robinson crusoe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2020
- 762
- 1,236
Nawe usiweke chumvi kwa hasira zako za maisha. Marais wa nchi za Dunia hii unawafahamu wote? Umewezake kusema duniani wakati huwajui wote.Si suala la kuuliza, BINADAMU yeyote anaweza kuwa RAISI wa Tanzania.
Ni nchi pekee duniani isiyo angalia uwezo na kipaji ili kuwa mkuu wa nchi