Swali la uchumi: Kwanini vikwazo vya mataifa yenye nguvu kubwa kiuchumi havifanyi kazi dhidi ya Urusi?

Russia kuibuka kidedea tu hakuna namna nyengine
 
Oooh shukran MKUU
 
Mkuu naomba jina la ile article ya forther wa geopolitics aliyoizungumzia urusi
 
Unamuita huyo msanii.
 
Mpiga punyeto Armata na takwimu zake za kuokoteza google akala kona [emoji23][emoji23]
Mkuu, sijajua uhusiano wenu, ila nadhani unaaribu uzi, hao unaowaita wapiga nyeto ndo wanaleta changamoto, na kuibua maswali, na unayemsifia au kumwona sahihi asingeleta hayo unayoyakubali bila hao unaowaita wapiga nyeto

Ili kuwe na mjadala, lazima kuwe na pande mbili....ili tuzidi kufaidika, lazima wote tuwaencourage, ili hata yule unayemwona yupo sahihi azidi kuchangia zaidi, coz anayepinga hoja zake akiondoka, mjadala utaisha.

Nadhani, ni busara Sana kushambulia, kukosoa hoja ya mtu na Si personality yake....ni mtazamo wangu tu dhidi ya neno lenu " Mpiga nyeto"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…