ntaenda ntaachiwa,kama ni kesi mbuzi nyingi nishasingiziwa.
 
Back
Top Bottom