Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
unajifanya unaijua sana jf sio....wote tumeingia mwak mmoja humu afu saiv unajifanya unaleta za akina sadalaNashauri jf kuwe na interview kabla ta kuwa member. Maana watu wanatoka fesibuku wanaleta utoto huku. Shubamiti @β¬Β£β©@$%&Β₯β©β¬@@Β€γΒ€β
Hahaha..wawili katika 20Dhu! Ni wache watakao fika dakika 5.
Aah wewe hata sekunde mbili humalizi...lazima tu utasema "nalog off"Muda wowote hata akitaka tukeshe. Atanielewa tu πππ
Nalog off
Lazima ataniomba po,utamsikia oh Mr Washawasha im so sorry i was kutania you. Please log off. Nami nitamjibuAah wewe hata sekunde mbili humalizi...lazima tu utasema "nalog off"
Hahahhaa huku ukiwaambia waandishi wa habari "nyi tokeni huko"Lazima ataniomba po,utamsikia oh Me Washawasha im so sorry i was kutania you. Please log off. Nami nitamjibu
Nalog off
Hatari sana wale jamaaHalafu ndugu Bora mzungu muarabu ndo kiboko akianza kuongea tu hujui ni yeye ndo anaongea au kapandisha majini ama inaongea Al shabab..
Kina alshabab sekunde tu ashajilipua kubishana mtaenda kubishania ahera huko..π€£
Hahaha baada ya hapo ni kusepa kimya kimyaDah nna "the the you know nyingi" nadhani hata dk 1 haiwezi kuisha ntakua out of wordsππ
"Yu de basti my mendulaa"π
Hahaha...hiyo mtafika mpaka ubaloziniYeye kama yeye anaweza bishana na mimi kiswahili kwa dakika ngapi?
π π πHahaha...hiyo mtafika mpaka ubalozini