Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaribu kumteka kwanza ili tujue kitatokea niniWametekwa na kupotezwa Ben Saanane, huyu mzee juzi kati, kuna makamanda kibao hawajapatikana mpaka sasa.
Mlichobakiza ni kulalama huko X na jamii forum.
Je, siku Chairman akitekwa na kupotezwa?
huyo atajiteka mwenyewe kwasabb ya madeni binafsi na ya chama 🐒Wametekwa na kupotezwa Ben Saanane, huyu mzee juzi kati, kuna makamanda kibao hawajapatikana mpaka sasa.
Mlichobakiza ni kulalama huko X na jamii forum.
Je, siku Chairman akitekwa na kupotezwa?
Km kilichotokea kwenye msiba wa Naibu Katibu ni mwendo wa kuzomea tuJe, siku Chairman akitekwa na kupotezwa?
Hahaha wazo fyatu.Wametekwa na kupotezwa Ben Saanane, huyu mzee juzi kati, kuna makamanda kibao hawajapatikana mpaka sasa.
Mlichobakiza ni kulalama huko X na jamii forum.
Je, siku Chairman akitekwa na kupotezwa?
Thadeo Ole Sabaya au Thadeo Ole Mushi walimsisiemu kilitokea nini?It will be system failure , ni kama ccm kumteka mwana ccm
Unakata kata sana viuno hapa jamvini kila nakoingia nakukuta.huyo atajiteka mwenyewe kwasabb ya madeni binafsi na ya chama 🐒
wakati huo wewe unatangatanga na kuzurura hovyo hovyo bila uelekeo right huko unakonikuta, right?Unakata kata sana viuno hapa jamvini kila nakoingia nakukuta.
Kanywe basi angalao chai kwanza akili iamke upate kusoma maandishi yako kabla hujaya-post hapa.
Unataka nikujibu uniteke?Acha upuuzi. Mimi ni mtekaji?
Hoja yako Ina mashiko.Wametekwa na kupotezwa Ben Saanane, huyu mzee juzi kati, kuna makamanda kibao hawajapatikana mpaka sasa.
Mlichobakiza ni kulalama huko X na jamii forum.
Je, siku Chairman akitekwa na kupotezwa?