Swali la uchumi: Kwanini vikwazo vya mataifa yenye nguvu kubwa kiuchumi havifanyi kazi dhidi ya Urusi?

Aione lee van cliff
 
Nimeenjoy sana somo la Uchumi wa kimataifa hapa. Nina swali;
Vita yoyote inayowahusisha wakubwa, lazima huleta mabadiliko ya sera za kiuchumi kimataifa. Ndicho kinachotokea sasa. Mfano China ana mkono usioonekana kwenye huu mgogoro, kwani yeye ni mnufaika mkubwa wa matokeo ya vita hii kiuchumi hasa kwenye hiki kiitwacho Multipolar world kwa lugha nyingine ni anguko la US. Swali langu, katika sense ya kiuchumi, hii multipolar world(i.e Vs US Hegemony) itafanikiwa?
 
🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍
 
Mrusi akili mingi mingi 😂
 

Salama kabisa mkulu. Pia nimefurahi kukuona hapa jukwaani.
Kuhusu suala la Urusi, binafsi naona dunia imeingia kwenye mtego wa marekani na ulimwengu wa magharibi kwa ujumla wa kuamini sana taarifa, tafiti, habari nk kutoka kwao. Magharibi wana uwezo mkubwa sana wa kuiaminisha dunia kwa chochote wanachosema na dunia ikaamini. Mfano, kipindi cha Gulf War miaka ya 2000 mwanzoni kabisa, waliiaminisha dunia kwamba Iraq 🇮🇶 chini ya Saddam wakasema ana biological weapons, sijui nuclear bombs. Kumbe ulikuwa uongo. Vivyo hivyo kwa Syria na Libya. Alisingizia uongo, akaharibu nchi za watu. Leo hii nchi hizo zimebaki mahame. Hazijadhibitiwa mpaka leo. Libya imekuwa pango la wanyang'anyi. Haitawaliki. Lakini hayo yote huwezi yaona kwenye media zao. Wao watawaonesha kitu chenye manufaa kwao. Vilivyo dhidi yao hutaviona. Mfano kwenye mkutano wa Russia - Afrika kina mengi yameongelewa. Kutia ndani uongo wa magharibi wa kutoroshea kwao nafaka zilizokusudiwa ziende sehemu zingine za dunia kutia ndani Afrika. Hilo huwezi kuta likitangazwa na media House zao. Pia cheche walizotema viongozi wa Afrika dhidi ya USA, hutawahi ziona zikitangazwa. Wenyewe wana uwezo mkubwa sana wa kutangaza na kuaminisha mitazamo yao na watu wakaamini.
Ukitaka uwe na balanced view, nenda kaangalie na media stream zingine uone wanongeleaje mambo.
Sijui kama nimejibu swali lako, lkn huo ndiyo mtazamo wangu kuhusu propaganda za ulimwengu wa magharibi.
 
Mkuu umetisha ebu siku Moja tia neno kwenye mkataba wa DPW
 
Ha ha haa..

Umenikumbusha kisa Cha Regan,Moi na Auko.
 
👏👏👏👏👏👏👏👏👏🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🙏🙏
 
Watu wanaendeshwa na mihemko kiasi kwamba hata ueezo wa kufikiri unapungua.
Kweli kabisa Mkuu Mwana Taaluma.
Ni tofauti kubwa sana kujua mambo Kwa ukamulifu na kujua mambo Kwa ujanjaujanja.
Hii ndio inawakumba Baadhi ya Pro USA.anaulizwa swali anatoa maelezo meeeengi nje ya mada ili aonekane anajua mambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…