Swali la kizushi: Unaweza kugombana na mzungu masaa mangapi? Kwa english yako hiyo

Swali la kizushi: Unaweza kugombana na mzungu masaa mangapi? Kwa english yako hiyo

Deejay nasmile

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2011
Posts
5,794
Reaction score
5,352
Swali la kizushi: Kwa hiyo english yako unayojivunia unaweza kugombana na mzungu masaa mangapi?

Yaan mfano imetokea mmekwaluza kidogo labda kakuovertake kibabe,kakuchukulia dem wako baa,au labda kakupakazia mbovu kwa bosi wako, demu au mwana.

Sasa yeye ni mzungu na lugha ya english ndo kazalwa nayo...na wewe ndio umejifunzia tu darasani.

Je, unaweza kufokeana/kubishana/kutukana nae kwa dk ngapi?

NB: Raha ya ugomvi/ubishi mmoja aumie kwa maneno yatakayomuuma (yaani aelewe tusi hilo lina maana gani)
 
Halafu ndugu Bora mzungu muarabu ndo kiboko akianza kuongea tu hujui ni yeye ndo anaongea au kapandisha majini ama inaongea Al shabab..
Kina alshabab sekunde tu ashajilipua kubishana mtaenda kubishania ahera huko..🤣
 
Halafu ndugu Bora mzungu muarabu ndo kiboko akianza kuongea tu hujui ni yeye ndo anaongea au kapandisha majini ama inaongea Al shabab..
Kina alshabab sekunde tu ashajilipua kubishana mtaenda kubishania ahera huko..🤣
Hatari sana wale jamaa
 
Back
Top Bottom