Swali la msingi: Je, kulikuwa na sababu ya kumbadilisha IGP?

Swali la msingi: Je, kulikuwa na sababu ya kumbadilisha IGP?

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Amekuja Wambura, lakini hajafanya any positive development katika jeshi la polisi kwa utendaji wake unaolalamikiwa na watanzania wote! Mama Samia kwanini alimbadilisha Siro?

Walio wengi walitarajia mabadiliko katika utendaji wa polisi particularly katika kuzingatia haki za binadamu wanapofanya kazi ya upolisi.

Kuzingatia PGO manifesto, hawaijui kama ipo duniani. Nilitegemea Wambura awafanye wajue kuwa kuna PGO inayowaongoza katika kazi zao na waifuate kama msahafu.

Mambo ni yale yale ya polisi kuua katika vituo vyao wakiwa na watuhumiwa, kubambikia watu kesi, kudhulumu watu kwa rushwa (trafiki) na makundi mengine ya polisi.

WAS THERE A NEED TO REPLACE SIRO WITH WAMBURA?


TO ME, THIS IS MY CONCLUSION:
Changes are geared to consolidate power! not for the service/BETTERMENT of people, POOR ONES!!
 
Swali hilo fikirishi ni chepeo la kufukulia kaburi, ambapo umeishia juu juu tu kulichimba.

Kama mabadiliko ni kwa ajili ya maboresho, basi swali lako lingeenda sambamba na wafuatao: Kalemani vs Makamba, Ndugulile vs Nauye na wengine mizigo ambao walipobadilishwa na kuchukua nafasi walizonazo, Tz imeingia kwenye kadhia ya ugumu wa maisha usiomithilika.

Nadhani mabadiliko yanayofanywa na mheshimiwa huwa ni kwa ajili ya kuimarisha timu yake na si kwa ajili ya kuboresha maisha ya raia.
 
Swali hilo fikirishi ni chepeo la kufukulia kaburi, ambapo umeishia juu juu tu kulichimba.

Kama mabadiliko ni kwa ajili ya maboresho, basi swali lako lingeenda sambamba na wafuatao: Kalemani vs Makamba, Ndugulile vs Nauye na wengine mizigo ambao walipobadilishwa na kuchukua nafasi walizonazo, Tz imeingia kwenye kadhia ya ugumu wa maisha usiomithilika.

Nadhani mabadiliko yanayofanywa na mheshimiwa huwa ni kwa ajili ya kuimarisha timu yake na si kwa ajili ya kuboresha maisha ya raia.
Then you have it! Changes are geared to consolidate power! not for the service of the people!
 
Kuna kitu naomba kueleweshwa,Siro hajastaafu jesho la polisi ila kapelekwa ubalozini akiwa na cheo chake,Sasa IGP ni Wambura akiwa na cheo hiko hiko...Je nani Senior kati ya Siro na Wambura? na je wote wana cheo kimoja na madaraka tofauti?
 
Amekuja Wambura, lakini hajafanya any positive development katika jeshi la polisi kwa utendaji wake unaolalamikiwa na watanzania wote! Mama Samia kwanini alimbadilisha Siro?

Walio wengi walitarajia mabadiliko katika utendaji wa polisi particularly katika kuzingatia haki za binadamu wanapofanya kazi ya upolisi.

Kuzingatia GPO manifesto, hawaijui kama ipo duniani. Nilitegemea Wambura awafanye wajue kuwa kuna GPO inayowaongoza katika kazi zao na waifuate kama msahafu.

Mambo ni yale yale ya polisi kuua katika vituo vyao wakiwa na watuhumiwa, kubambikia watu kesi, kudhulumu watu kwa rushwa (trafiki) na makundi mengine ya polisi.

WAS THERE A NEED TO REPLACE SIRO WITH WAMBURA?


TO ME, THIS IS MY CONCLUSION:
Changes are geared to consolidate power! not for the service/BETTERMENT of people, POOR ONES!!
Afande Siro alistaafu walikua wanampq mikataba ya miaka miwili miwili
 
Hili jeshi linatakiwa kuvunjwa vipande vipande! Halafu ndipo tuanzishe sasa jeshi lingine la kisasa kabisa; la kuwalinda raia na mali zao.

Hili la sasa lipo kwa ajili ya kukilinda chama dola, kulinda baadhi ya wahalifu, kubambikia watu kesi, kuua, kujeruhi, kuomba na kupokea rushwa, nk.
 
Alivyo baba ndivyo na mwana alivyo mfumo mzima wa nchi ni mbovu sio jeshi la polisi peke yake kama tumekubali kuongozwa na wezi msitegemee mabadiliko yoyote tusubiri fadhila za mshika rungu akizungusha vibaya linamnasa mtu kimy kimya hakuna kelele. Ccm ni chama la wezi bila kuliondoa tutalalama milele.
 
Afande Siro alishafika umri wa kustaafu muda tu,walikua wanampa mikataba ya miaka miwili miwili
Sio kweli, Sirro kwa Sasa ana miaka 59. Umri wa kustaafu bado.

Raisi anaweza kumteua IGP amtakaye, si lazima awe na sirro
 
Hili jeshi linatakiwa kuvunjwa vipande vipande! Halafu ndipo tuanzishe sasa jeshi lingine la kisasa kabisa; la kuwalinda raia na mali zao.

Hili la sasa lipo kwa ajili ya kukilinda chama dola, kulinda baadhi ya wahalifu, kubambikia watu kesi, kuua, kujeruhi, kuomba na kupokea rushwa, nk.
😃😅😁😄😆😃😅
 
Back
Top Bottom