Swali la uchumi: Kwanini vikwazo vya mataifa yenye nguvu kubwa kiuchumi havifanyi kazi dhidi ya Urusi?

Swali la uchumi: Kwanini vikwazo vya mataifa yenye nguvu kubwa kiuchumi havifanyi kazi dhidi ya Urusi?

Nashukuru kwa maswali, kiongozi wa mjadala!

Nitajibu swali la kwanza kama ifuatavyo:
Hizo ripoti za IMF za hivi karibuni kuhusiana na uchumi wa Urusi zimezua mjadala mkubwa miongoni mwa wataalamu, wachumi bila kusahau wanahabari duniani. Media maarufu ikiwemo Reuters ilitoka na article yenye kichwa cha habari: The IMF's outlook on Russia is too rosy to be true. Ndio maana katika mchango wangu uliopita, nilizungumza kuhusu hali ya kuaminika kwa taarifa zilizopo kwa sababu nimeona hizi takwimu za IMF zikitumika humu kujengea hoja kwamba "vikwazo havifanyi kazi".

The IMF's outlook on Russia is too rosy to be true:

Ili kujibu swali lako la kwanza, nitanukuu vyanzo mbalimbali ili kuonesha jinsi ambavyo takwimu hizo zimeleta shida na kuzua upinzani mkubwa katika uwanja wa uchumi.

Tafiti mbalimbali za kiuchumi zikiwemo ambazo nimezileta hapa katika post iliyopita zinapingana kwa kiasi kikubwa na utabiri wa IMF. Miongoni mwa wakosoaji wakubwa wa makisio ya uchumi yaliyotolewa na IMF kuhusu maendeleo ya uchumi wa Urusi ni Professor Jeffrey Sonnenfeld wa Yale University nchini Marekani.

Miongoni mwa maandiko yake kuhusu hilo, akishirikiana na wachumi wengine kama vile Stephen Samuel Roach, mhadhiri mkuu [Yale School of Management] ambaye pia aliwahi kufanya kazi Morgan Stanley kama chief economist, unaweza kulipata kwenye website ya gazeti la Fortune lenye kichwa cha habari: How the IMF naively parroted Putin's fake statistics–and botched its economic forecast for Russia.

Article hiyohiyo imechapishwa pia kwenye website ya Yale School of Management (Yale Insights) yenye title: With 'Zero Visibility' into the Russian Economy, the IMF is Parroting Putin's Line.

Links hizi hapa:

Ili kurahisisha mambo, hivi hapa chini ni vipande vichache vya andiko hilo:

View attachment 2711451

Article imeendelea kwa kusema;

View attachment 2711453

Hoja kubwa ya Jeffrey Sonnenfeld na wenzake ni kuwa, kwa sasa IMF haina taarifa za kutosha kuhusiana na uchumi wa Urusi ili kuwawezesha wataalamu wake kukokotoa na kutoa makadirio yenye kuridhisha kitaalamu, huku kukiwa na ushahidi wa wazi kabisa wa wataalamu wa IMF sanjari na mashirika mengine kunyimwa taarifa muhimu za kiuchumi na serikali ya Urusi mara baada ya uvamizi wake.

Katika hiyo article, kuna mahali wameambatanisha link yenye nyaraka ambayo ndani yake kuna kauli kutoka IMF kwenda kwa Sonnenfeld na timu yake (Yale University) kuhusiana na takwimu zilizotolewa na shirika lao. Katika hiyo statement, IMF inakiri kuwepo kwa sintofahamu kubwa (massive uncertainty) kuhusiana na mustakabali wa uchumi wa urusi hali ambayo inapelekea kuwepo kwa utata mwingi kwenye issue ya kutoa makisio.

Nimechukua kipande (screenshot) cha hiyo statement kutoka katika hiyo nyaraka yenye takwimu na makisio ya uchumi wa Urusi. Inasema;

"We agree that there is massive uncertainty surrounding the future of the Russian economy, and hence doing a forecast could be seen as a "fool's errand"."

Wametumia msemo "fool's errand" wakikubali kwamba kitendo cha kufanya utabiri wa kiuchumi kuhusu Urusi katika mazingira ya sasa kinaweza kutafsiriwa kama kazi ya kijinga isiyo na tija. Statement hiyo vilevile inasapoti kile nilichokisema kuhusu Data Integrity na uhaba wa upatikanaji wa taarifa za kutosha.

Screenshot:
View attachment 2711449

Nyaraka nzima iko katika muundo wa PPTX:

Mkosoaji mwingine ni huyu anayefahamika kama Agathe Demarais ambaye ni mchumi, pia ni mtaalamu wa vikwazo vya kiuchumi kutoka kitengo cha utafiti wa masuala ya kiuchumi duniani (Economist Intelligence Unit) chini ya The Economist Group [media company]. Moja ya maandiko yake utalipata kwenye website ya Foreign Policy lenye title ambayo iko straightforward: Don't Trust Russia's Numbers (Moscow has made economic statistics a central part of its information war). Yeye amejikita zaidi kuelezea nguzo kuu za kile anachokiita "Russia's disinformation" kuhusiana na mwenendo wa uchumi wake.

Link:

Demarais anasema kwamba;

The latest controversy surrounds the state of the Russian economy and what Western media and others have been reporting to their audiences. Read anything about the war in Ukraine these days, and you'll probably find a mention that the Russian economy contracted by about 2 percent in 2022—a low decline that suggests little more than a mild recession. That number has entered the policy debate: For some, the low figure is proof that the Russian economy is resilient and sanctions do not work. Others use the same figure to argue that sanctions are starting to bite and Western countries should double down. These opposing arguments have one thing in common: They rely on a largely meaningless number.

Ukiendelea kumsoma huyo mchumi, anataja sababu kadhaa zilizochangia kuonesha huo upungufu mdogo ulioripotiwa tofauti na ilivyotarajiwa baada ya uvamizi wa Urusi mwaka 2022.

Even if Russia's reported GDP decline were truthful, it is clear that three factors artificially boosted the Russian growth number in 2022. First, the economic growth figure has been fueled by Russia's turbocharged production of military gear. Producing tanks and missiles does not improve living standards, however, and this part of Russian GDP will quickly be destroyed on the battlefield. Second, Russia's export earnings jumped in 2022 because of the war-induced spike in energy prices. And third, Western embargos on technology and other goods as well as sinking Russian consumer demand led to a plunge in imports, which dropped by almost 10 percent during 2022, according to Russia's official data.

Mwisho wa kunukuu!

Kwa kifupi, hoja yake kubwa ni kuwa, Urusi imekuwa ikichezea takwimu za uchumi wake kama sehemu ya disinformation war dhidi ya nchi za magharibi ili kujibu ama kukabiliana na hoja au tuhuma kwamba uchumi wa Urusi umedorora kutokana na vikwazo. Hivyo, taarifa hafifu za kiuchumi zinazotolewa na Urusi hazikidhi vigezo au sifa za kuweza kuaminika kutoa makisio yanayoweza kukubalika kiuchumi.

Swali la pili:
Current account surplus, kwa lugha rahisi ni hali ya kiuchumi ambapo thamani ya bidhaa na huduma zinazozalishwa kupelekwa nje (exports) zinazidi thamani ya bidhaa na huduma zinazoingia nchini (imports).

Kwa kifupi kuhusiana na rekodi ya current account surplus ya Urusi mwaka 2022:
Kushuka kwa thamani ya imports kumechagizwa na uamuzi wa makampuni mengi ya nchi za magharibi kujiondoa na kuondoa biashara zao nchini Urusi kutokana na vikwazo. Kilichoongeza thamani ya exports ni mapato ya mafuta na gesi kutokana na kuongezeka kwa bei ya nishati kulikochochewa na vita inayoendelea. Hiyo ni kabla ya bidhaa hizo hususani mafuta kuwekewa vikwazo.

Tafuta takwimu za hivi karibuni; current account surplus imepungua kutokana na kushuka kwa mapato yatokanayo na mafuta na gesi. Again, narudia, Urusi imesitisha utoaji wa taarifa muhimu za kiuchumi, zikiwemo data zake za capital outflow mwaka huu.

Kuhusu swali la tatu:
Uchumi wa Urusi hauko kwenye soft landing bali ulishaingia kwenye recession kwa mujibu wa data zilizotolewa mara ya mwisho na Urusi yenyewe. Hakuna mjadala kuhusu uchumi wa Urusi kuwa kwenye recession ama kinyume chake kwa sababu kwa mujibu wa wachumi wa pande zote, Urusi iko kwenye recession. Mabishano yako kwenye kiwango cha recession ilichonacho Urusi.

Kwa mujibu wa takwimu rasmi za GDP za mwaka 2022 zilizotolewa na Urusi, uzalishaji ulianguka kwa asilimia takribani 4.1 na 4 katika robo mbili mfululizo (3&4) ukilinganisha na kipindi kama hicho mwaka mmoja uliopita. Maana yake ni kwamba Urusi ilikuwa kwenye technical recession katika vipindi hivyo viwili mwaka jana. Takwimu rasmi za robo ya nne hazikutolewa hadharani.

Mwaka huu, Urusi ilitoa ripoti ndogo kwamba uzalishaji ulianguka kwa asilimia 1.9 katika robo ya kwanza ya mwaka ukilinganisha na kipindi kama hicho mwaka 2022; ripoti ambayo bado inaonesha recession pamoja na kwamba wachumi kadhaa wamekataa kuziamini hizo taarifa. Hata ripoti mbalimbali za mashirika na taasisi nyinginezo [independent] zinasema kwamba uchumi wa Urusi bado uko kwenye contraction mwaka huu.

Asante!
Ndugu mhandisi,
Niseme tu, tangu nianze huu mjadala wewe umeonesha kwamba ni mtu makini sana. Unafuatilia mambo, unasoma kwelikweli na una uelewa wa haraka. Katika hili nakupa nyota zako kibao. Hivi ndivyo mijadala ya wasomi inatakiwa kuwa. Sasa naomba nirudi kwenye mada, na ntajikita kwenye suala muhimu sana la kiuchumi, hasahasa tunapozungumzia DATA INTEGRITY:

Umesema hatuwezi kupata taswira sahihi ya uchumi wa Urusi kwasababu serikali imeficha takwimu muhimu. Ukaleta na mifano ya kutosha ili kuwekea mashaka takwimu za shirika la fedha duniani (IMF) kuhusu uchumi wa Urusi kukua. Hivyo basi, kama hakuna takwimu sahihi na za kutosha, hatuwezi kuwa na taswira sahihi. Mimi hapa maswali yangu ni machache tu:

Mosi, wewe unasoma historia ya maendeleo ya dunia na uchumi wake tangu kipindi cha dola la Mrumi (The Roma Empire) hadi kufika leo hii. Katika kusoma kwetu, huwa tunapewa hadi takwimu za idadi ya watu na uchumi wa nchi za kale kama Rumi. Mfano, halisi wanahistoria kutoka CAMBRIDGE UNIVERSITY wanasema kwamba kipindi cha Kaisari Trajan (Emperor Trajan) dola la Rumi, lilikuwa ni asilimia 20% hadi 26% ya uchumi wa dunia (Global GDP). Hizi takwimu za uchumi za miaka zaidi ya 2000 iliyopita wachumi na wanahistoria wanazitoa wapi, ilhali Warumi wenyewe hawakuwapa, ???

Je, tutakuwa sahihi kusema kwamba takwimu hizi zina walakini (The Lack Integrity) kwasababu Warumi wenyewe hawakutupa, na mambo mengi ya uchumi wa Rumi hatuyafahamu. AU kwasababu wanahistoria hawakuishi kipindi hicho, ???

Mnamo Karne ya 19 wakati Uingereza inaenda kuanzisha utawala nchini India (The British Raj), wachumi wanasema India ilikuwa na uchumi asilimia 24% ya uchumi wa dunia (Global GDP). Huku Uchina ikiwa na asilimia 34% ya uchumi wa dunia (Global GDP). Hizi takwimu wahindi wala wachina hawakuzitoa, ila wanahostoria wameweza kutambua. Hapa napo tutakuwa sahihi, kusema tusizitegemee takwimu ambazo hatukuwahi kupewa na serikali ya nchi hizi mbili, ???

Pili, wachumi huweza hadi kutabiri uchumi wa miaka 50 ijayo ilhali wao wako leo. Mfano, hai The Peter G. Peterson Foundation, hivi karibuni wametoa takwimu za deni la Marekani kwa mwaka 2053, na kusema kwamba Marekani itakuwa inalipa asilimia 40% ya bajeti yake katika kulipa deni. Maana yake katika kila dola 10, Marekani atakuwa analipa dola 4 kwenye madeni. Hawa wametumia mbinu gani (Model)za kiuchumi katika kuweza kutabiri hivi, ilhali hata mwaka 2030 bado hatujafika, ???

