Swali lenye Mantiki: Siku Mbowe akitekwa na kupotezwa Makamanda wa CHADEMA mtafanyaje?

Swali lenye Mantiki: Siku Mbowe akitekwa na kupotezwa Makamanda wa CHADEMA mtafanyaje?

Naona mnapima upepo kisirisiri, Hebu jaribuni kumteka muone nini kitatokea.

Ila kaeni mkijua binadamu wote tutakufa hakuna mwenye hatimiliki ya roho hapa duniani.
 
Naona mnapima upepo kisirisiri, Hebu jaribuni kumteka muone nini kitatokea.

Ila kaeni mkijua binadamu wote tutakufa hakuna mwenye hatimiliki ya roho hapa duniani.
Usiniweke mimi kwenye hilo kundi
 
Kwa wabongo hata akitekwa namba 1 hamna kitakachotokea! Atalia na familia yake tu, na maisha yataendelea. Mbongo akikwambia mpo pamoja ujue kwenye kula tu! Likitokea la kutokea utajijua, zitabaki stori tu
 
Wametekwa na kupotezwa Ben Saanane, huyu mzee juzi kati, kuna makamanda kibao hawajapatikana mpaka sasa.

Mlichobakiza ni kulalama huko X na jamii forum.

Je, siku Chairman akitekwa na kupotezwa?
Nduguuu usishangae ukiisaida police kuwa makini sio kila kitu cha kuandkka mpendwa jali famlia na watoto wa ndugu zakooounaowasaidia
 
hivi vpn vonavyowadanganya sio lazima muwe jf mda wote mkiweza nenden jukwa la afya kuna msaada mwingi sana kulee
 
Kwani alipofungwa jela walifanya nini?

Hadi Shujaa Magufuli akawachangia tsh 40 million 😄
Kweli wslifanya nin naangeweza kua ndan mpka Leo nawasingekua na lakufanya muhm nisiku watanzania watapo amua wao wenyewe kutaka mabadiliko bila kutegemea lift ya wanasiasa kuwasemea
 
Nduguuu usishangae ukiisaida police kuwa makini sio kila kitu cha kuandkka mpendwa jali famlia na watoto wa ndugu zakooounaowasaidia
Mshauri huyu pimbi, hajitambui na kitu anacho andika achilia mbali kufikiri
 
Nduguuu usishangae ukiisaida police kuwa makini sio kila kitu cha kuandkka mpendwa jali famlia na watoto wa ndugu zakooounaowasaidia
Toa ujinga wako hapa. Tusihoji?
 
Wametekwa na kupotezwa Ben Saanane, huyu mzee Kibao, kuna makamanda kibao hawajapatikana mpaka sasa.

Mlichobakiza ni kulalama huko X na JamiiForums.

Je, siku Chairman akitekwa na kupotezwa?
Tuanze na wewe kwanza Je siku ambayo mama yako mzazi atatekwa na kufanyiwa vitu vibaya na kuokotwa katobolewa macho akiwa mtupu - tuambie utafanyaje?
 
Tuanze na wewe kwanza Je siku ambayo mama yako mzazi atatekwa na kufanyiwa vitu vibaya na kuokotwa katobolewa macho akiwa mtupu - tuambie utafanyaje?
Toa upuuzi wa kisengenya.
 
Back
Top Bottom