Kiguturi Nyamili
Member
- Oct 27, 2020
- 65
- 74
Ahadi za ushindi wa kishindo. Wametumika kama kondom wameshatupwa. Haiwezekani waraka wa aina ya magari wanayostahiri wakati waraka upo mezani. Wasiwadanganye watanzania. Watanzania siyo wajinga. Kama kweli ni kosa Waziri Mkuu ajiuzuru kwa kuwa ofisi yake imeshiriki katika kuvunja kanuni na taratibu za serikali huku yeye akiwa mtendaji Mkuu wa serikali. Ajiuzuru tuWakurugenzi na madiwani wote ni zao la uchaguzi feki ulioharibiwa na serikali ya CCM.
Hata wewe baptist ni sehemu ya huo uozo sababu ulishangilia ule ushindi hewa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Tumeshajua anaetafutwa bwana yule ndio anatafutwa anaonekana ana nguvu sawa na Mamvi sasa dawa kumakizana nae tuanze upya .....!! Nataka Rahisi wangu nitampandikiza mwenyewe sio zao lao na mitandao Jan, Majaliwa, hapana ...mnikishindwa Jafo basi heri aje Mwinyi .....Zbar nimuweke Mbarawa muda ni mwalimu mzuri ......PM hakuna kupenya..
Lakini anaesaini si waziri mkuu. Ni mtu mwingine ndani ya ofisi ya waziri mkuu.Kosa ni la Ofisi ya Waziri Mkuu anayeidhinisha manunuzi hayo hali akijua si hadhi ya ma-DED
.Madiwani ndio wanapitisha mapato na matumizi ya serikali za mitaa yaani halmashauri.
Madiwani wengi kama siyo wote ni wa CCM.
Mkurugenzi hutoa mapendekezo kwa baraza la madiwani kuhusiana na manunuzi yote na hawezi kununua bila approval ya baraza.
Sasa kwenye kesi ya magari ya kifahari ya wakurugenzi aliyekosa uzalendo ni mkurugenzi au ni CCM?
Maendeleo hayana vyama!
Ulichokiandika ndio nlichomaanishaLakini anaesaini si waziri mkuu. Ni mtu mwingine ndani ya ofisi ya waziri mkuu.
Hawa wakurugenzi mbona wanakuwa na matumizi makubwa hivi? VP wakuu wa mikoa na wilaya nao wananunua magari ya thamani kubwa hivi?Madiwani ndio wanapitisha mapato na matumizi ya serikali za mitaa yaani halmashauri.
Madiwani wengi kama siyo wote ni wa CCM.
Mkurugenzi hutoa mapendekezo kwa baraza la madiwani kuhusiana na manunuzi yote na hawezi kununua bila approval ya baraza.
Sasa kwenye kesi ya magari ya kifahari ya wakurugenzi aliyekosa uzalendo ni mkurugenzi au ni CCM?
Maendeleo hayana vyama!
Usiongelee nadharia. Ongelea uhalisia.Wakurugenzi ni watumishi wa umma!
Kaka johnthebaptist wewe ndio wa kukipiga chama mkuki leo kweliMadiwani ndio wanapitisha mapato na matumizi ya serikali za mitaa yaani halmashauri.
Madiwani wengi kama siyo wote ni wa CCM.
Mkurugenzi hutoa mapendekezo kwa baraza la madiwani kuhusiana na manunuzi yote na hawezi kununua bila approval ya baraza.
Sasa kwenye kesi ya magari ya kifahari ya wakurugenzi aliyekosa uzalendo ni mkurugenzi au ni CCM?
Maendeleo hayana vyama!
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.Kaka johnthebaptist wewe ndio wa kukipiga chama mkuki leo kweli
Just ungesema madiwani sio Lazima useme madiwani wa ccm
Wamewashupalia Wakurugenzi wa Halmashauri,wameshasahau kazi kubwa waliyofanya Uchaguzi wa SM na huu wa juzi.Ukizoea kula nyama ya binadamu...Hayo magari mbona hata huko CCM mmeyanunua? CCM ukoo wa panya baba mwizi,mama mwizi na watoto waizi.