Tatu, kama unasema tusiwaamini IMF kwasababu Urusi hawajatoa takwimu zotem basi utakuwa umesahau kilichotokea miaka miwili iliyopita. Duniani yote na taasisi kubwa zilikumbwa na uhaba wa takwimu sahihi za kiuchumi kutokana na nchi kufungwa na shughuli za kiuchumi kusimamishwa (Lockdowns). Nchi kama Uchina na Marekani hazikuweza kutoa baadhi ya takwimu muhimu kwasababu raia hawakuwepo katika maeneo yao ya kiuchumi. THE HARVARD BUSINESS REVIEW, kwenye makala yao ya tarehe 10 November 2020, iliyoandikwa na Demitry Estrin walilizungumzia hili.

Mbali na hizi changamoto zote za uhaba wa takwimu, taasisi kama IMF waliweza kutoa takwimu zao zilizotoa taswira sahihi kabisa za uchumi wa mataifa mbalimbali duniani. Kwenye hoja hii, maswali yangu ni haya yafuatayo:

A. Kama IMF waliweza kutoa taswira sahihi za uchumi wa nchi mbalimbali kipindi cha (Lockdown), na tukaziamini hata pale ambapo mataifa mengi yalishindwa kutoa takwimu, kwanini tushindwe kuziamini hizi takwimu zao za kipindi hiki, ???

B. Mbali na uhaba wa takwimu, taaisi za kiuchumi kama The International Monetary Fund (IMF), The World Bank (WB), The Economist Intelligence Unit, walitoa takwimu sahihi sana ambazo zilielezea kwamba dunia itaingia kwenye kipindi cha mdororo wa kiuchumi wa kimkakati (Technical Recession) kuanzia mwaka 2021, na kweli yalitokea na tukayashuhudia. Walitumia mbinu gani za kiuchumi kuweza kufanya utabiri kwa usahihi, ???

Nne na wisho, ndugu mhandishi, taasisi za kifedha kama The International Monetary Fund (IMF) na World Bank (WB) huwa zinategemea chanzo kimoja tu cha takwimu, ambacho ni takwimu kutoka kwa nchi. IMF katika kutoa taarifa zao, huwa na vyanzo mbalimbali (Primary Data Sources, Secondary Data Sources). Taarifa zote za kiuchumi huwa zinaeleza kuwa wametumia vyanzo gani vya taarifa na mbinu za zipi za kiuchumi ili kutoa taswira ya uchumi.

Mbali na nchi kuwa ndiyo chanzo kikubwa, taasisi kama World Trade Organization (WTO) na mashirika mengine ya kimataifa yanayohusika na biashara hutoa takwimu muhimu mno, hata kama nchi itajaribu kuficha. Taifa lolote lile ambalo linategemea biashara za kimataifa (International Trade) kama chanzo cha mapato, haliwezi kabisa kuficha taarifa zake zote muhimu. Hebu nieleweshe hapa ndugu yangu, kama Urusi wameficha takwimu, taasisi za kiuchumi zitashindwa hata kufanya makadirio ya uchumi (Economic Estimation) kwa kutumia mbinu mbalimbali, ???

Hebu nisaidie kuelewa ndugu yangu.....
 
Kwahiyo unataka kusema kwamba G7 wangeiwekea vikwazo Urusi kwenye mashine, basi uchumi wa Urusi ungeanguka na wao wenyewe wasingekutwa na madhara yoyote yale, si ndiyo ?


Hii hoja sijaielewa hata kidogo, labda unifafanulie kwa zaidi. Kwamba unataka kusema, Urusi ya kisovieti ilikuwa lilikuwa taifa imara kwasababu ya teknolojia ya Marekani iliyotolewa kule Volgograd? Hivi kuna nchi hapa duniani ambayo imetumia teknolojia yake peke yake kukua ?

Ila nachokishangaa kwenu ni kushindwa kufahamu kwamba, teknolojia zote muhimu ambazo Marekani anazitumia karne ya ishirini na moja siyo zake bali za Ujerumani. Wanasayansi 1500 wa Ujerumani waliopelekwa Marekani na Bwana Allen Dulles kupitia Operation Paperclip, ndiyo walilipa Marekani teknolojia kama Fission-Technology (Atomic), Sonar, Rocket-Science, Genetic-Engineering, Satellite Engineering, n.k

Sasa turudi kwenye uchumi. Tutumia mawazo ya baba wa uchumi wa kibeberu, Bwana Adam Smith. Hivi kuna taifa ambalo lina ABSOLUTE ADVANTAGE kwenye kila kitu hapa duniani ? Kwamba leo hii Marekani anaweza kuwawekea vikwazo vya kiuchumi mataifa makubwa bila yeye kupata hasara ? Hebu tueleweshane


Unaandika mambo mengi sana. Hapa napo nayaweka mawazo yako katika kurunzi ya kiuchumi. Hivi unahisi taifa la Marekani lina Absolute-Advantage in every sphere of the
economy?



Hii mifano yako inanishangaza kidogo, nadhani hujafanya utafiti wa kutosha kwenye historia ya uchumi wa dunia.

Wasomi wakubwa duniani kama Professor Joseph Nye wanasema kwamba Ujerumani lilikuwa ndiyo taifa tajiri kwenye uzalishaji (World's Largest Manufacturer) kuliko hata Uingereza mnamo mwaka 1900. Kipindi hiki Marekani alikuwa ni taifa tajiri zaidi duniani katika ulinganisho wa manunuzi (Purchasing Power Parity).

Kingine ambacho kinanishangaza ni kwamba unasahau kwamba kabla ya vita ya pili ya dunia, taifa la Japan lilikuwa ni moja kati ya mataifa tajiri duniani. Hizi hoja za kusema kwamba Marekani ndiyo aliwashawishi wajerumani na wajapan wastaarabike ndiyo wakawa matajiri umezitoa wapi ?


Aidha unayaangalia mambo kisiasa, au hujasoma uchumi. Kitaalamu, Marekani lilikuwa taifa tajiri zaidi duniani mwaka 1872 (Gilded Age), lakini siyo katika kipimo cha Gross Domestic Product (GDP). Ukitumia kipimo (Metric) cha GDP, kutoka mwaka 1872 Marekani alikuwa na uchumi mdogo mno kulinganisha na mataifa kama Ufalme wa Uingereza na Ufalme wa Ujerumani.

Kipimo kilichotumika kusema Marekani ndiyo tajiri ni kile cha manunuzi, Purchasing Power Parity (PPP). Nakubaliana na baadhi ya wachumi kwamba GDP ni kipimo sahihi, lakini ukizingatia vipimo vingine kama GNP na PPP utafahamu kwamba kwanini mataifa yenye GDP ndogo kuliko yale ya G7 bado yanafanya vizuri.

Sasa mtaalamu, hebu tufahamishane. Kwamba Marekani na chama chake cha G7 leo hii wanaweza kupambana vita ya kiuchumi na mataifa kama Urusi, OPEC au Uchina bila wao kukumbwa na madhara makubwa kiuchumi ?
Nimeipata mkuu [emoji1780]
 
Jarida la THE FINANCIAL TIMES, tarehe 9 August 2024, limeanza kuzungumzia uwezekano wa kuwepo na mataifa yenye nguvu katika uzalishaji, katika lugha ya kiingereza mataifa haya yamepewa jina la "COMMODITY SUPERPOWERS". Tena jarida hili limeenda mbali na kusema kwamba mataifa kama Uingereza na Marekani yalifika hapo yalipo kiuchumi kutokana na uwepo mkubwa wa rasilimali ndani ya madola yao karne zilizopita.

Nilipoanza huu mjadala niliwauliza wachumi kwamba: Je, mataifa ya Magharibi yalikosea kuangalia uchumi wa Urusi katika nyanja ya uchumi wa masoko ya mitaji na fedha (FINANCE ECONOMY) peke yake bila kuzingatia uchumi katika nyanja ya kuzalisha na kuuza rasilimali (COMMODITY ECONOMY), ???

Baadhi yetu walisema uchumi wa masoko ya mitaji na fedha ndiyo uchumi wenyewe, na tuendelee kutumia vipimo hivyo kwasababu ndiyo vinaakisi utajiri wa nchi. Binafsi najiuliza maswali mengi, ambayo sijapata majibu bado. Hivi haya mataifa matajiri hapa duniani, yangeweza kufika hapo yalipo bila kuwa na rasilimali nyingi zaidi kuliko mataifa mengine, ???

Ila nafurahi kuona wachumi hasahasa wa Magharibi, wameanza kuona uwezekano kwamba uchumi wa rasilimali (COMMODITY ECONOMY) una sehemu kubwa mno katika kupima nguvu ya uchumi kwa baadhi ya nchi. Naamini, kadri siku zinavyoenda wachumi watajipima upya na kuanza kufanya marekebisho makubwa kwenye kanuni za uchumi wa dunia. Uchumi ambao utafundishwa miaka 10 ijayo utakuwa tofauti kabisa na huu ambao sisi tunausoma leo hii.

Nitoe mifano ya mwisho: Gideon Rachman, mhariri wa majarida makubwa ya THE FINANCIAL TIMES na THE ECONOMIST anasema kwamba, miaka kabla ya 2008 wachumi wengi walikuwa kwenye mjadala mkubwa kuthibitisha kwamba gharama ndogo za uzalishaji (Low-Cost Production) na soko la ajira lenye gharama ndogo (Cheap-Labour), vimechangia mno anguko la uchumi la mataifa ya Ulaya. Wachumi wengi walipinga, lakini baada ya mwaka 2008, wakaanza kukubaliana na huu ukweli mchungu.

Upande mwingine, uchumi huwa hautegemei kabisa hisia wala mihemko (Psychology). Ila matatizo yaliyoikumba dunia kama UVIKO kuanzia mwaka 2019-2022 yamethibitisha kuwa PSYCHOLOGY ni moja ya kiashiria muhimu sana kinachotumika kufanya utabiri wa uchumi wa mataifa husika. Jarida la THE HARVARD BUSINESS REWIEW, lililochapishwa, November 10, 2020 lilipendekeza mbinu mpya (A Model) ambayo ingewasaidia wachumi kuweza kutabiri uchumi wa nchi mbalimbali, hasahasa kwenye kipindi ambacho kuna uhaba wa takwimu kutokana na nchi nyingi kufunga (Lock-Downs).

Katika mbinu hii, viashiria vya PSYCHOLOGY na HISTORY vimekuwa na umuhimu mkubwa sana wa kutabiri uchumi wa nchi mbalimbali. Mbinu mpya (A Model) ilitumika na wachumi, na imeonesha usahihi mkubwa mno kwenye baadhi ya maeneo. Hili linanifanya nikumbuke Novel ya FOUNDATION ilizoandika na Professor Isaac Asimov mwaka 1951, ambapo kwenye kitabu kuna mhusika aliweza kutengeza mbinu iitwayo "PYSCHO-HISTORY" kuweza kutabiri kila kitu kuanzia siasa, uchumi na utamaduni. Andiko la THE HARVAD BUSINESS REVIEW limezungumzia PSYCHO-HISTORY kwenye kutabiri uchumi.

NB 1: Naamini Bwana Yesu akiendelea kutujalia uzima tutakuja kuona mengi ambayo yatafanya wachumi na wanasiasa turekebishe na kujikosoa kwenye baadhi ya mitazamo.

NB 2: Hii ifuatayo ndiyo nukuu ya jarida la, THE FINANCIAL TIMES, August 9, 2023


COMMODITY SUPERPOWERS.png
 
Ndugu mhandisi,
Niseme tu, tangu nianze huu mjadala wewe umeonesha kwamba ni mtu makini sana. Unafuatilia mambo, unasoma kwelikweli na una uelewa wa haraka. Katika hili nakupa nyota zako kibao. Hivi ndivyo mijadala ya wasomi inatakiwa kuwa. Sasa naomba nirudi kwenye mada, na ntajikita kwenye suala muhimu sana la kiuchumi, hasahasa tunapozungumzia DATA INTEGRITY:

Umesema hatuwezi kupata taswira sahihi ya uchumi wa Urusi kwasababu serikali imeficha takwimu muhimu. Ukaleta na mifano ya kutosha ili kuwekea mashaka takwimu za shirika la fedha duniani (IMF) kuhusu uchumi wa Urusi kukua. Hivyo basi, kama hakuna takwimu sahihi na za kutosha, hatuwezi kuwa na taswira sahihi. Mimi hapa maswali yangu ni machache tu:

Mosi, wewe unasoma historia ya maendeleo ya dunia na uchumi wake tangu kipindi cha dola la Mrumi (The Roma Empire) hadi kufika leo hii. Katika kusoma kwetu, huwa tunapewa hadi takwimu za idadi ya watu na uchumi wa nchi za kale kama Rumi. Mfano, halisi wanahistoria kutoka CAMBRIDGE UNIVERSITY wanasema kwamba kipindi cha Kaisari Trajan (Emperor Trajan) dola la Rumi, lilikuwa ni asilimia 20% hadi 26% ya uchumi wa dunia (Global GDP). Hizi takwimu za uchumi za miaka zaidi ya 2000 iliyopita wachumi na wanahistoria wanazitoa wapi, ilhali Warumi wenyewe hawakuwapa, ???

