Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #101
Kwani utawala huu una nini ? Kwa taarifa yako wale wote waliotumbuliwa bandarini akiwemo Pedesheee Masamaki watashinda kesi asubuhi na mapema .Mi nikujibu ifuatavyo, ila sijui kama utanielewa.
Ingekua tuko utawala wa nchi uliopita hizi fedha zingekua ni mali binafsi,
Ila kwa sababu tuko kwenye utawala Mpya wa hapa Kazi tu basi hizi ni fedha za Uma, lazima serikali izikomalie irregardless FIFA watasema nini
Mkuu kesi za siku hizi hua zina "Maelekezo Kutoka Juu", hakuna jaji asiejipenda wala kupenda kibarua chakeKwani utawala huu una nini ? Kwa taarifa yako wale wote waliotumbuliwa bandarini akiwemo Pedesheee Masamaki watashinda kesi asubuhi na mapema .
Mi nikujibu ifuatavyo, ila sijui kama utanielewa.
Ingekua tuko utawala wa nchi uliopita hizi fedha zingekua ni mali binafsi,
Ila kwa sababu tuko kwenye utawala Mpya wa hapa Kazi tu basi hizi ni fedha za Uma, lazima serikali izikomalie irregardless FIFA watasema nini
Hawajawahi kuruhusu kamwe, ila shida yao ni kua hua wanatakaga watu wao wawahukumu wao FIFA wenyeweFIFA wanaruhusu ufisadi?
Hawajawahi kuruhusu kamwe, ila shida yao ni kua hua wanatakaga watu wao wawahukumu wao FIFA wenyewe
Una uhakika kama tuhuma za Malinzi ni za kweli ?fifa wametoa pesa kwa maendeleo ya soka TZ Sio kwa Malinzi kama ilikuwa yake wangeingiza kwenye ac yake. Amefanya makosa wacha akae
Lakini mbona mara zote wanaangukia pua ?Mkuu kesi za siku hizi hua zina "Maelekezo Kutoka Juu", hakuna jaji asiejipenda wala kupenda kibarua chake
Sorry mkuu sikupata iyo habari.Huyu jamaa hastahili kuongoza soka. Pia nami nilijitahidi kumuona.
Kijana wa watu utamkuta amejikunyata kwenye uwanja wa Dundie akitizama wenzake wanavyofurahia vipaji vyao. Maskini, hajui aafanyaje na wala hakuna wa kumsaidia kinachosikitisha ni kwamba ameumia wakati akiliwakilisha taifa!
Kvp?Mwesigwa alimtembelea huyo dogo majuzi kati ila kijana huyo pia alionekana na mtoto wa 2 yrs!!!
Ahsante kwa ufafanuzi Mkuu,Kwa makosa ya kimpira na sio masuala ya pesa na ubadhirifu. Blatter alichunguzwa na FBI akahukumiwa na Mahakama ya uko Uswisi.
Duu. High reasoning kweli kweliNadhani unapaswa kwanza kujua nini maana ya "uma"
Serikali kutoingilia masuala ya soka... je wizi ni suala la soka?
Uhalifu ni uhalifu tu. Au kwamfano Malinzi angefanya mauaji angeachwa kwakuwa FIFA imekataza serikali kutoingilia masuala ya soka?
Mkuu hatumtetei Malinzi ( nifuatilie vizuri ) , nimeweka uzi huu kwa mpango maalumAhsante kwa ufafanuzi Mkuu,
Maana kuna watu humu wanamtetea Malinzi utadhani wna undugu nae
Ahsante kwa ufafanuzi Mkuu,
Maana kuna watu humu wanamtetea Malinzi utadhani wna undugu nae
Mkuu Malinzi ni rais km JPM ila tofauti ni kwamba hana kinga ya kushtakiwa so muache aisome namba.Nadhani unapaswa kwanza kujua nini maana ya "uma"
Serikali kutoingilia masuala ya soka... je wizi ni suala la soka?
Uhalifu ni uhalifu tu. Au kwamfano Malinzi angefanya mauaji angeachwa kwakuwa FIFA imekataza serikali kutoingilia masuala ya soka?
Tetesi zinaonyesha kwamba Frank Wanjiru ni komandoo anayenufaika na kukaa mlangoni kwenye mechi za ligi kuu .Hao wamezoea kula pesa za TFF,kama yule Frank Wanjiru kakimbia kabisa baada ya boss wake kuwekwa ndani.
Amah! kumbe ni halali kula pesa za FIFA?Nimeuliza makusudi ili nipate ufafanuzi .
Kuna fungu lolote kutoka serikalini linatengwa na kuingizwa kwenye akaunti ya TFF ? Nakumbuka wakati wa FAT ya Muhidin Ndolanga , FIFA ilipiga Marufuku kwa serikali kuingilia masuala ya soka , sasa siku hizi FIFA wamebadili msimamo wao ?
Je hela zile ni za Umma ama ni mchango wa FIFA kwa TFF ?
.....................................................
UPDATES
FIFA yaingilia kati , ambapo imetuma ujumbe kuja kufuatilia sakata hilo , inatarajiwa Jumanne ijayo kutafanyika kikao kati ya wajumbe wa FIFA na viongozi wa TFF walionusurika .
Si wewe ndugu yangu, wapo watu wanaotoa Omo ya kutosha tu kua Malinzi anaonewaMkuu hatumtetei Malinzi ( nifuatilie vizuri ) , nimeweka uzi huu kwa mpango maalum
Yaani kweli wewe ni mtupu, ela mpaka zitolewe na serikali ndio ziwe za umma.Nimeuliza makusudi ili nipate ufafanuzi .
Kuna fungu lolote kutoka serikalini linatengwa na kuingizwa kwenye akaunti ya TFF ? Nakumbuka wakati wa FAT ya Muhidin Ndolanga , FIFA ilipiga Marufuku kwa serikali kuingilia masuala ya soka , sasa siku hizi FIFA wamebadili msimamo wao ?
Je hela zile ni za Umma ama ni mchango wa FIFA kwa TFF ?
.....................................................
UPDATES
FIFA yaingilia kati , ambapo imetuma ujumbe kuja kufuatilia sakata hilo , inatarajiwa Jumanne ijayo kutafanyika kikao kati ya wajumbe wa FIFA na viongozi wa TFF walionusurika .