mapesa yamejaa
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 1,412
- 3,419
Kama ni mabadiliko yaanzie kwa chief hangaya.Ajiuzulu ili tupate mzalendo wa kuwashughulikia hawa watumishi wasiotimiza wajibu wao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
IGP ni cheo ingawa Polisi kwa cheo hicho wanakitumia kwa kumuita mkuu wa jeshi la polisi pia.Kuna kitu naomba kueleweshwa,Siro hajastaafu jesho la polisi ila kapelekwa ubalozini akiwa na cheo chake,Sasa IGP ni Wambura akiwa na cheo hiko hiko...Je nani Senior kati ya Siro na Wambura? na je wote wana cheo kimoja na madaraka tofauti?
Mangu siyo "active" ni mstaafu.Na Mangu aliyeondolowe ndio akaingia Siro, naye tusemeje
Anaingia ofisi ya Wambura, Wambura atanyanyuka na kumpigia saluti, kisha Siro ataandika jina kwenye kitabu cha wageni na kukalia benchi, kwa sababu kiti anachokalia Wambura ni kiti cha madaraka ambayo siro hana.siro akirudi nyumbani akaamua kwenda ofisini pale makao makuu ya polisi atakalia ofisi gani?
KabisaNadhani mabadiliko yanayofanywa na mheshimiwa huwa ni kwa ajili ya kuimarisha timu yake na si kwa ajili ya kuboresha maisha ya raia.
Should be Police General Orders! slip of a pen mistake......Kwa hiyo bwana mstaafu @Retired GPO ndiyo kitu gani, au PGO ndiyo unatamka GPO? Yaani kwako P=G na G=P?