Je, tutakuwa sahihi kusema kwamba takwimu hizi zina walakini (The Lack Integrity) kwasababu Warumi wenyewe hawakutupa, na mambo mengi ya uchumi wa Rumi hatuyafahamu. AU kwasababu wanahistoria hawakuishi kipindi hicho, ???

Mnamo Karne ya 19 wakati Uingereza inaenda kuanzisha utawala nchini India (The British Raj), wachumi wanasema India ilikuwa na uchumi asilimia 24% ya uchumi wa dunia (Global GDP). Huku Uchina ikiwa na asilimia 34% ya uchumi wa dunia (Global GDP). Hizi takwimu wahindi wala wachina hawakuzitoa, ila wanahostoria wameweza kutambua. Hapa napo tutakuwa sahihi, kusema tusizitegemee takwimu ambazo hatukuwahi kupewa na serikali ya nchi hizi mbili, ???

Pili, wachumi huweza hadi kutabiri uchumi wa miaka 50 ijayo ilhali wao wako leo. Mfano, hai The Peter G. Peterson Foundation, hivi karibuni wametoa takwimu za deni la Marekani kwa mwaka 2053, na kusema kwamba Marekani itakuwa inalipa asilimia 40% ya bajeti yake katika kulipa deni. Maana yake katika kila dola 10, Marekani atakuwa analipa dola 4 kwenye madeni. Hawa wametumia mbinu gani (Model)za kiuchumi katika kuweza kutabiri hivi, ilhali hata mwaka 2030 bado hatujafika, ???

Tatu, kama unasema tusiwaamini IMF kwasababu Urusi hawajatoa takwimu zotem basi utakuwa umesahau kilichotokea miaka miwili iliyopita. Duniani yote na taasisi kubwa zilikumbwa na uhaba wa takwimu sahihi za kiuchumi kutokana na nchi kufungwa na shughuli za kiuchumi kusimamishwa (Lockdowns). Nchi kama Uchina na Marekani hazikuweza kutoa baadhi ya takwimu muhimu kwasababu raia hawakuwepo katika maeneo yao ya kiuchumi. THE HARVARD BUSINESS REVIEW, kwenye makala yao ya tarehe 10 November 2020, iliyoandikwa na Demitry Estrin walilizungumzia hili.

Mbali na hizi changamoto zote za uhaba wa takwimu, taasisi kama IMF waliweza kutoa takwimu zao zilizotoa taswira sahihi kabisa za uchumi wa mataifa mbalimbali duniani. Kwenye hoja hii, maswali yangu ni haya yafuatayo:

A. Kama IMF waliweza kutoa taswira sahihi za uchumi wa nchi mbalimbali kipindi cha (Lockdown), na tukaziamini hata pale ambapo mataifa mengi yalishindwa kutoa takwimu, kwanini tushindwe kuziamini hizi takwimu zao za kipindi hiki, ???

B. Mbali na uhaba wa takwimu, taaisi za kiuchumi kama The International Monetary Fund (IMF), The World Bank (WB), The Economist Intelligence Unit, walitoa takwimu sahihi sana ambazo zilielezea kwamba dunia itaingia kwenye kipindi cha mdororo wa kiuchumi wa kimkakati (Technical Recession) kuanzia mwaka 2021, na kweli yalitokea na tukayashuhudia. Walitumia mbinu gani za kiuchumi kuweza kufanya utabiri kwa usahihi, ???

Nne na wisho, ndugu mhandishi, taasisi za kifedha kama The International Monetary Fund (IMF) na World Bank (WB) huwa zinategemea chanzo kimoja tu cha takwimu, ambacho ni takwimu kutoka kwa nchi. IMF katika kutoa taarifa zao, huwa na vyanzo mbalimbali (Primary Data Sources, Secondary Data Sources). Taarifa zote za kiuchumi huwa zinaeleza kuwa wametumia vyanzo gani vya taarifa na mbinu za zipi za kiuchumi ili kutoa taswira ya uchumi.

Mbali na nchi kuwa ndiyo chanzo kikubwa, taasisi kama World Trade Organization (WTO) na mashirika mengine ya kimataifa yanayohusika na biashara hutoa takwimu muhimu mno, hata kama nchi itajaribu kuficha. Taifa lolote lile ambalo linategemea biashara za kimataifa (International Trade) kama chanzo cha mapato, haliwezi kabisa kuficha taarifa zake zote muhimu. Hebu nieleweshe hapa ndugu yangu, kama Urusi wameficha takwimu, taasisi za kiuchumi zitashindwa hata kufanya makadirio ya uchumi (Economic Estimation) kwa kutumia mbinu mbalimbali, ???

Hebu nisaidie kuelewa ndugu yangu.....
Kwanza kabisa, ukizungumzia takwimu za uchumi wa dunia katika vipindi vya miaka mingi iliyopita, huwezi kusahau kumtaja mchumi mmoja anayefahamika kama Angus Maddison.

Angus Maddison alikuwa mwanahistoria wa uchumi, mtaalamu wa masuala ya uchumi wa dunia katika historia (kikiwemo kipindi ulichokitaja cha Roman Empire). Kazi zake za miaka mingi iliyopita zimepelekea kuanzishwa kwa kitu kinachofahamika kama The Maddison Project mwaka 2010 na pia The Maddison Project Database, yenye takwimu za uchumi za tangu mwaka 1 (AD 1) ambazo zimekuwa zikifanyiwa marekebisho mara kwa mara.

The Maddison Project inatajwa na wachumi mbalimbali duniani kama chanzo kimoja muhimu zaidi cha takwimu za uchumi wa dunia kihistoria.

Angus Maddison:
The Maddison Project:

Kwa ufahamu wangu kuhusiana na mbinu na nyenzo (methods) zinazotumika na hawa wachumi wanaosimamia hiyo project, takwimu za uchumi wa dunia za miaka au karne nyingi zilizopita zimekuwa zikifanyiwa makisio au zikikadiriwa kwa kutumia data za uchumi wa mwaka 1990 kama reference point kurudi nyuma na kuelekea mbele. Takwimu zao zote mpaka sasa zimekuwa zikizingatia 1990 benchmark iliyokwisha kuwekwa na Angus Maddison mwenyewe.

Hii mbinu ya makadirio kihisabati/kitakwimu inafahamika kama Extrapolation Method; ambayo ndio namna au mbinu kuu zaidi inayotumika na wachumi duniani kutoa makadirio ya uchumi wa karne nyingi zilizopita ama zile zitakazokuja baadaye. Hapa nimejibu swali lako la pili.

Extrapolation Method:

Sasa, pamoja na kuwa hawa jamaa wako makini na ripoti zao zinasifika na wachumi nguli na taasisi mbalimbali za kiuchumi duniani, hilo halimaanishi kuwa tunapaswa kuziamini takwimu zao kwa asilimia 100 kwamba ni sahihi. Kwa sababu, takwimu zao sio vitabu vya dini; nikiwa na maana ya kwamba, huwa zinafanyiwa marekebisho (revisions) kila wakati au mara kwa mara kutokana na mabadiliko mbalimbali ya uchumi wa dunia baada ya kufanyika kwa tafiti mpya, ukizingatia kuwa takwimu zinazotolewa kwa kiasi kikubwa zinahusu uchumi wa vipindi ambavyo kwa sasa hakuna aliyekuwepo.

Hebu fikiria: Kama takwimu za uchumi wa sasa, kipindi ambacho tumo ndani yake tukishuhudia, huwa zinafanyiwa revisions mara kwa mara, itakuwaje kwa takwimu za uchumi za kipindi ambacho hatukuwepo kukokotoa?

Hayo ndiyo majibu yangu kuhusiana na swali la kwanza na la pili.

Kuhusu swali la tatu:
Ili kutoa makadirio ya uchumi wa dunia, IMF hufuata utaratibu unaofahamika kama "bottom-up approach". Maana yake ni kwamba, mchakato mzima wa kufanikisha ripoti za uchumi wa dunia huwa unaanzia katika ngazi ya chini kabisa ambayo ni ndani ya nchi mojamoja kabla ya kufikia ngazi za juu za maamuzi.

IMF kama taasisi ya kimataifa ina ofisi ndogo na mwakilishi [au balozi] wake katika kila nchi mwanachama wa IMF; kwa kiingereza wanamuita country desk officer.

Huyu mwakilishi pamoja na timu yake ndiye anayekusanya taarifa zote muhimu za uchumi wa nchi anayofanyia kazi na kisha kukokotoa na kuandaa makisio au makadirio kwa mujibu wa kanuni na taratibu zilizowekwa na kuridhiwa na IMF pamoja na nchi wanachama, wakati huo mamlaka au serikali ya nchi husika inakuwa na jukumu kama mwanachama wa IMF la kukabidhi taarifa ambazo ni most current kuhusiana na uchumi wa nchi.

Kwa mujibu wa IMF, taasisi za ndani za nchi ndizo "ultimate providers" wa takwimu ama data za uchumi wa nchi husika.

Kupitia hizo taarifa kutoka taasisi za ndani [ama serikali], timu ya wataalamu kutoka IMF ndani ya nchi husika ikiongozwa na country desk officer hutoa makadirio ambayo baadaye hupitia mfululizo wa marudio, kisha hutolewa rasmi na IMF kupitia machapisho maalumu ambayo huwa tunayapata mara kwa mara. Hizi timu za wataalamu katika kila nchi huwa zinafanya kazi kwa kujitegemea, kwa maana ya kutokuwa na muingiliano wa kimajukumu kati ya timu ya nchi moja na nyingine, hivyo mbinu za utendaji kazi (methodologies) zinaweza kutofautiana kati ya timu ya nchi moja na ile ya nchi nyingine.

Ukitaka kufahamu zaidi kuhusu hilo, tembelea website ya IMF. Kuna kurasa za nchi zote wanachama wa IMF. Pia, kuna contacts ambazo unaweza kuwasiliana moja kwa moja na mwakilishi wa IMF aliyeko katika nchi yako kama ukihitaji kufanya hivyo.

Link:

Ili kujibu swali lako sasa:
As long as ofisi ya mwakilishi wa IMF inaendelea na majukumu yake kama kawaida, na serikali inatoa ushirikiano kama mwanachama hai, IMF inaweza kukusanya taarifa zote muhimu na kutoa ripoti za kiuchumi zinazohusu nchi husika. Kwahiyo, hata kipindi cha lockdowns kutokana na COVID-19, wawakilishi wa IMF na timu zao bado waliendelea na majukumu yao kama kawaida katika nchi walizopo bila ya kukiuka taratibu zingine za kujikinga na COVID-19.

Kwa sababu taasisi za nchi mwanachama wa IMF ndizo "ultimate providers" wa taarifa zinazotumiwa na IMF, tatizo kubwa linaibuka pale ambapo serikali ya nchi husika kwa makusudi inakataa kutoa ushirikiano kikamilifu katika kukabidhi data na pia kutoa hadharani taarifa za kisera na maendeleo ya kifedha na kiuchumi kwa ujumla kutoka katika taasisi na sekta zote muhimu za uchumi wa nchi. Matokeo yake ndiyo kile ambacho wamekisema kina Jeffrey Sonnenfeld.

Na uzuri zaidi, wataalamu wa IMF wamekiri wenyewe kwamba kuna massive uncertainty kuhusiana na mustakabali wa uchumi wa Urusi.

Swali la nne nililigusia kwa kiasi fulani katika post yangu iliyopita nikizungumzia kuhusu takwimu za mafuta na gesi kuzuiliwa.

Watafiti mbalimbali wanaolenga kubaini mauzo halisi ya mafuta na gesi ya Urusi wamekuwa wakitegemea zaidi takwimu za wanunuzi ama wateja wa mafuta na gesi kutoka Urusi. Vilevile, makisio mengi yamekuwa yakifanyika kupitia takwimu za mataifa ambayo yamekuwa yakinunua nishati kutoka Urusi (international trade partners). The same applies kwenye bidhaa nyinginezo.

Ni kweli kwamba taasisi kama IMF huwa inashirikisha vyanzo ama taasisi zingine za kimataifa katika kukusanya taarifa za kiuchumi ili kuandaa ripoti zao za makadirio ya uchumi, lakini vyanzo hivyo navyo hutegemea vyanzo vyao vya taarifa ili kutoa takwimu zao. Vilevile, miongoni mwa taasisi zinazoshirikiana na IMF, nazo pia hutegemea taarifa kutoka vyanzo vya ndani ya nchi ili kutoa ripoti zao kuhusu uchumi wa nchi husika. Maana yake ni kwamba, changamoto ya kutopata taarifa zinazoridhisha iko palepale endapo kukiwa na zuio la serikali ya nchi husika.

