Swali la kizushi - Je Pesa za TFF zinazodaiwa kupigwa na Malinzi ni Mali ya Umma ?

Swali la kizushi - Je Pesa za TFF zinazodaiwa kupigwa na Malinzi ni Mali ya Umma ?

Kwa uelewa wangu mdogo, hize hela sio za umma na wala serikali haina mamlaka ya kuingilia na kuwakamata viongozi wa TFF. Naongezea maswali mawili ya kizushi;-
1. Alieshtaki nani takukuru?
2. Ukaguzi wanoutumia takukuru alifanya nani na kwa niaba ya nani?
Angalizo, wasijione wana meno, basi wakayatumia hata kung'ata chuma!!!
Tujiulize swali la msingi hivi magari ya TFF yana namba gani za usajili? Ni SU au?
 
Kosa lolote la jinai linalofanyika ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kosa dhidi ya Jamhuri, na Jamhuri ndio ina mamlaka ya kumpeleka mtuhumiwa mahakamani na kumshitaki.
 
Nimeuliza makusudi ili nipate ufafanuzi .

Kuna fungu lolote kutoka serikalini linatengwa na kuingizwa kwenye akaunti ya TFF ? Nakumbuka wakati wa FAT ya Muhidin Ndolanga , FIFA ilipiga Marufuku kwa serikali kuingilia masuala ya soka , sasa siku hizi FIFA wamebadili msimamo wao ?

Je hela zile ni za Umma ama ni mchango wa FIFA kwa TFF ?

.....................................................
UPDATES
FIFA yaingilia kati , ambapo imetuma ujumbe kuja kufuatilia sakata hilo , inatarajiwa Jumanne ijayo kutafanyika kikao kati ya wajumbe wa FIFA na viongozi wa TFF walionusurika .
Nadhani SI MALI YA UMMA ila timu ya taifa ni mali ya umma.serikali na wananchi inawapaga sana michango timu zetu za taifa..ndio maana serikali iliingilia kujua kwann pesa zinahamishwa kutoka accnt moja kwenda nyingine wakati FIFA wanatoaga hela na hazitumiki ipasavyo
 
Ila wizi wa fedha za TFF ni kazi ya FIFA?

Au umechangia ili uonekane unajua kusoma na kuandika?
Mpuuze.

Wengine wanaandika waonekane tu wamebishana na Asupirini..

Mwambie akasome Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa namba 11 ya mwaka 2007.

Aisome na taarifa ya CAG juu ya ubadhirifu wa fedha za TFF (kisha ajiulize ni kwa nini CAG ana mamlaka ya kukagua akaunti za TFF?)
 
Hivi,huyo aliyemlipa Nyonzima, (Kama ni kweli) halafu akaja kuuzwa kwa bei ya mara nne ya aliyonunuliwa. Je huyo aliyetoa hiyo hela,hana haki ya kuchukua hiyo fedha?
Na jeee,kuhusu kuikopesha klabu,si pamoja na mishahara walipwayo wachezaji?
Kama katoa kwa utashi wake kuisaidia club, bado mchezaji anakuwa mali ya club. Lakini kama kuna makubaliano rasmi ya kimaandishi na kisheria kwamba ni mkopo au kama akiuzwa alipwe vipi, hilo suala lingine lingine.
Umeona mara nyingi wachezaji wanalipwa cash bila hata kupitia bank
 
Mpuuze.

Wengine wanaandika waonekane tu wamebishana na Asupirini..

Mwambie akasome Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa namba 11 ya mwaka 2007.

Aisome na taarifa ya CAG juu ya ubadhirifu wa fedha za TFF (kisha ajiulize ni kwa nini CAG ana mamlaka ya kukagua akaunti za TFF?)
Ahsante kwa ufafanuzi mkuu...

Ila umepotea sana mazee... ulikuwa wapi siku zote hizi?
 
mnamuona malinzi tu je maney loundering ya simba ni za uma? mwizi ni mwizi na wakiachwa serikali itaonekana ya ovyo takukuru kamata wote Hans Pop alishaonjeshwa bado MO na yeye. ajiandae
Hivi Manji tayari vile, nauliza tu
 
Mzee Dodoma kuna eneo linaitwa Hazina. Lile eneo lipo kabla ya hiyo Hazina Ndogo. Ni maeneo tofauti.

Unasemea hazina hii ambayo ipo upande wa kulia mwa barabara inayokwenda UDOM auu!??May be ninaifahamu hazina ndogo tu mkuu..hiyo nyingine siifahamu ndiyo umenielewesha hapo.[emoji1474]
 
Nimeuliza makusudi ili nipate ufafanuzi .

Kuna fungu lolote kutoka serikalini linatengwa na kuingizwa kwenye akaunti ya TFF ? Nakumbuka wakati wa FAT ya Muhidin Ndolanga , FIFA ilipiga Marufuku kwa serikali kuingilia masuala ya soka , sasa siku hizi FIFA wamebadili msimamo wao ?

Je hela zile ni za Umma ama ni mchango wa FIFA kwa TFF ?

.....................................................
UPDATES
FIFA yaingilia kati , ambapo imetuma ujumbe kuja kufuatilia sakata hilo , inatarajiwa Jumanne ijayo kutafanyika kikao kati ya wajumbe wa FIFA na viongozi wa TFF walionusurika .
Mi nikujibu ifuatavyo, ila sijui kama utanielewa.
Ingekua tuko utawala wa nchi uliopita hizi fedha zingekua ni mali binafsi,
Ila kwa sababu tuko kwenye utawala Mpya wa hapa Kazi tu basi hizi ni fedha za Uma, lazima serikali izikomalie irregardless FIFA watasema nini
 
Unasemea hazina hii ambayo ipo upande wa kulia mwa barabara inayokwenda UDOM auu!??May be ninaifahamu hazina ndogo tu mkuu..hiyo nyingine siifahamu ndiyo umenielewesha hapo.[emoji1474]
Hapana. Hazina ipo maeneo ya kuelekea Iringa Road. Ukitoka Majengo Sokoni kuna barabara (wenyewe wa kanda yakati wakielekezana wanasema magharibi) inayoelekea Relini . Ukivuka Reli, hizo nyumba ndio eneo la Hazina. Au kama unakwenda Mirembe ukivuka Central Polisi na kanisa la Roma upande wa kulia ndio Hazina
 
Back
Top Bottom