Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau poleni kwa msiba.
Nazungumzia ubuyu unaotumiwa kama tunda au chakula ukipendwa zaidi na wamama na ukiwa na rangi tofauti tofauti maarufu zaidi rangi nyekundu.
Ninapenda jua kama ni sahihi kwa mtu mwanamume kula ubuyu?
Karibuni kwa ushauri.
Nazungumzia ubuyu unaotumiwa kama tunda au chakula ukipendwa zaidi na wamama na ukiwa na rangi tofauti tofauti maarufu zaidi rangi nyekundu.
Ninapenda jua kama ni sahihi kwa mtu mwanamume kula ubuyu?
Karibuni kwa ushauri.