Ndio maana katika michango yangu ya awali, nilijikita zaidi kunukuu takwimu za mauzo ya Urusi (exports) zilizokusanywa kutoka kwa international trade partners.

Shukrani!
 
Kwanza kabisa, ukizungumzia takwimu za uchumi wa dunia katika vipindi vya miaka mingi iliyopita, huwezi kusahau kumtaja mchumi mmoja anayefahamika kama Angus Maddison.

Angus Maddison alikuwa mwanahistoria wa uchumi, mtaalamu wa masuala ya uchumi wa dunia katika historia (kikiwemo kipindi ulichokitaja cha Roman Empire). Kazi zake za miaka mingi iliyopita zimepelekea kuanzishwa kwa kitu kinachofahamika kama The Maddison Project mwaka 2010 na pia The Maddison Project Database, yenye takwimu za uchumi za tangu mwaka 1 (AD 1) ambazo zimekuwa zikifanyiwa marekebisho mara kwa mara.

The Maddison Project inatajwa na wachumi mbalimbali duniani kama chanzo kimoja muhimu zaidi cha takwimu za uchumi wa dunia kihistoria.

Angus Maddison:
The Maddison Project:

Kwa ufahamu wangu kuhusiana na mbinu na nyenzo (methods) zinazotumika na hawa wachumi wanaosimamia hiyo project, takwimu za uchumi wa dunia za miaka au karne nyingi zilizopita zimekuwa zikifanyiwa makisio au zikikadiriwa kwa kutumia data za uchumi wa mwaka 1990 kama reference point kurudi nyuma na kuelekea mbele. Takwimu zao zote mpaka sasa zimekuwa zikizingatia 1990 benchmark iliyokwisha kuwekwa na Angus Maddison mwenyewe.

Hii mbinu ya makadirio kihisabati/kitakwimu inafahamika kama Extrapolation Method; ambayo ndio namna au mbinu kuu zaidi inayotumika na wachumi duniani kutoa makadirio ya uchumi wa karne nyingi zilizopita ama zile zitakazokuja baadaye. Hapa nimejibu swali lako la pili.

Extrapolation Method:

Sasa, pamoja na kuwa hawa jamaa wako makini na ripoti zao zinasifika na wachumi nguli na taasisi mbalimbali za kiuchumi duniani, hilo halimaanishi kuwa tunapaswa kuziamini takwimu zao kwa asilimia 100 kwamba ni sahihi. Kwa sababu, takwimu zao sio vitabu vya dini; nikiwa na maana ya kwamba, huwa zinafanyiwa marekebisho (revisions) kila wakati au mara kwa mara kutokana na mabadiliko mbalimbali ya uchumi wa dunia baada ya kufanyika kwa tafiti mpya, ukizingatia kuwa takwimu zinazotolewa kwa kiasi kikubwa zinahusu uchumi wa vipindi ambavyo kwa sasa hakuna aliyekuwepo.

Hebu fikiria: Kama takwimu za uchumi wa sasa, kipindi ambacho tumo ndani yake tukishuhudia, huwa zinafanyiwa revisions mara kwa mara, itakuwaje kwa takwimu za uchumi za kipindi ambacho hatukuwepo kukokotoa?

Hayo ndiyo majibu yangu kuhusiana na swali la kwanza na la pili.

Kuhusu swali la tatu:
Ili kutoa makadirio ya uchumi wa dunia, IMF hufuata utaratibu unaofahamika kama "bottom-up approach". Maana yake ni kwamba, mchakato mzima wa kufanikisha ripoti za uchumi wa dunia huwa unaanzia katika ngazi ya chini kabisa ambayo ni ndani ya nchi mojamoja kabla ya kufikia ngazi za juu za maamuzi.

IMF kama taasisi ya kimataifa ina ofisi ndogo na mwakilishi [au balozi] wake katika kila nchi mwanachama wa IMF; kwa kiingereza wanamuita country desk officer.

Huyu mwakilishi pamoja na timu yake ndiye anayekusanya taarifa zote muhimu za uchumi wa nchi anayofanyia kazi na kisha kukokotoa na kuandaa makisio au makadirio kwa mujibu wa kanuni na taratibu zilizowekwa na kuridhiwa na IMF pamoja na nchi wanachama, wakati huo mamlaka au serikali ya nchi husika inakuwa na jukumu kama mwanachama wa IMF la kukabidhi taarifa ambazo ni most current kuhusiana na uchumi wa nchi.

Kwa mujibu wa IMF, taasisi za ndani za nchi ndizo "ultimate providers" wa takwimu ama data za uchumi wa nchi husika.

Kupitia hizo taarifa kutoka taasisi za ndani [ama serikali], timu ya wataalamu kutoka IMF ndani ya nchi husika ikiongozwa na country desk officer hutoa makadirio ambayo baadaye hupitia mfululizo wa marudio, kisha hutolewa rasmi na IMF kupitia machapisho maalumu ambayo huwa tunayapata mara kwa mara. Hizi timu za wataalamu katika kila nchi huwa zinafanya kazi kwa kujitegemea, kwa maana ya kutokuwa na muingiliano wa kimajukumu kati ya timu ya nchi moja na nyingine, hivyo mbinu za utendaji kazi (methodologies) zinaweza kutofautiana kati ya timu ya nchi moja na ile ya nchi nyingine.

Ukitaka kufahamu zaidi kuhusu hilo, tembelea website ya IMF. Kuna kurasa za nchi zote wanachama wa IMF. Pia, kuna contacts ambazo unaweza kuwasiliana moja kwa moja na mwakilishi wa IMF aliyeko katika nchi yako kama ukihitaji kufanya hivyo.

Link:

Ili kujibu swali lako sasa:
As long as ofisi ya mwakilishi wa IMF inaendelea na majukumu yake kama kawaida, na serikali inatoa ushirikiano kama mwanachama hai, IMF inaweza kukusanya taarifa zote muhimu na kutoa ripoti za kiuchumi zinazohusu nchi husika. Kwahiyo, hata kipindi cha lockdowns kutokana na COVID-19, wawakilishi wa IMF na timu zao bado waliendelea na majukumu yao kama kawaida katika nchi walizopo bila ya kukiuka taratibu zingine za kujikinga na COVID-19.

Kwa sababu taasisi za nchi mwanachama wa IMF ndizo "ultimate providers" wa taarifa zinazotumiwa na IMF, tatizo kubwa linaibuka pale ambapo serikali ya nchi husika kwa makusudi inakataa kutoa ushirikiano kikamilifu katika kukabidhi data na pia kutoa hadharani taarifa za kisera na maendeleo ya kifedha na kiuchumi kwa ujumla kutoka katika taasisi na sekta zote muhimu za uchumi wa nchi. Matokeo yake ndiyo kile ambacho wamekisema kina Jeffrey Sonnenfeld.

Na uzuri zaidi, wataalamu wa IMF wamekiri wenyewe kwamba kuna massive uncertainty kuhusiana na mustakabali wa uchumi wa Urusi.

Swali la nne nililigusia kwa kiasi fulani katika post yangu iliyopita nikizungumzia kuhusu takwimu za mafuta na gesi kuzuiliwa.

Watafiti mbalimbali wanaolenga kubaini mauzo halisi ya mafuta na gesi ya Urusi wamekuwa wakitegemea zaidi takwimu za wanunuzi ama wateja wa mafuta na gesi kutoka Urusi. Vilevile, makisio mengi yamekuwa yakifanyika kupitia takwimu za mataifa ambayo yamekuwa yakinunua nishati kutoka Urusi (international trade partners). The same applies kwenye bidhaa nyinginezo.

Ni kweli kwamba taasisi kama IMF huwa inashirikisha vyanzo ama taasisi zingine za kimataifa katika kukusanya taarifa za kiuchumi ili kuandaa ripoti zao za makadirio ya uchumi, lakini vyanzo hivyo navyo hutegemea vyanzo vyao vya taarifa ili kutoa takwimu zao. Vilevile, miongoni mwa taasisi zinazoshirikiana na IMF, nazo pia hutegemea taarifa kutoka vyanzo vya ndani ya nchi ili kutoa ripoti zao kuhusu uchumi wa nchi husika. Maana yake ni kwamba, changamoto ya kutopata taarifa zinazoridhisha iko palepale endapo kukiwa na zuio la serikali ya nchi husika.

Ndio maana katika michango yangu ya awali, nilijikita zaidi kunukuu takwimu za mauzo ya Urusi (exports) zilizokusanywa kutoka kwa international trade partners.

Shukrani!
Mkuu nimekusoma,

Kuhusu hili la takwimu hata Harvard Business School walitengeneza mbinu yao ya kutabiri (Forecasting Model) uchumi mwaka 2020. Mbinu inatumia Historia na Uchumi, kama Madisson ila inaongezea mambo mengine muhimu tu ambayo yanatoa taswira nzuri kabisa ya uchumi, hata kama nchi haitatoa takwimu. Binafsi nadhani, uchumi ni kama mimba, huwezi kuuficha hata siku.

Tujipe muda na tuombe uzima, tutarudi tena kwenye huu mjadala kufahamu mbivu na mbichi....
 
Mkuu The Boy Wonder nilisema sana humu kuwa matatizo ya uchumi duniani yana sababishwa na macro economic variables nyingi tu na sio factor moja tu ya Urusi. Nadhani umeshuhudia china inavyopata mtikisiko wa uchumi je utasema nayo ina uchumi wa makaratasi??
Ndugu mchumi unadhani mimi napingana na wewe kwamba matatizo ya uchumi wa dunia yanavisababishi vingi (Macro-Economic Variables). Hili nalifahamu vizuri tu, na nadhani hakuna muungwana anayeweza kulipinga. Hakuna ambaye anakataa kwamba mataifa kama Marekani na chama chake cha G7 wana uchumi mkubwa duniani. Ambapo mimi na wewe tunapishana ni hapa tu:

Biashara ya kimataifa (International Trade) inaathiri Macro-Economic factors kama, Interest Rates, Inflation and Currency Exchange. Ukizingatia dunia ya utawandawazi ilivyo, taifa ambalo linaongoza na kutegemewa kwa kuuza bidhaa za muhimu kama nishati na chakula ambazo ndiyo uti wa mgongo wa uchumi wa viwanda duniani, huwa na nafasi ya kipekee kwenye uchumi wa dunia hata kama litakuwa na uchumi wa kawaida.

Ndiyo maana mara zaidi ya 5 nimekuuliza kuhusu AUSTRALIA kama mfano hai wa hili nalolizungumza ila maza zote umekwepa kunijibu. Natumai tutakuwa tumeelewana.
 
Ndugu mchumi unadhani mimi napingana na wewe kwamba matatizo ya uchumi wa dunia yanavisababishi vingi (Macro-Economic Variables). Hili nalifahamu vizuri tu, na nadhani hakuna muungwana anayeweza kulipinga. Hakuna ambaye anakataa kwamba mataifa kama Marekani na chama chake cha G7 wana uchumi mkubwa duniani. Ambapo mimi na wewe tunapishana ni hapa tu:

Biashara ya kimataifa (International Trade) inaathiri Macro-Economic factors kama, Interest Rates, Inflation and Currency Exchange. Ukizingatia dunia ya utawandawazi ilivyo, taifa ambalo linaongoza na kutegemewa kwa kuuza bidhaa za muhimu kama nishati na chakula ambazo ndiyo uti wa mgongo wa uchumi wa viwanda duniani, huwa na nafasi ya kipekee kwenye uchumi wa dunia hata kama litakuwa na uchumi wa kawaida.

Ndiyo maana mara zaidi ya 5 nimekuuliza kuhusu AUSTRALIA kama mfano hai wa hili nalolizungumza ila maza zote umekwepa kunijibu. Natumai tutakuwa tumeelewana.
Nimefurai na uzi huu upo kisomi na evidence toka kwa mtaalam google
 
Nitajibu swali lako kama ifuatavyo:

Uchumi wa Russia haujateteleka kwa sababu zifuatazo

1. Russia ni Superpower Halisi: unavyodeal na nchi kubwa kama Russia inakupasa uwe na Plan B au C. West walishindwa kutambua Stage alokuwa amefikia Russia ilikua ni stage kubwa sana. Sababu Russia alizifanya nchi za ulaya kuwa dependent kwake kwenye suala la Nishati na ili kuwakamata zaidi alijenga pipes “strems” za kusuply gas na mafuta kwa cheap price.

2. Nature of economic system: Russia ni socialist state hivo major means of production ziko under the government. Zile sector zinazobeba uchumi wa nchi bhasi kuna mkono wa Serikali. Ndomana unaona hizi Gazprom na Rosatam bado ziliendelea kufanya vizuri licha ya vikwazo.

3. Strong leadership

4. Russia ni moja ya nchi ambazo zinajitegemea kiuchumi hawa jamaa karibu 90% wanajitegemea ni asilimia ndogo sana ambazo wana import.

