Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namba 1 anatekwaje?
Nduguuu usishangae ukiisaida police kuwa makini sio kila kitu cha kuandkka mpendwa jali famlia na watoto wa ndugu zakooounaowasaidiaWametekwa na kupotezwa Ben Saanane, huyu mzee juzi kati, kuna makamanda kibao hawajapatikana mpaka sasa.
Mlichobakiza ni kulalama huko X na jamii forum.
Je, siku Chairman akitekwa na kupotezwa?
Kweli wslifanya nin naangeweza kua ndan mpka Leo nawasingekua na lakufanya muhm nisiku watanzania watapo amua wao wenyewe kutaka mabadiliko bila kutegemea lift ya wanasiasa kuwasemeaKwani alipofungwa jela walifanya nini?
Hadi Shujaa Magufuli akawachangia tsh 40 million 😄
Shadowing Conspiracy?Naona mnapima upepo kisirisiri, Hebu jaribuni kumteka muone nini kitatokea.
Ila kaeni mkijua binadamu wote tutakufa hakuna mwenye hatimiliki ya roho hapa duniani.
Mbowe aliwai kufungwa jela mwaka gani? Hau haujui maana ya kufungwaKwani alipofungwa jela walifanya nini?
Hadi Shujaa Magufuli akawachangia tsh 40 million [emoji1]
Wewe ni mpumbavu subiri utakapomwagiwa tindikali au ndugu yako. Hutaandika hui ujingaGaidi akitekwa, utekaji utaisha.
Mshauri huyu pimbi, hajitambui na kitu anacho andika achilia mbali kufikiriNduguuu usishangae ukiisaida police kuwa makini sio kila kitu cha kuandkka mpendwa jali famlia na watoto wa ndugu zakooounaowasaidia
Tuanze na wewe kwanza Je siku ambayo mama yako mzazi atatekwa na kufanyiwa vitu vibaya na kuokotwa katobolewa macho akiwa mtupu - tuambie utafanyaje?Wametekwa na kupotezwa Ben Saanane, huyu mzee Kibao, kuna makamanda kibao hawajapatikana mpaka sasa.
Mlichobakiza ni kulalama huko X na JamiiForums.
Je, siku Chairman akitekwa na kupotezwa?
Imeisha hiyoIt will be system failure , ni kama ccm kumteka mwana ccm