Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Ya inzi au mende?Nilidanganywa ccm ni chama cha mapinduzi kumbe ni cha mauaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya inzi au mende?Nilidanganywa ccm ni chama cha mapinduzi kumbe ni cha mauaji
Mi mwenyewe DEM 😂😂BRAZA CHOGO sijui we unalitazamaje hili la mkeo kuolewa.
Mme wako akifa uko tayari kuolewa?😁Mi mwenyewe DEM 😂😂
Mkuu hufai😹Pia nilishaambiwa kuwa mshamba anatakiwa achekwe na kubezwa lakini baada ya kukua nikagundua kuwa mshamba_hachekwi bali anaonewa huruma na kusaidiwa.
Halafu niliambiwa ukifa mke na watoto wako hawatapata tabu kwani atarithiwa na kaka au mdogo wako au kuolewa kwingine lakini kwa wivu nilionao naomba Nikifa MkeWangu Asiolewe.
BRAZA CHOGO sijui we unalitazamaje hili la mkeo kuolewa.
hahaha..eti ndugu Shetani alikuwa chawa wa Sir God,ikatokea kutokuelewana..akatupwa duniani. DaahUsipotupa jino juu ya bati halioti tena
😁😅Inauma.... Ila itabidi uzoee...😂😂Haya maneno na mengine mengi aliniambia baada ya Mimi kwenda kuishi Kwa dada(shemeji) yangu na kugoma kurudi kijiji. Yaliniumiza sana maneno hayo. Hata Leo hii siwezi shobokea maisha ya mtu mwingine yasiyo nisaidia kitu.
Duh! Mpaka hapa wazee na watu wote wa zamani nimewavua heshima.Radi ( Ladu ) Lina mapembe na linapigana na Kondoo kweli kweli.
Linaunguza mti eti ila linashindwa Kichwa Cha Kondoo.
Unalijua Ladu wewe ?😂😂Duh! Mpaka hapa wazee na watu wote wa zamani nimewavua heshima.
Ni nini mkuu.Unalijua Ladu wewe ?😂😂
ThubutuuuuhMjamzito akila mayai atazaa mtoto asie na nywele.
Hii debate ilikuwa haipiti wiki mbili tunarudia1. Kwamba.... Elimu ni ufunguo wa maisha.
Sasa swali langu ni kwamba vipi wale ambao hawaja ipata elimu, huo ufunguo ndio wanakua wameukosa??
Je wale wanaipata elimu, wanauhakika wa kufanikiwa kwasababu tayari wanamiliki ufunguo wa maisha??
Eti Education is better than Money pambaff..nilishaomba radhi, I'm sorry money nilijazwa tu maneno but I need you so mwaaahHii debate ilikuwa haipiti wiki mbili tunarudia