5. Russia wana intelejensia hatari sana ambayo inafanya kazi kwa ufanisi mkubwa (FSB).

6. Russia is Rich in natural resource ($75 trillion approximately)
Urusi sio socialist country, ujamaa ulishakufa muda mrefu sana Urusi. Ukiacha kampuni chache za gesi na sila sehemu kubwa ya uchumi wa Urusi inamilikiwa na mabwenyenye wa kirusi "Oligarchs" kama Vladmir Lisin, Vladmir Potanin, Prighozin, Roman Abromovich n.k
 
Nakupata mkuu, lakini naomba niulize tu. Fiat Currency kama dola ya Marekani inapima thamani gani ya ya bidhaa zilizopo ilhali leo hii inaweza ikachapishwa na kushushwa thamani na benki kuu ya Marekani wanapotaka wao kutimiza malengo fulani ya kiuchumi au kisiasa (Currency Debasement), mfano kuhimili deni la taifa (Avoiding default) na kuchangia bejeti hafifu (To cover deficit), ???

Hivi ndugu yangu, nchi yenye Budget Deficit na Large Debt surpasing the 70% GDP threshold, fedha zake na masoko ya mitaji yanaweza kweli kuakisi uhalisia wa uchumi wa nchi hiyo, ???

Mitaji, Ubunifu na Teknolojia haviwezi kulifanya taifa likawa tajiri bila kuwa na bidhaa muhimu kama dhahabu, nishati na chakula. Hizi ndizo bidhaa muhimu zinazoufanya uchumi wa nchi uhimili mfumuko wa bei usio na mpangilio. Masoko ya huduma, mitaji na bidhaa nyingine ni muhimu, lakini hayawezi kuzudi umuhimu wa nishati, chakula na dhahabu kwenye uchumi wa nchi.

Kiufupi, hata Marekani na Uingereza waliweza kuwa mataifa tajiri zaidi duniani kwasababu yalikuwa yanamiliki rasilimali nyingi zaidi duniani kama nishati, chakula na dhahabu kuliko mataifa mengine. Uingereza baada ya kupoteza makoloni yake mitaji, teknolojia na ubunifu, wake haujamsaidia sana kwasababu hana rasilimali muhimu kama ilivyokuwa hapo mwanzo. Huu ndiyo ukweli mchungu ambao wengi hampendi kuusikia.

Supply Chain Shock ni tatizo zaidi kwa nchi ambazo zinategemea uchumi wa masoko ya mitaji peke yake bila kuwa na rasilimali (Tangible Assets) kama dhahabu, chakula na nishati. Mwaka jana mchumi Prof Joseph Stiglitz alisema kauli ambayo ilikera wengi nchini Marekani. Kwamba kupandisha riba juu au kutumia mbinu mbalimbali za kiuchumi bila kuingiza bidhaa muhimu hakuwezi saidia uchumi wa nchi kama inavyotarajiwa.

Lakini unasahau kwamba, riba zikipandishwa juu, thamani za hati-fungani (Bonds) huwa zinashuka jambo ambalo hupelekea taasisi mbalimbali za kifedha kushindwa kutoa huduma ipasavyo. Mfano halisi, wachumi wa Marekani walikuja na mbinu ha kupunguza riba hadi kufika 0.5%, hivyo kufanya watu wakope sana kwasababu mikopo ni bei nafuu.

Watu wakichukua mikopo kwa gharama ndogo hawaendi kujenge nyumba, ila wanazichukua na kwenda kuwekeza kwenye masoko ya mitaji tena. Hivyo mara nyingi hawa watu wanatajirika kupitia masoko ya mitaji tu, bila kuwa na vitu (Tangible Assets). Aidha sasa, unapotokea mkwamo fulani kwenye uchumi na kupelekea mfumuko wa bei kuwa mkubwa, benki kuu inapopandisha riba juu basi fahamu kabisa kuna watu wanaumia.

Marekani imepandisha riba hadi kufika 6%, jambo ambalo siyo la kawaida. Madhara ya hizi sera za kiuchumi zimeyakuta mabenki ambayo yamewekeza sana kwenye soko la hati-fungani. Riba zikiwa juu, thamani ya hati fungani hushuka chini hivyo mabenki hayawezi kupata fedha za kuweza kuwapa wateja wake. Mwishowe yanaanguka.

Mkuu, kubwa zaidi ni kwamba riba zikipanda juu, akiba za watu (Savings) hushuka thamani na kufanya maisha ya watu kuwa magumu. Majanga yote haya yanaweza kusababishwa na jambo dogo tu kama SPECULATION OF PRICES hasahasa kwenye masoko ya teknolojia (Start-Ups) au ardhi (Real-Estate).

Ndiyo maana wachumi wengi hushauri kwamba watu wawekeze zaidi kwenye vito vya thamani (Gold Bars, Bullions and Coins) kuliko kuweka hela kule benki ambako mtu mmoja anaweza kuamua tu kuvuruga uchumi, hela zikashuka thamani ukaishia kuwa masikini. Hili lipo hata kwenye mataifa makubwa.

Umesema Money Stores Value kuliko rasilimali kama chakula. lla ukweli wa hii kauli kwenye vitendo ni upi ? Kwamba, fedha inaweza kukaa na thamani kupita rasilimali kama dhahabu, hebu tuelezane mwamba.

Mwisho kabisa, nimesoma kidogo kuhusu historia ya mitikisiko mikubwa ya uchumi duniani. Nikiri na kusema kwamba Open Markets Operations, Currency Pegging, Broad Money Reforms na Interest Rates siyo njia pekee na sahihi za kudhibiti uchumi. Kuna njia zimetumiwa na mataifa kudhibiti uchumi moja kwa moja kwa kushughulika na bidhaa na matokeo yalikuwa ni chanya. Hii ilitumika Marekani mwaka 1971 (The Nixon Shock) na mfumuko wa bei uliisha ndani ya mwezi mmoja tu.

Mbinu hii wachumi wengi duniani haswa wale waliberali wanaichukia, lakini wachumi wakihafidhina kama Prof Richard Wolff wanasema ndiyo sahihi zaidi kuliko kutumia Fiscal & Monetary Policies ambazo tumezoea kuzitumia.

Wewe kama mchumi ulitakiwa utoe takwimu kuthibitisha hii kauli. Unachokisema mimi sikubaliani nacho kwasababu za kiuchumi kabisa. Hebu nikupe mfano halisi tu. Marekani anatumia FIAT CURRENCY (Currency not pegged to the price of Gold).

Tukisema mbinu kama Currency Pegging inafanya kazi nadhani tutakuwa waongo kabisa. BENKI KUU YA MAREKANI inasema kwamba serikali ya Marekani inamiliki dhahabu nyingi zaidi duniani kule Fort-Knox kiasi cha tani 1833, kiasi ambacho hata uunanishe dhahabu ya Ujerumani, Urusi na Ufarasa hawawezi kukifikia.

Kasheshe la kiuchumi linakuja hapa: Mpaka kufika mwezi February 2023, takwimu zinasema MONEY-BASE (Phyasical Money in Circulation) ya Marekani ni Dola Trilioni 5.3 ilhali dhahabu ambayo inategemewa ishikilie dola ya Kimarekani thamani yake ni milioni 261 OZ (Troy Ounce).


Sasa tukifanya mahesabu rahisi ya Currency Pegging (5.3 Trillion / 261 Million Troy Ounce = $ 20,306 Per Ounce). Hapo inamaanisha kwamba OZ moja inanunuliwa kwa dola za kimarekani 20,306. Zamani Ounce moja ya dhahabu iliuzwa dola za kimarekani 2000 tu.

Hapa inamaanisha kwamba kama ulikuwa na fedha za kimarekani dola 400,000 ili kununua nyumba yenye hiyo thamani halafu ukafanya Currency Pegging inakula kwako. Kumbuka dola 400,000 ni sawa na Ounce 200 za dhahabu. Ukifanya Currency Pegging through Gold, kwa kanuni ya hapo juu basi utakuta dhahabu imepanda bei huku dola ikishuka thamani.

Hizo Ounce 200 za dhahabu zitapanda bei na kutoka dola 400,000 hadi dola 4,000,000 za kimarekani. Kumbuka katika yake mahesabu dola itanunua dhahabu kwa gharama ya $ 20,306 kwa Ounce. Sasa Money Base (MO) ni trillioni 5.3, hilo la kusema kwamba utajiri wa makaratasi unaakisi uhalisia wa uchumi linatoka wapi ndugu yangu, ???

Hela zimekuwa nyingi kwenye mzunguko kwasababu Marekani anachapisha fedha hovyo ili kuhimili deni lake kubwa ambalo haliwezi kulipika, lakini pia kwasababu Marekani ana BUDGET-DEFICIT. Hivyo anatumia nguvu za fedha yake kuzifanya nchi za dunia nzima ziupe ruzuku uchumi wa Marekani (The Entire world is subsidizing American Economy through the dollar and capital markets)

Huoni hapa kuna tatizo, kama nakosea hebu nipe mahesabu sahihi! Nasubiri mkuu...


Naeka kituo hapa
 
Nakupata mkuu, lakini naomba niulize tu. Fiat Currency kama dola ya Marekani inapima thamani gani ya ya bidhaa zilizopo ilhali leo hii inaweza ikachapishwa na kushushwa thamani na benki kuu ya Marekani wanapotaka wao kutimiza malengo fulani ya kiuchumi au kisiasa (Currency Debasement), mfano kuhimili deni la taifa (Avoiding default) na kuchangia bejeti hafifu (To cover deficit), ???

Hivi ndugu yangu, nchi yenye Budget Deficit na Large Debt surpasing the 70% GDP threshold, fedha zake na masoko ya mitaji yanaweza kweli kuakisi uhalisia wa uchumi wa nchi hiyo, ???

Mitaji, Ubunifu na Teknolojia haviwezi kulifanya taifa likawa tajiri bila kuwa na bidhaa muhimu kama dhahabu, nishati na chakula. Hizi ndizo bidhaa muhimu zinazoufanya uchumi wa nchi uhimili mfumuko wa bei usio na mpangilio. Masoko ya huduma, mitaji na bidhaa nyingine ni muhimu, lakini hayawezi kuzudi umuhimu wa nishati, chakula na dhahabu kwenye uchumi wa nchi.

Kiufupi, hata Marekani na Uingereza waliweza kuwa mataifa tajiri zaidi duniani kwasababu yalikuwa yanamiliki rasilimali nyingi zaidi duniani kama nishati, chakula na dhahabu kuliko mataifa mengine. Uingereza baada ya kupoteza makoloni yake mitaji, teknolojia na ubunifu, wake haujamsaidia sana kwasababu hana rasilimali muhimu kama ilivyokuwa hapo mwanzo. Huu ndiyo ukweli mchungu ambao wengi hampendi kuusikia.

Supply Chain Shock ni tatizo zaidi kwa nchi ambazo zinategemea uchumi wa masoko ya mitaji peke yake bila kuwa na rasilimali (Tangible Assets) kama dhahabu, chakula na nishati. Mwaka jana mchumi Prof Joseph Stiglitz alisema kauli ambayo ilikera wengi nchini Marekani. Kwamba kupandisha riba juu au kutumia mbinu mbalimbali za kiuchumi bila kuingiza bidhaa muhimu hakuwezi saidia uchumi wa nchi kama inavyotarajiwa.

Lakini unasahau kwamba, riba zikipandishwa juu, thamani za hati-fungani (Bonds) huwa zinashuka jambo ambalo hupelekea taasisi mbalimbali za kifedha kushindwa kutoa huduma ipasavyo. Mfano halisi, wachumi wa Marekani walikuja na mbinu ha kupunguza riba hadi kufika 0.5%, hivyo kufanya watu wakope sana kwasababu mikopo ni bei nafuu.

Watu wakichukua mikopo kwa gharama ndogo hawaendi kujenge nyumba, ila wanazichukua na kwenda kuwekeza kwenye masoko ya mitaji tena. Hivyo mara nyingi hawa watu wanatajirika kupitia masoko ya mitaji tu, bila kuwa na vitu (Tangible Assets). Aidha sasa, unapotokea mkwamo fulani kwenye uchumi na kupelekea mfumuko wa bei kuwa mkubwa, benki kuu inapopandisha riba juu basi fahamu kabisa kuna watu wanaumia.

Marekani imepandisha riba hadi kufika 6%, jambo ambalo siyo la kawaida. Madhara ya hizi sera za kiuchumi zimeyakuta mabenki ambayo yamewekeza sana kwenye soko la hati-fungani. Riba zikiwa juu, thamani ya hati fungani hushuka chini hivyo mabenki hayawezi kupata fedha za kuweza kuwapa wateja wake. Mwishowe yanaanguka.