Naona umeanza kupata akili kweli Yesu kazaliwa haleluya, kosa ni la PM ambaye anatoa vibali vya kununua hayo mashangingiMadiwani ndio wanapitisha mapato na matumizi ya serikali za mitaa yaani halmashauri.
Madiwani wengi kama siyo wote ni wa CCM.
Mkurugenzi hutoa mapendekezo kwa baraza la madiwani kuhusiana na manunuzi yote na hawezi kununua bila approval ya baraza.
Sasa kwenye kesi ya magari ya kifahari ya wakurugenzi aliyekosa uzalendo ni mkurugenzi au ni CCM?
Maendeleo hayana vyama!
MaDED washughulikiwe haswa maana walisaidia sn wizi wa kura za wananchiWamewashupalia Wakurugenzi wa Halmashauri,wameshasahau kazi kubwa waliyofanya Uchaguzi wa SM na huu wa juzi.Ukizoea kula nyama ya binadamu...
MaDED wanatumika kuwaondoa Wananchi kwenye kuhoji kilichotokea October 27&28.Uporaji wa kura na mauaji ya Demokrasia pamoja na issue ya wabunge wa Viti maalum CDM visijadiliwe.
Uhuni unaofanywa nchi hii ni aibu tupu.Vyombo vya kusimamia sheria/usalama wa RAIA na Mali zao ndiyo wanatumika kuivuruga misingi ya Taifa kwa kasi kubwa.
Ulifanya dhambi gani?Kitubio nimekamilisha jana bwashee!
Hizi ni gari za serikali zilizobadilishwa rangi na namba wakati wa kampeni.
Ni Rais pekee ambaye ameshindwa kutoa mwongozo, kama Mkuu wa Serikali na Nchi, ni magari aina gani Mawaziri, Makatibu Wakuu, MaRC, MaDC/MaDED watatumia katika kazi zao za kila siku. Hawa wote na wengine ni Wafanyakazi wa Serikali na magari pia ni ya Serikali kwa hiyo yalitakiwa yanunuliwe na Serikali badala ya kila kiongozi anunue analotaka. Baada ya Uhuru, Mawaziri wote walipewa magari aina ya Humber, watumishi wengine wote walipewa Land Rover tofauti ya hadhi ikawa ni Station Wagon kwa Wakubwa, Pick-ups kwa wadogo na pikipiki na Baiskeli kwa wadogo zaidi. Magari ya kifahari wanayotumia Wafanyakazi wa Serikali yana injini kubwa bure kwa hiyo zinatumia mafuta mengi bure, pili ni 4WD ambayo haitumiki kabisa na zina viyoyozi, nyumba zao zina viyoyozi hata ofisi zao, vyote vikigharimiwa na Serikali inayobana matumizi. Ng'ombe ukimpa uhuru atakula mahindi, mchele, kahawa hata unga wa chakula cha watoto!Madiwani ndio wanapitisha mapato na matumizi ya serikali za mitaa yaani halmashauri.
Madiwani wengi kama siyo wote ni wa CCM.
Mkurugenzi hutoa mapendekezo kwa baraza la madiwani kuhusiana na manunuzi yote na hawezi kununua bila approval ya baraza.
Sasa kwenye kesi ya magari ya kifahari ya wakurugenzi aliyekosa uzalendo ni mkurugenzi au ni CCM?
Maendeleo hayana vyama!
Zinazoonekana na zisizoonekana!Ulifanya dhambi gani?
Mkurugenzi ni bwege zaidi. Kwa nafasi hiyo na elimu hiyo hastahili kuwa mtu anayelilia gari la aina hiyo. Hiyo ni hatua ya kitoto kabisa! Tulio na uelewa hatuhitaji tena kujionesha. Nafasi hiyo inamtosha kabisa kufahamika ubora wake na siyo kwa gari lake.Madiwani ndio wanapitisha mapato na matumizi ya serikali za mitaa yaani halmashauri.
Madiwani wengi kama siyo wote ni wa CCM.
Mkurugenzi hutoa mapendekezo kwa baraza la madiwani kuhusiana na manunuzi yote na hawezi kununua bila approval ya baraza.
Sasa kwenye kesi ya magari ya kifahari ya wakurugenzi aliyekosa uzalendo ni mkurugenzi au ni CCM?
Maendeleo hayana vyama!