Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 2,823
- 3,816
Dah nna "the the you know nyingi" nadhani hata dk 1 haiwezi kuisha ntakua out of words[emoji23][emoji23]
"Yu de basti my mendulaa"[emoji23]
Topic yako inafurahisha.... [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Yaani hii lugha nikiambiwa hata nipresent kitu dah natoka mijasho hadi vidole vya miguuni😂😂😂Nimecheka kimoyo moyo mpaka basi..! Daah Mambo ya Ngeli bhana mpka uwe unakizungumza mara kwa mara
Hapo itakua ngoma droo, patachimbika😂😂Yeye atagomba kiingereza mimi kimatumbi
Mkuu naomba kuupdate comment yangu sahivi nimeimprove kidogo naweza bishana dk 1 huku the the kibao ila ntamkazia hivo hivo [emoji23] na hili neno moja litakua likijirudia "don't play with me" i will bast your mendulaa"[emoji23][emoji23]
Si utani mkuu nipo serious 😂Hahahaha ..! Ila wewe Mkuu unautani mwingi. [emoji23]
Hebu kama ni wew tuambie utadum dk ngapi...au utaishia tu kusema youu!!! Youu!! OohTopic yako inafurahisha.... 🤣 🤣 🤣
Si utani mkuu nipo serious [emoji23]
sekunde sita tu zinatosha ...kwa kuwa nitabaki you..you..you...take...my...me..baby..shit..shit..you!Swali la kizushi: Kwa hiyo english yako unayojivunia unaweza kugombana na mzungu masaa mangapi?
Yaan mfano imetokea mmekwaluza kidogo labda kakuovertake kibabe,kakuchukulia dem wako baa,au labda kakupakazia mbovu kwa bosi wako, demu au mwana.
Sasa yeye ni mzungu na lugha ya english ndo kazalwa nayo...na wewe ndio umejifunzia tu darasani.
Je, unaweza kufokeana/kubishana/kutukana nae kwa dk ngapi?
NB: Raha ya ugomvi/ubishi mmoja aumie kwa maneno yatakayomuuma (yaani aelewe tusi hilo lina maana gani)
Hata mm nina huo ugonjwa..nikiwa najiongelesha peke angu..najikubali hatari...kivumbi kinaanza nikiwa naongea na mtu sasa.duhUnenikumbusha siku nafanya presentation ya Project yaku Chuoni [emoji28][emoji28]. Nilipiga rehearsal ya kutosha mwenyewe tu asee, Nikawa nimejiaminisha nitafanya vizuri maana wakati nikiwa pekee yangu nilikuwa najiona niko sawa. Sasa nilipofika pale mbele ngeli yangu iliyeyuka nikawa nahangaika kutamka maneno ambayo niliyapigia msuli. Sijui nini ilikuwa..! [emoji28][emoji28][emoji28].
Say true! (Sema kweli)Siku nzima
Kama nakuona the the you know😂😂🙌Unenikumbusha siku nafanya presentation ya Project yaku Chuoni [emoji28][emoji28]. Nilipiga rehearsal ya kutosha mwenyewe tu asee, Nikawa nimejiaminisha nitafanya vizuri maana wakati nikiwa pekee yangu nilikuwa najiona niko sawa. Sasa nilipofika pale mbele ngeli yangu iliyeyuka nikawa nahangaika kutamka maneno ambayo niliyapigia msuli. Sijui nini ilikuwa..! [emoji28][emoji28][emoji28].
Kama nakuona the the you know[emoji23][emoji23][emoji119]
Hata mm nina huo ugonjwa..nikiwa najiongelesha peke angu..najikubali hatari...kivumbi kinaanza nikiwa naongea na mtu sasa.duh
Kama nakuona the the you know[emoji23][emoji23][emoji119]