Mkuu, kubwa zaidi ni kwamba riba zikipanda juu, akiba za watu (Savings) hushuka thamani na kufanya maisha ya watu kuwa magumu. Majanga yote haya yanaweza kusababishwa na jambo dogo tu kama SPECULATION OF PRICES hasahasa kwenye masoko ya teknolojia (Start-Ups) au ardhi (Real-Estate).

Ndiyo maana wachumi wengi hushauri kwamba watu wawekeze zaidi kwenye vito vya thamani (Gold Bars, Bullions and Coins) kuliko kuweka hela kule benki ambako mtu mmoja anaweza kuamua tu kuvuruga uchumi, hela zikashuka thamani ukaishia kuwa masikini. Hili lipo hata kwenye mataifa makubwa.

Umesema Money Stores Value kuliko rasilimali kama chakula. lla ukweli wa hii kauli kwenye vitendo ni upi ? Kwamba, fedha inaweza kukaa na thamani kupita rasilimali kama dhahabu, hebu tuelezane mwamba.

Mwisho kabisa, nimesoma kidogo kuhusu historia ya mitikisiko mikubwa ya uchumi duniani. Nikiri na kusema kwamba Open Markets Operations, Currency Pegging, Broad Money Reforms na Interest Rates siyo njia pekee na sahihi za kudhibiti uchumi. Kuna njia zimetumiwa na mataifa kudhibiti uchumi moja kwa moja kwa kushughulika na bidhaa na matokeo yalikuwa ni chanya. Hii ilitumika Marekani mwaka 1971 (The Nixon Shock) na mfumuko wa bei uliisha ndani ya mwezi mmoja tu.

Mbinu hii wachumi wengi duniani haswa wale waliberali wanaichukia, lakini wachumi wakihafidhina kama Prof Richard Wolff wanasema ndiyo sahihi zaidi kuliko kutumia Fiscal & Monetary Policies ambazo tumezoea kuzitumia.

Wewe kama mchumi ulitakiwa utoe takwimu kuthibitisha hii kauli. Unachokisema mimi sikubaliani nacho kwasababu za kiuchumi kabisa. Hebu nikupe mfano halisi tu. Marekani anatumia FIAT CURRENCY (Currency not pegged to the price of Gold).

Tukisema mbinu kama Currency Pegging inafanya kazi nadhani tutakuwa waongo kabisa. BENKI KUU YA MAREKANI inasema kwamba serikali ya Marekani inamiliki dhahabu nyingi zaidi duniani kule Fort-Knox kiasi cha tani 1833, kiasi ambacho hata uunanishe dhahabu ya Ujerumani, Urusi na Ufarasa hawawezi kukifikia.

Kasheshe la kiuchumi linakuja hapa: Mpaka kufika mwezi February 2023, takwimu zinasema MONEY-BASE (Phyasical Money in Circulation) ya Marekani ni Dola Trilioni 5.3 ilhali dhahabu ambayo inategemewa ishikilie dola ya Kimarekani thamani yake ni milioni 261 OZ (Troy Ounce).


Sasa tukifanya mahesabu rahisi ya Currency Pegging (5.3 Trillion / 261 Million Troy Ounce = $ 20,306 Per Ounce). Hapo inamaanisha kwamba OZ moja inanunuliwa kwa dola za kimarekani 20,306. Zamani Ounce moja ya dhahabu iliuzwa dola za kimarekani 2000 tu.

Hapa inamaanisha kwamba kama ulikuwa na fedha za kimarekani dola 400,000 ili kununua nyumba yenye hiyo thamani halafu ukafanya Currency Pegging inakula kwako. Kumbuka dola 400,000 ni sawa na Ounce 200 za dhahabu. Ukifanya Currency Pegging through Gold, kwa kanuni ya hapo juu basi utakuta dhahabu imepanda bei huku dola ikishuka thamani.

Hizo Ounce 200 za dhahabu zitapanda bei na kutoka dola 400,000 hadi dola 4,000,000 za kimarekani. Kumbuka katika yake mahesabu dola itanunua dhahabu kwa gharama ya $ 20,306 kwa Ounce. Sasa Money Base (MO) ni trillioni 5.3, hilo la kusema kwamba utajiri wa makaratasi unaakisi uhalisia wa uchumi linatoka wapi ndugu yangu, ???

Hela zimekuwa nyingi kwenye mzunguko kwasababu Marekani anachapisha fedha hovyo ili kuhimili deni lake kubwa ambalo haliwezi kulipika, lakini pia kwasababu Marekani ana BUDGET-DEFICIT. Hivyo anatumia nguvu za fedha yake kuzifanya nchi za dunia nzima ziupe ruzuku uchumi wa Marekani (The Entire world is subsidizing American Economy through the dollar and capital markets)

Huoni hapa kuna tatizo, kama nakosea hebu nipe mahesabu sahihi! Nasubiri mkuu...


Mitaji, Ubunifu na Teknolojia ndio kila kitu karne hii na ndivyo vinayafanya mataifa kuwa tajiri na yenye nguvu bila hata kuwa na bidhaa kama dhahabu, mafuta/gesi na chakula. Mitaji, ubunifu na Teknolojia ndizo nyenzo muhimu zinazoufanya uchumi wa nchi uhimili mfumuko wa bei usio na mpangilio. Masoko ya huduma, mitaji na teknolojia nyingine ni muhimu na ndio yanaendesha sekta za nishati, chakula na dhahabu katika karne hii.
Mfano mzuri ni
Singapore,
Taiwan,
Japan,
Korea Kusini,
Switzerland.

Pia sijui kwa nini watu wengi huwa wanafikiria Marekani haina rasilimali nyingi, haizalishi chakula na nishati, inawezekana ni kukosa exposure tu. Kwa taarifa yako Marekani ni mojawapo ya mataifa matano duniani yenye rasilimali nyingi zaidi na pia ndiye exporter/muuzaji wa chakula kwa mataifa mengine ya nje namba 1 duniani.
Ndiyo nchi yenye hifadhi ya dhahabu kubwa zaidi duniani.
 
Nitajibu swali lako kama ifuatavyo:

Uchumi wa Russia haujateteleka kwa sababu zifuatazo

1. Russia ni Superpower Halisi: unavyodeal na nchi kubwa kama Russia inakupasa uwe na Plan B au C. West walishindwa kutambua Stage alokuwa amefikia Russia ilikua ni stage kubwa sana. Sababu Russia alizifanya nchi za ulaya kuwa dependent kwake kwenye suala la Nishati na ili kuwakamata zaidi alijenga pipes “strems” za kusuply gas na mafuta kwa cheap price.

2. Nature of economic system: Russia ni socialist state hivo major means of production ziko under the government. Zile sector zinazobeba uchumi wa nchi bhasi kuna mkono wa Serikali. Ndomana unaona hizi Gazprom na Rosatam bado ziliendelea kufanya vizuri licha ya vikwazo.

3. Strong leadership

4. Russia ni moja ya nchi ambazo zinajitegemea kiuchumi hawa jamaa karibu 90% wanajitegemea ni asilimia ndogo sana ambazo wana import.

5. Russia wana intelejensia hatari sana ambayo inafanya kazi kwa ufanisi mkubwa (FSB).

6. Russia is Rich in natural resource ($75 trillion approximately)
Ivi ile pesa yao inakuja lini tuachane na dollar? Ebu nikumbushe inaitwaje?
 
Mataifa yote duniani kwa sasa yanatumia fiat currency. Hata hiyo ruble kuwa pegged kwa gold imefanyika mwaka jana tu Urusi wakati ikitafuta njia za kukimbia vikwazo vya uchumi vya West na bado hata haijawaha na manufaa yoyote ya kiuchumi kushinda nchi zote kama China zilizoko kwenye fiat currency. Ruble mwezi huu imeanguka vibaya kiasi karibia na wakati Urusi ilipoanzisha uvamizi wake Ukraine mwaka jana.
Nakupata mkuu, lakini naomba niulize tu. Fiat Currency kama dola ya Marekani inapima thamani gani ya ya bidhaa zilizopo ilhali leo hii inaweza ikachapishwa na kushushwa thamani na benki kuu ya Marekani wanapotaka wao kutimiza malengo fulani ya kiuchumi au kisiasa (Currency Debasement), mfano kuhimili deni la taifa (Avoiding default) na kuchangia bejeti hafifu (To cover deficit), ???

Hivi ndugu yangu, nchi yenye Budget Deficit na Large Debt surpasing the 70% GDP threshold, fedha zake na masoko ya mitaji yanaweza kweli kuakisi uhalisia wa uchumi wa nchi hiyo, ???

Mitaji, Ubunifu na Teknolojia haviwezi kulifanya taifa likawa tajiri bila kuwa na bidhaa muhimu kama dhahabu, nishati na chakula. Hizi ndizo bidhaa muhimu zinazoufanya uchumi wa nchi uhimili mfumuko wa bei usio na mpangilio. Masoko ya huduma, mitaji na bidhaa nyingine ni muhimu, lakini hayawezi kuzudi umuhimu wa nishati, chakula na dhahabu kwenye uchumi wa nchi.

Kiufupi, hata Marekani na Uingereza waliweza kuwa mataifa tajiri zaidi duniani kwasababu yalikuwa yanamiliki rasilimali nyingi zaidi duniani kama nishati, chakula na dhahabu kuliko mataifa mengine. Uingereza baada ya kupoteza makoloni yake mitaji, teknolojia na ubunifu, wake haujamsaidia sana kwasababu hana rasilimali muhimu kama ilivyokuwa hapo mwanzo. Huu ndiyo ukweli mchungu ambao wengi hampendi kuusikia.

Supply Chain Shock ni tatizo zaidi kwa nchi ambazo zinategemea uchumi wa masoko ya mitaji peke yake bila kuwa na rasilimali (Tangible Assets) kama dhahabu, chakula na nishati. Mwaka jana mchumi Prof Joseph Stiglitz alisema kauli ambayo ilikera wengi nchini Marekani. Kwamba kupandisha riba juu au kutumia mbinu mbalimbali za kiuchumi bila kuingiza bidhaa muhimu hakuwezi saidia uchumi wa nchi kama inavyotarajiwa.

Lakini unasahau kwamba, riba zikipandishwa juu, thamani za hati-fungani (Bonds) huwa zinashuka jambo ambalo hupelekea taasisi mbalimbali za kifedha kushindwa kutoa huduma ipasavyo. Mfano halisi, wachumi wa Marekani walikuja na mbinu ha kupunguza riba hadi kufika 0.5%, hivyo kufanya watu wakope sana kwasababu mikopo ni bei nafuu.

Watu wakichukua mikopo kwa gharama ndogo hawaendi kujenge nyumba, ila wanazichukua na kwenda kuwekeza kwenye masoko ya mitaji tena. Hivyo mara nyingi hawa watu wanatajirika kupitia masoko ya mitaji tu, bila kuwa na vitu (Tangible Assets). Aidha sasa, unapotokea mkwamo fulani kwenye uchumi na kupelekea mfumuko wa bei kuwa mkubwa, benki kuu inapopandisha riba juu basi fahamu kabisa kuna watu wanaumia.

Marekani imepandisha riba hadi kufika 6%, jambo ambalo siyo la kawaida. Madhara ya hizi sera za kiuchumi zimeyakuta mabenki ambayo yamewekeza sana kwenye soko la hati-fungani. Riba zikiwa juu, thamani ya hati fungani hushuka chini hivyo mabenki hayawezi kupata fedha za kuweza kuwapa wateja wake. Mwishowe yanaanguka.

Mkuu, kubwa zaidi ni kwamba riba zikipanda juu, akiba za watu (Savings) hushuka thamani na kufanya maisha ya watu kuwa magumu. Majanga yote haya yanaweza kusababishwa na jambo dogo tu kama SPECULATION OF PRICES hasahasa kwenye masoko ya teknolojia (Start-Ups) au ardhi (Real-Estate).

Ndiyo maana wachumi wengi hushauri kwamba watu wawekeze zaidi kwenye vito vya thamani (Gold Bars, Bullions and Coins) kuliko kuweka hela kule benki ambako mtu mmoja anaweza kuamua tu kuvuruga uchumi, hela zikashuka thamani ukaishia kuwa masikini. Hili lipo hata kwenye mataifa makubwa.

Umesema Money Stores Value kuliko rasilimali kama chakula. lla ukweli wa hii kauli kwenye vitendo ni upi ? Kwamba, fedha inaweza kukaa na thamani kupita rasilimali kama dhahabu, hebu tuelezane mwamba.

Mwisho kabisa, nimesoma kidogo kuhusu historia ya mitikisiko mikubwa ya uchumi duniani. Nikiri na kusema kwamba Open Markets Operations, Currency Pegging, Broad Money Reforms na Interest Rates siyo njia pekee na sahihi za kudhibiti uchumi. Kuna njia zimetumiwa na mataifa kudhibiti uchumi moja kwa moja kwa kushughulika na bidhaa na matokeo yalikuwa ni chanya. Hii ilitumika Marekani mwaka 1971 (The Nixon Shock) na mfumuko wa bei uliisha ndani ya mwezi mmoja tu.

