Swali la kizushi: Unaweza kugombana na mzungu masaa mangapi? Kwa english yako hiyo

Swali la kizushi: Unaweza kugombana na mzungu masaa mangapi? Kwa english yako hiyo

Mkuu naomba kuupdate comment yangu sahivi nimeimprove kidogo naweza bishana dk 1 huku the the kibao ila ntamkazia hivo hivo 😂 na hili neno moja litakua likijirudia "don't play with me" i will bast your mendulaa"😂😂
 
Itategemeana kama na hasira nitakuwa nazo maana wazungu wenyewe wakiwa humu Tz kwetu huwa ni wapole sana sijui utaanzia wapi kukwaruzana nao
 
Si utani mkuu nipo serious [emoji23]

Unenikumbusha siku nafanya presentation ya Project yaku Chuoni [emoji28][emoji28]. Nilipiga rehearsal ya kutosha mwenyewe tu asee, Nikawa nimejiaminisha nitafanya vizuri maana wakati nikiwa pekee yangu nilikuwa najiona niko sawa. Sasa nilipofika pale mbele ngeli yangu iliyeyuka nikawa nahangaika kutamka maneno ambayo niliyapigia msuli. Sijui nini ilikuwa..! [emoji28][emoji28][emoji28].
 
Swali la kizushi: Kwa hiyo english yako unayojivunia unaweza kugombana na mzungu masaa mangapi?

Yaan mfano imetokea mmekwaluza kidogo labda kakuovertake kibabe,kakuchukulia dem wako baa,au labda kakupakazia mbovu kwa bosi wako, demu au mwana.

Sasa yeye ni mzungu na lugha ya english ndo kazalwa nayo...na wewe ndio umejifunzia tu darasani.

Je, unaweza kufokeana/kubishana/kutukana nae kwa dk ngapi?

NB: Raha ya ugomvi/ubishi mmoja aumie kwa maneno yatakayomuuma (yaani aelewe tusi hilo lina maana gani)
sekunde sita tu zinatosha ...kwa kuwa nitabaki you..you..you...take...my...me..baby..shit..shit..you!
 
Unenikumbusha siku nafanya presentation ya Project yaku Chuoni [emoji28][emoji28]. Nilipiga rehearsal ya kutosha mwenyewe tu asee, Nikawa nimejiaminisha nitafanya vizuri maana wakati nikiwa pekee yangu nilikuwa najiona niko sawa. Sasa nilipofika pale mbele ngeli yangu iliyeyuka nikawa nahangaika kutamka maneno ambayo niliyapigia msuli. Sijui nini ilikuwa..! [emoji28][emoji28][emoji28].
Hata mm nina huo ugonjwa..nikiwa najiongelesha peke angu..najikubali hatari...kivumbi kinaanza nikiwa naongea na mtu sasa.duh
 
Unenikumbusha siku nafanya presentation ya Project yaku Chuoni [emoji28][emoji28]. Nilipiga rehearsal ya kutosha mwenyewe tu asee, Nikawa nimejiaminisha nitafanya vizuri maana wakati nikiwa pekee yangu nilikuwa najiona niko sawa. Sasa nilipofika pale mbele ngeli yangu iliyeyuka nikawa nahangaika kutamka maneno ambayo niliyapigia msuli. Sijui nini ilikuwa..! [emoji28][emoji28][emoji28].
Kama nakuona the the you know😂😂🙌
 
Kama nakuona the the you know[emoji23][emoji23][emoji119]

IMG_1256.jpg

[emoji23][emoji23]
 
Kwa akili yako kisoda Mwanaume hugombana kwa Maneno? Kama wewe ni "ke" uko sawa.

Mwanaume ukishaniambia tusi
Kifuatacho ni kukuvujisha maji ya rangi tu
 
Back
Top Bottom