nergomafioso
Senior Member
- Apr 3, 2024
- 109
- 284
1. Kwamba.... Elimu ni ufunguo wa maisha.
Sasa swali langu ni kwamba vipi wale ambao hawaja ipata elimu, huo ufunguo ndio wanakua wameukosa??
Je wale wanaipata elimu, wanauhakika wa kufanikiwa kwasababu tayari wanamiliki ufunguo wa maisha??