Mbinu hii wachumi wengi duniani haswa wale waliberali wanaichukia, lakini wachumi wakihafidhina kama Prof Richard Wolff wanasema ndiyo sahihi zaidi kuliko kutumia Fiscal & Monetary Policies ambazo tumezoea kuzitumia.

Wewe kama mchumi ulitakiwa utoe takwimu kuthibitisha hii kauli. Unachokisema mimi sikubaliani nacho kwasababu za kiuchumi kabisa. Hebu nikupe mfano halisi tu. Marekani anatumia FIAT CURRENCY (Currency not pegged to the price of Gold).

Tukisema mbinu kama Currency Pegging inafanya kazi nadhani tutakuwa waongo kabisa. BENKI KUU YA MAREKANI inasema kwamba serikali ya Marekani inamiliki dhahabu nyingi zaidi duniani kule Fort-Knox kiasi cha tani 1833, kiasi ambacho hata uunanishe dhahabu ya Ujerumani, Urusi na Ufarasa hawawezi kukifikia.

Kasheshe la kiuchumi linakuja hapa: Mpaka kufika mwezi February 2023, takwimu zinasema MONEY-BASE (Phyasical Money in Circulation) ya Marekani ni Dola Trilioni 5.3 ilhali dhahabu ambayo inategemewa ishikilie dola ya Kimarekani thamani yake ni milioni 261 OZ (Troy Ounce).


Sasa tukifanya mahesabu rahisi ya Currency Pegging (5.3 Trillion / 261 Million Troy Ounce = $ 20,306 Per Ounce). Hapo inamaanisha kwamba OZ moja inanunuliwa kwa dola za kimarekani 20,306. Zamani Ounce moja ya dhahabu iliuzwa dola za kimarekani 2000 tu.

Hapa inamaanisha kwamba kama ulikuwa na fedha za kimarekani dola 400,000 ili kununua nyumba yenye hiyo thamani halafu ukafanya Currency Pegging inakula kwako. Kumbuka dola 400,000 ni sawa na Ounce 200 za dhahabu. Ukifanya Currency Pegging through Gold, kwa kanuni ya hapo juu basi utakuta dhahabu imepanda bei huku dola ikishuka thamani.

Hizo Ounce 200 za dhahabu zitapanda bei na kutoka dola 400,000 hadi dola 4,000,000 za kimarekani. Kumbuka katika yake mahesabu dola itanunua dhahabu kwa gharama ya $ 20,306 kwa Ounce. Sasa Money Base (MO) ni trillioni 5.3, hilo la kusema kwamba utajiri wa makaratasi unaakisi uhalisia wa uchumi linatoka wapi ndugu yangu, ???

Hela zimekuwa nyingi kwenye mzunguko kwasababu Marekani anachapisha fedha hovyo ili kuhimili deni lake kubwa ambalo haliwezi kulipika, lakini pia kwasababu Marekani ana BUDGET-DEFICIT. Hivyo anatumia nguvu za fedha yake kuzifanya nchi za dunia nzima ziupe ruzuku uchumi wa Marekani (The Entire world is subsidizing American Economy through the dollar and capital markets)

Huoni hapa kuna tatizo, kama nakosea hebu nipe mahesabu sahihi! Nasubiri mkuu...


 
Nakupata mkuu, lakini naomba niulize tu. Fiat Currency kama dola ya Marekani inapima thamani gani ya ya bidhaa zilizopo ilhali leo hii inaweza ikachapishwa na kushushwa thamani na benki kuu ya Marekani wanapotaka wao kutimiza malengo fulani ya kiuchumi au kisiasa (Currency Debasement), mfano kuhimili deni la taifa (Avoiding default) na kuchangia bejeti hafifu (To cover deficit), ???

Hivi ndugu yangu, nchi yenye Budget Deficit na Large Debt surpasing the 70% GDP threshold, fedha zake na masoko ya mitaji yanaweza kweli kuakisi uhalisia wa uchumi wa nchi hiyo, ???

Mitaji, Ubunifu na Teknolojia haviwezi kulifanya taifa likawa tajiri bila kuwa na bidhaa muhimu kama dhahabu, nishati na chakula. Hizi ndizo bidhaa muhimu zinazoufanya uchumi wa nchi uhimili mfumuko wa bei usio na mpangilio. Masoko ya huduma, mitaji na bidhaa nyingine ni muhimu, lakini hayawezi kuzudi umuhimu wa nishati, chakula na dhahabu kwenye uchumi wa nchi.

Kiufupi, hata Marekani na Uingereza waliweza kuwa mataifa tajiri zaidi duniani kwasababu yalikuwa yanamiliki rasilimali nyingi zaidi duniani kama nishati, chakula na dhahabu kuliko mataifa mengine. Uingereza baada ya kupoteza makoloni yake mitaji, teknolojia na ubunifu, wake haujamsaidia sana kwasababu hana rasilimali muhimu kama ilivyokuwa hapo mwanzo. Huu ndiyo ukweli mchungu ambao wengi hampendi kuusikia.

Supply Chain Shock ni tatizo zaidi kwa nchi ambazo zinategemea uchumi wa masoko ya mitaji peke yake bila kuwa na rasilimali (Tangible Assets) kama dhahabu, chakula na nishati. Mwaka jana mchumi Prof Joseph Stiglitz alisema kauli ambayo ilikera wengi nchini Marekani. Kwamba kupandisha riba juu au kutumia mbinu mbalimbali za kiuchumi bila kuingiza bidhaa muhimu hakuwezi saidia uchumi wa nchi kama inavyotarajiwa.

Lakini unasahau kwamba, riba zikipandishwa juu, thamani za hati-fungani (Bonds) huwa zinashuka jambo ambalo hupelekea taasisi mbalimbali za kifedha kushindwa kutoa huduma ipasavyo. Mfano halisi, wachumi wa Marekani walikuja na mbinu ha kupunguza riba hadi kufika 0.5%, hivyo kufanya watu wakope sana kwasababu mikopo ni bei nafuu.

Watu wakichukua mikopo kwa gharama ndogo hawaendi kujenge nyumba, ila wanazichukua na kwenda kuwekeza kwenye masoko ya mitaji tena. Hivyo mara nyingi hawa watu wanatajirika kupitia masoko ya mitaji tu, bila kuwa na vitu (Tangible Assets). Aidha sasa, unapotokea mkwamo fulani kwenye uchumi na kupelekea mfumuko wa bei kuwa mkubwa, benki kuu inapopandisha riba juu basi fahamu kabisa kuna watu wanaumia.

Marekani imepandisha riba hadi kufika 6%, jambo ambalo siyo la kawaida. Madhara ya hizi sera za kiuchumi zimeyakuta mabenki ambayo yamewekeza sana kwenye soko la hati-fungani. Riba zikiwa juu, thamani ya hati fungani hushuka chini hivyo mabenki hayawezi kupata fedha za kuweza kuwapa wateja wake. Mwishowe yanaanguka.

Mkuu, kubwa zaidi ni kwamba riba zikipanda juu, akiba za watu (Savings) hushuka thamani na kufanya maisha ya watu kuwa magumu. Majanga yote haya yanaweza kusababishwa na jambo dogo tu kama SPECULATION OF PRICES hasahasa kwenye masoko ya teknolojia (Start-Ups) au ardhi (Real-Estate).

Ndiyo maana wachumi wengi hushauri kwamba watu wawekeze zaidi kwenye vito vya thamani (Gold Bars, Bullions and Coins) kuliko kuweka hela kule benki ambako mtu mmoja anaweza kuamua tu kuvuruga uchumi, hela zikashuka thamani ukaishia kuwa masikini. Hili lipo hata kwenye mataifa makubwa.

Umesema Money Stores Value kuliko rasilimali kama chakula. lla ukweli wa hii kauli kwenye vitendo ni upi ? Kwamba, fedha inaweza kukaa na thamani kupita rasilimali kama dhahabu, hebu tuelezane mwamba.

Mwisho kabisa, nimesoma kidogo kuhusu historia ya mitikisiko mikubwa ya uchumi duniani. Nikiri na kusema kwamba Open Markets Operations, Currency Pegging, Broad Money Reforms na Interest Rates siyo njia pekee na sahihi za kudhibiti uchumi. Kuna njia zimetumiwa na mataifa kudhibiti uchumi moja kwa moja kwa kushughulika na bidhaa na matokeo yalikuwa ni chanya. Hii ilitumika Marekani mwaka 1971 (The Nixon Shock) na mfumuko wa bei uliisha ndani ya mwezi mmoja tu.

Mbinu hii wachumi wengi duniani haswa wale waliberali wanaichukia, lakini wachumi wakihafidhina kama Prof Richard Wolff wanasema ndiyo sahihi zaidi kuliko kutumia Fiscal & Monetary Policies ambazo tumezoea kuzitumia.

Wewe kama mchumi ulitakiwa utoe takwimu kuthibitisha hii kauli. Unachokisema mimi sikubaliani nacho kwasababu za kiuchumi kabisa. Hebu nikupe mfano halisi tu. Marekani anatumia FIAT CURRENCY (Currency not pegged to the price of Gold).

Tukisema mbinu kama Currency Pegging inafanya kazi nadhani tutakuwa waongo kabisa. BENKI KUU YA MAREKANI inasema kwamba serikali ya Marekani inamiliki dhahabu nyingi zaidi duniani kule Fort-Knox kiasi cha tani 1833, kiasi ambacho hata uunanishe dhahabu ya Ujerumani, Urusi na Ufarasa hawawezi kukifikia.

Kasheshe la kiuchumi linakuja hapa: Mpaka kufika mwezi February 2023, takwimu zinasema MONEY-BASE (Phyasical Money in Circulation) ya Marekani ni Dola Trilioni 5.3 ilhali dhahabu ambayo inategemewa ishikilie dola ya Kimarekani thamani yake ni milioni 261 OZ (Troy Ounce).


Sasa tukifanya mahesabu rahisi ya Currency Pegging (5.3 Trillion / 261 Million Troy Ounce = $ 20,306 Per Ounce). Hapo inamaanisha kwamba OZ moja inanunuliwa kwa dola za kimarekani 20,306. Zamani Ounce moja ya dhahabu iliuzwa dola za kimarekani 2000 tu.

Hapa inamaanisha kwamba kama ulikuwa na fedha za kimarekani dola 400,000 ili kununua nyumba yenye hiyo thamani halafu ukafanya Currency Pegging inakula kwako. Kumbuka dola 400,000 ni sawa na Ounce 200 za dhahabu. Ukifanya Currency Pegging through Gold, kwa kanuni ya hapo juu basi utakuta dhahabu imepanda bei huku dola ikishuka thamani.

Hizo Ounce 200 za dhahabu zitapanda bei na kutoka dola 400,000 hadi dola 4,000,000 za kimarekani. Kumbuka katika yake mahesabu dola itanunua dhahabu kwa gharama ya $ 20,306 kwa Ounce. Sasa Money Base (MO) ni trillioni 5.3, hilo la kusema kwamba utajiri wa makaratasi unaakisi uhalisia wa uchumi linatoka wapi ndugu yangu, ???

Hela zimekuwa nyingi kwenye mzunguko kwasababu Marekani anachapisha fedha hovyo ili kuhimili deni lake kubwa ambalo haliwezi kulipika, lakini pia kwasababu Marekani ana BUDGET-DEFICIT. Hivyo anatumia nguvu za fedha yake kuzifanya nchi za dunia nzima ziupe ruzuku uchumi wa Marekani (The Entire world is subsidizing American Economy through the dollar and capital markets)

Huoni hapa kuna tatizo, kama nakosea hebu nipe mahesabu sahihi! Nasubiri mkuu...


Huelewei kabisa masoko ya mitaji ya West yanvoyofanya kazi na jinsi gani raia wa West wanavyonufaika nayo. Ni vyema ukafahamu Multinationals companies kubwa duniani kama sio state owned basi zinapata mitaji yake katika masoko ya mitaji ya West au benki za West, faida wanayopata nyingi zaidi inaenda kwa raia wa huko West,

Hizi kampuni Multinationals au kubwa kama
Barrick Gold,
VISA
Coca-Cola,
Pepsi,
Boeing,
BMW, Scania, Ford
Microsoft,
HP, DELL, ASUS, Apple,
META( Facebook, Instagram), YouTube, Twitter/X, Snapchat, Google, WhatsApp
kampuni za silaha,
Hoteli kama Hyatt, Sheraton
Makampuni ya tumbaku, pombe
Exim bank,
Benki kama Standard Chartered ya Uingereza faida yake kwa 90% inatoka Africa na Asia.

Mitaji ya haya Makampuni na mengine mengi ni kupitia masoko ya mitaji huko US na Ulaya na pia faida inayopatakina kiasi kikubwa zaidi kinarudi kwa hao raia wanaonunua hizo hisa zao.
 
