Swali la kizushi - Je Pesa za TFF zinazodaiwa kupigwa na Malinzi ni Mali ya Umma ?

Swali la kizushi - Je Pesa za TFF zinazodaiwa kupigwa na Malinzi ni Mali ya Umma ?

Mi nikujibu ifuatavyo, ila sijui kama utanielewa.
Ingekua tuko utawala wa nchi uliopita hizi fedha zingekua ni mali binafsi,
Ila kwa sababu tuko kwenye utawala Mpya wa hapa Kazi tu basi hizi ni fedha za Uma, lazima serikali izikomalie irregardless FIFA watasema nini
Kwani utawala huu una nini ? Kwa taarifa yako wale wote waliotumbuliwa bandarini akiwemo Pedesheee Masamaki watashinda kesi asubuhi na mapema .
 
Kwani utawala huu una nini ? Kwa taarifa yako wale wote waliotumbuliwa bandarini akiwemo Pedesheee Masamaki watashinda kesi asubuhi na mapema .
Mkuu kesi za siku hizi hua zina "Maelekezo Kutoka Juu", hakuna jaji asiejipenda wala kupenda kibarua chake
 
Mi nikujibu ifuatavyo, ila sijui kama utanielewa.
Ingekua tuko utawala wa nchi uliopita hizi fedha zingekua ni mali binafsi,
Ila kwa sababu tuko kwenye utawala Mpya wa hapa Kazi tu basi hizi ni fedha za Uma, lazima serikali izikomalie irregardless FIFA watasema nini

FIFA wanaruhusu ufisadi?
 
Inafika mahali sasa sitaki kuamnin kwamba kuna mtu anazuiya uchaguz na kwann tiftif wanakuwa iviii tupen mpira wetu
 
fifa wametoa pesa kwa maendeleo ya soka TZ Sio kwa Malinzi kama ilikuwa yake wangeingiza kwenye ac yake. Amefanya makosa wacha akae
 
fifa wametoa pesa kwa maendeleo ya soka TZ Sio kwa Malinzi kama ilikuwa yake wangeingiza kwenye ac yake. Amefanya makosa wacha akae
Una uhakika kama tuhuma za Malinzi ni za kweli ?
 
Huyu jamaa hastahili kuongoza soka. Pia nami nilijitahidi kumuona.
Kijana wa watu utamkuta amejikunyata kwenye uwanja wa Dundie akitizama wenzake wanavyofurahia vipaji vyao. Maskini, hajui aafanyaje na wala hakuna wa kumsaidia kinachosikitisha ni kwamba ameumia wakati akiliwakilisha taifa!
Sorry mkuu sikupata iyo habari.
Uyo jamas ilikuaje kuaje
 
Nadhani unapaswa kwanza kujua nini maana ya "uma"

Serikali kutoingilia masuala ya soka... je wizi ni suala la soka?

Uhalifu ni uhalifu tu. Au kwamfano Malinzi angefanya mauaji angeachwa kwakuwa FIFA imekataza serikali kutoingilia masuala ya soka?
Duu. High reasoning kweli kweli
 
Ahsante kwa ufafanuzi Mkuu,
Maana kuna watu humu wanamtetea Malinzi utadhani wna undugu nae
Mkuu hatumtetei Malinzi ( nifuatilie vizuri ) , nimeweka uzi huu kwa mpango maalum
 
Nadhani unapaswa kwanza kujua nini maana ya "uma"

Serikali kutoingilia masuala ya soka... je wizi ni suala la soka?

Uhalifu ni uhalifu tu. Au kwamfano Malinzi angefanya mauaji angeachwa kwakuwa FIFA imekataza serikali kutoingilia masuala ya soka?
Mkuu Malinzi ni rais km JPM ila tofauti ni kwamba hana kinga ya kushtakiwa so muache aisome namba.
 
Hao wamezoea kula pesa za TFF,kama yule Frank Wanjiru kakimbia kabisa baada ya boss wake kuwekwa ndani.
Tetesi zinaonyesha kwamba Frank Wanjiru ni komandoo anayenufaika na kukaa mlangoni kwenye mechi za ligi kuu .
 
Nimeuliza makusudi ili nipate ufafanuzi .

Kuna fungu lolote kutoka serikalini linatengwa na kuingizwa kwenye akaunti ya TFF ? Nakumbuka wakati wa FAT ya Muhidin Ndolanga , FIFA ilipiga Marufuku kwa serikali kuingilia masuala ya soka , sasa siku hizi FIFA wamebadili msimamo wao ?

Je hela zile ni za Umma ama ni mchango wa FIFA kwa TFF ?

.....................................................
UPDATES
FIFA yaingilia kati , ambapo imetuma ujumbe kuja kufuatilia sakata hilo , inatarajiwa Jumanne ijayo kutafanyika kikao kati ya wajumbe wa FIFA na viongozi wa TFF walionusurika .
Amah! kumbe ni halali kula pesa za FIFA?
 
Nimeuliza makusudi ili nipate ufafanuzi .

Kuna fungu lolote kutoka serikalini linatengwa na kuingizwa kwenye akaunti ya TFF ? Nakumbuka wakati wa FAT ya Muhidin Ndolanga , FIFA ilipiga Marufuku kwa serikali kuingilia masuala ya soka , sasa siku hizi FIFA wamebadili msimamo wao ?

Je hela zile ni za Umma ama ni mchango wa FIFA kwa TFF ?

.....................................................
UPDATES
FIFA yaingilia kati , ambapo imetuma ujumbe kuja kufuatilia sakata hilo , inatarajiwa Jumanne ijayo kutafanyika kikao kati ya wajumbe wa FIFA na viongozi wa TFF walionusurika .
Yaani kweli wewe ni mtupu, ela mpaka zitolewe na serikali ndio ziwe za umma.
Kwani TFF ni mali ya nani? Kama sio ya serikali ya Tanzania inayoshughulikia soka la TZ
Kama ni ya serikali basi kila kiingiacho ni cha serikali ya TZ kwa ajili ya soka letu.
Huwezi kula kula wala kubadilisha matumizi ya TFF bila kufuata masharti au kanuni zilizowekwa.
 
Back
Top Bottom