Swali lenye Mantiki: Siku Mbowe akitekwa na kupotezwa Makamanda wa CHADEMA mtafanyaje?

Swali lenye Mantiki: Siku Mbowe akitekwa na kupotezwa Makamanda wa CHADEMA mtafanyaje?

Wametekwa na kupotezwa Ben Saanane, huyu mzee juzi kati, kuna makamanda kibao hawajapatikana mpaka sasa.

Mlichobakiza ni kulalama huko X na jamii forum.

Je, siku Chairman akitekwa na kupotezwa?
Hahaha wazo fyatu.
 
Unakata kata sana viuno hapa jamvini kila nakoingia nakukuta.

Kanywe basi angalao chai kwanza akili iamke upate kusoma maandishi yako kabla hujaya-post hapa.
wakati huo wewe unatangatanga na kuzurura hovyo hovyo bila uelekeo right huko unakonikuta, right?

katoe lock basi na kisungura ndugu mwalimu ndio usiwe unababaika na vitu vidogo vidogo kama chairman wa kile chama 🐒
 
Mbowe hawezi kutekwa yuko pale kwa sababu maalumu, Asingekuwepo mbowe Chadema Ccm ingekua imeshaanguka
 
Back
Top Bottom