Nakupata mkuu, lakini naomba niulize tu. Fiat Currency kama dola ya Marekani inapima thamani gani ya ya bidhaa zilizopo ilhali leo hii inaweza ikachapishwa na kushushwa thamani na benki kuu ya Marekani wanapotaka wao kutimiza malengo fulani ya kiuchumi au kisiasa (Currency Debasement), mfano kuhimili deni la taifa (Avoiding default) na kuchangia bejeti hafifu (To cover deficit), ???

Hivi ndugu yangu, nchi yenye Budget Deficit na Large Debt surpasing the 70% GDP threshold, fedha zake na masoko ya mitaji yanaweza kweli kuakisi uhalisia wa uchumi wa nchi hiyo, ???

Mitaji, Ubunifu na Teknolojia haviwezi kulifanya taifa likawa tajiri bila kuwa na bidhaa muhimu kama dhahabu, nishati na chakula. Hizi ndizo bidhaa muhimu zinazoufanya uchumi wa nchi uhimili mfumuko wa bei usio na mpangilio. Masoko ya huduma, mitaji na bidhaa nyingine ni muhimu, lakini hayawezi kuzudi umuhimu wa nishati, chakula na dhahabu kwenye uchumi wa nchi.

Kiufupi, hata Marekani na Uingereza waliweza kuwa mataifa tajiri zaidi duniani kwasababu yalikuwa yanamiliki rasilimali nyingi zaidi duniani kama nishati, chakula na dhahabu kuliko mataifa mengine. Uingereza baada ya kupoteza makoloni yake mitaji, teknolojia na ubunifu, wake haujamsaidia sana kwasababu hana rasilimali muhimu kama ilivyokuwa hapo mwanzo. Huu ndiyo ukweli mchungu ambao wengi hampendi kuusikia.

Supply Chain Shock ni tatizo zaidi kwa nchi ambazo zinategemea uchumi wa masoko ya mitaji peke yake bila kuwa na rasilimali (Tangible Assets) kama dhahabu, chakula na nishati. Mwaka jana mchumi Prof Joseph Stiglitz alisema kauli ambayo ilikera wengi nchini Marekani. Kwamba kupandisha riba juu au kutumia mbinu mbalimbali za kiuchumi bila kuingiza bidhaa muhimu hakuwezi saidia uchumi wa nchi kama inavyotarajiwa.

Lakini unasahau kwamba, riba zikipandishwa juu, thamani za hati-fungani (Bonds) huwa zinashuka jambo ambalo hupelekea taasisi mbalimbali za kifedha kushindwa kutoa huduma ipasavyo. Mfano halisi, wachumi wa Marekani walikuja na mbinu ha kupunguza riba hadi kufika 0.5%, hivyo kufanya watu wakope sana kwasababu mikopo ni bei nafuu.

Watu wakichukua mikopo kwa gharama ndogo hawaendi kujenge nyumba, ila wanazichukua na kwenda kuwekeza kwenye masoko ya mitaji tena. Hivyo mara nyingi hawa watu wanatajirika kupitia masoko ya mitaji tu, bila kuwa na vitu (Tangible Assets). Aidha sasa, unapotokea mkwamo fulani kwenye uchumi na kupelekea mfumuko wa bei kuwa mkubwa, benki kuu inapopandisha riba juu basi fahamu kabisa kuna watu wanaumia.

Marekani imepandisha riba hadi kufika 6%, jambo ambalo siyo la kawaida. Madhara ya hizi sera za kiuchumi zimeyakuta mabenki ambayo yamewekeza sana kwenye soko la hati-fungani. Riba zikiwa juu, thamani ya hati fungani hushuka chini hivyo mabenki hayawezi kupata fedha za kuweza kuwapa wateja wake. Mwishowe yanaanguka.

Mkuu, kubwa zaidi ni kwamba riba zikipanda juu, akiba za watu (Savings) hushuka thamani na kufanya maisha ya watu kuwa magumu. Majanga yote haya yanaweza kusababishwa na jambo dogo tu kama SPECULATION OF PRICES hasahasa kwenye masoko ya teknolojia (Start-Ups) au ardhi (Real-Estate).

Ndiyo maana wachumi wengi hushauri kwamba watu wawekeze zaidi kwenye vito vya thamani (Gold Bars, Bullions and Coins) kuliko kuweka hela kule benki ambako mtu mmoja anaweza kuamua tu kuvuruga uchumi, hela zikashuka thamani ukaishia kuwa masikini. Hili lipo hata kwenye mataifa makubwa.

Umesema Money Stores Value kuliko rasilimali kama chakula. lla ukweli wa hii kauli kwenye vitendo ni upi ? Kwamba, fedha inaweza kukaa na thamani kupita rasilimali kama dhahabu, hebu tuelezane mwamba.

Mwisho kabisa, nimesoma kidogo kuhusu historia ya mitikisiko mikubwa ya uchumi duniani. Nikiri na kusema kwamba Open Markets Operations, Currency Pegging, Broad Money Reforms na Interest Rates siyo njia pekee na sahihi za kudhibiti uchumi. Kuna njia zimetumiwa na mataifa kudhibiti uchumi moja kwa moja kwa kushughulika na bidhaa na matokeo yalikuwa ni chanya. Hii ilitumika Marekani mwaka 1971 (The Nixon Shock) na mfumuko wa bei uliisha ndani ya mwezi mmoja tu.

Mbinu hii wachumi wengi duniani haswa wale waliberali wanaichukia, lakini wachumi wakihafidhina kama Prof Richard Wolff wanasema ndiyo sahihi zaidi kuliko kutumia Fiscal & Monetary Policies ambazo tumezoea kuzitumia.

Wewe kama mchumi ulitakiwa utoe takwimu kuthibitisha hii kauli. Unachokisema mimi sikubaliani nacho kwasababu za kiuchumi kabisa. Hebu nikupe mfano halisi tu. Marekani anatumia FIAT CURRENCY (Currency not pegged to the price of Gold).

Tukisema mbinu kama Currency Pegging inafanya kazi nadhani tutakuwa waongo kabisa. BENKI KUU YA MAREKANI inasema kwamba serikali ya Marekani inamiliki dhahabu nyingi zaidi duniani kule Fort-Knox kiasi cha tani 1833, kiasi ambacho hata uunanishe dhahabu ya Ujerumani, Urusi na Ufarasa hawawezi kukifikia.

Kasheshe la kiuchumi linakuja hapa: Mpaka kufika mwezi February 2023, takwimu zinasema MONEY-BASE (Phyasical Money in Circulation) ya Marekani ni Dola Trilioni 5.3 ilhali dhahabu ambayo inategemewa ishikilie dola ya Kimarekani thamani yake ni milioni 261 OZ (Troy Ounce).


Sasa tukifanya mahesabu rahisi ya Currency Pegging (5.3 Trillion / 261 Million Troy Ounce = $ 20,306 Per Ounce). Hapo inamaanisha kwamba OZ moja inanunuliwa kwa dola za kimarekani 20,306. Zamani Ounce moja ya dhahabu iliuzwa dola za kimarekani 2000 tu.

Hapa inamaanisha kwamba kama ulikuwa na fedha za kimarekani dola 400,000 ili kununua nyumba yenye hiyo thamani halafu ukafanya Currency Pegging inakula kwako. Kumbuka dola 400,000 ni sawa na Ounce 200 za dhahabu. Ukifanya Currency Pegging through Gold, kwa kanuni ya hapo juu basi utakuta dhahabu imepanda bei huku dola ikishuka thamani.

Hizo Ounce 200 za dhahabu zitapanda bei na kutoka dola 400,000 hadi dola 4,000,000 za kimarekani. Kumbuka katika yake mahesabu dola itanunua dhahabu kwa gharama ya $ 20,306 kwa Ounce. Sasa Money Base (MO) ni trillioni 5.3, hilo la kusema kwamba utajiri wa makaratasi unaakisi uhalisia wa uchumi linatoka wapi ndugu yangu, ???

Hela zimekuwa nyingi kwenye mzunguko kwasababu Marekani anachapisha fedha hovyo ili kuhimili deni lake kubwa ambalo haliwezi kulipika, lakini pia kwasababu Marekani ana BUDGET-DEFICIT. Hivyo anatumia nguvu za fedha yake kuzifanya nchi za dunia nzima ziupe ruzuku uchumi wa Marekani (The Entire world is subsidizing American Economy through the dollar and capital markets)

Huoni hapa kuna tatizo, kama nakosea hebu nipe mahesabu sahihi! Nasubiri mkuu...


Kusema Marekani wanachapisha fedha hovyo ni conspiracy tu, ni sawa na kuifananisha na Zimbabwe ambapo huo ni ujuha. Federal reserves wanachapisha fedha pale inapohitajika kuchapisha fedha, pia fahamu hakuna benki kuu iliyo huru kama Federal Reserve ya Marekani. Kuanzia uongozi hadi ufanyaji kazi wake ni wa uhuru wa hali ya juu usiongiliwa na Rais au serikali ya Marekani. Biden hawezi kumwambia Jerome Powell achapishe fedha tu naye akazichapisha, Senate ya Marekani itamu impeach akifanya hivyo.
 
Mimi sio mchumi na mambo ya uchumi kwangu yamenishinda, lakini napenda kujua kiasi kuhusu masuala ya uchumi kutokana na mijadala kama hii. Umuhimu wa GOLD kwenye uchumi wa dunia ni upi hasa? Thamani yake halisi huwa inakuwa reflected wakati gani kama ambavyo tunaongelea zama za chumvi,n.k?

Binafsi naamini dunia inaweza kusurvive bila uwepo wa dhahabu lakini kwa nini imepewa umuhimu mkubwa hivyo hadi inashikilia thamani ya chumi za mataifa duniani?
Dhahabu kwa sasa haina umuhimu mkubwa sana wa kipekee katika uchumi wa dunia kama ilivyokuwa kabla ya mwaka 1971 ambapo Marekani iliondokana na gold standard system.

Kwa sasa dhahabu ukiachana na matumizi ya urembo na mengineyo katika uchumi wa dunia benki na matajiri wanahifadhi dhahabu kama insurance policy tu siku mambo duniani yakiharibika kabisa waweze kupata pa kutokea.
 
Ukizingatia dunia ya utawandawazi ilivyo, taifa ambalo linaongoza na kutegemewa kwa kuuza bidhaa za muhimu kama nishati na chakula ambazo ndiyo uti wa mgongo wa uchumi wa viwanda duniani, huwa na nafasi ya kipekee kwenye uchumi wa dunia hata kama litakuwa na uchumi wa kawaida.
Nafasi ya kipekee YES, lakini Yuko peke yake? NO. Ni vizuri tuelewe hata utegemezi kwenye gesi ya Urusi umepungua sana kwa mataifa ya EU na niliweka takwimu hapo nyuma so unless ingekua monopoly ila zaidi ya hapo relevance ya Urusi itashuka na uchumi utaonyesha madhara.

2. Currently ruble Ina perform vibaya sana kama ingekua Russia ndio kimbilio la Kila mtu why sarafu Yao iporomoke kiasi kile. Maadam ulisema madhara ya vikwazo vya uchumi vinaipiga G7 na sio Russia je una maoni Gani kwa pesa ya ruble kuporomoka na uchumi wa china kupata mtikisiko?
IMG_20230816_080237.jpg

3. Hii hapa article ya BBC inaonyesha data za Sasa huko China kwamba unemployment rate imevunja rekodi kiasi wamezuia zisichapishwe tena. Je china ni west economy? Je china haifanyi biashara na China? Jibu ni HAPANA. Sasa kwanini imeathirika kiuchumi? Mpaka hapo ma

https://www.google.com/url?sa=t&sou...DKAB6BAgOEAE&usg=AOvVaw2WdIr8xiDG-BuBgM7WjlS4

4. Takwimu za juzi zinaonyesha uchumi wa Japan umepaa kwa kukua by 6% tofauti na matarajio kuwa ungekua kwa 3%. Since mada Yako ilisema madhara ni kwa west nations kisa zinaipinga Russia inakuaje Japan ipae kiuchumi ilihali Russia na China zinapumulia mashine kwa Sasa?

Ndio tunarudi kule kule mwanzo kuwa;
1. matatizo ya uchumi wa kidunia yangetokea with or without vita ya Russia na Ukraine or Vikwazo vya Russia.
2. Kingine madhara ya vikwazo vya uchumi haviwezi onekana siku Moja ila baada ya muda mrefu kama Sasa ambapo majibu yanaanza kupatikana taratibu.
3. Ulisema pia currency kuwa backed na gold ndio true value kuliko Fiat currency. Nilisema hata commodities are open to price shocks and volatility na umeona licha ya kuwa backed na gold bado Ruble inaporomoka mnoo.

So nachoweza conclude ni kwamba uchumi hauwi determined na factor moja tu ila multiple factors zikitokea kwa pamoja so cherry picking won't save Russia from the impending doom.
 
Back
Top Bottom