Swali la sikukuu: Ununuzi wa magari ya kifahari kwenye halmashauri kosa ni la Wakurugenzi au Madiwani wa CCM?

Si suala la kuuliza, BINADAMU yeyote anaweza kuwa RAISI wa Tanzania.
Ni nchi pekee duniani isiyo angalia uwezo na kipaji ili kuwa mkuu wa nchi
Nawe usiweke chumvi kwa hasira zako za maisha. Marais wa nchi za Dunia hii unawafahamu wote? Umewezake kusema duniani wakati huwajui wote.
 
Nimekuelewa bwashee!
 
Ofisi ya waziri mkuu mbona umeiacha?..
Punguza upambe bwashee
 
Yohana mbatizaji wataka kubatiza watu kwa moto??😀 mada chonganishi hii!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Kwanza hakuna kosa la kununua gari la kifahari, chombok kipi kimeweka hilo kosa?
 
Ni jambo jema kuuliza maswali ya msingi.
 
Mwenye kosa ni huyo mbadhirifu anayejiita mwendawazimu. Anafuja tu pesa za walipa kodi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…