Swali la kizushi kwa Kiranga.

Swali la kizushi kwa Kiranga.

Kwa huu mfano ndo nmeelewa zaidi
Ukiambiwa "sumu haiepukiki, ukinywa maji yaliyosafishwa kabisa yatakuwa na sehemu ndogo ya sumu, hata usipovuta sigara hiyo hewa unayovuta ina kiasi kidogo cha sumu".

Hiyo inamaanisha uende kutafuta dawa ya panya na kuinywa kwa sababu sumu haiepukiki?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom