Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Ndiyo maana nikauliza unataka jibu la kisheria na kikatiba au la uhalisia wa maisha ya Mtanzania?See, that’s the problem with us Tanzanians.
We are complete pussies. Too docile.
We are scared to take the bull by the horns and do what’s in our best interest.
Kipindi cha Magufuli tulikaa kimya kabisa kuhusu katiba.
Sasa hivi tunabembeleza tupate hisani ya Samia.
Ndo maana CCM wanatuchezea sana.
Kiuhalisia katiba inaruhusu mikutano ya kisiasa, lakini rais kapiga marufuku na watu wamekubali.