Swali lenye Mantiki: Siku Mbowe akitekwa na kupotezwa Makamanda wa CHADEMA mtafanyaje?

Swali lenye Mantiki: Siku Mbowe akitekwa na kupotezwa Makamanda wa CHADEMA mtafanyaje?

Wametekwa na kupotezwa Ben Saanane, huyu mzee Kibao, kuna makamanda kibao hawajapatikana mpaka sasa.

Mlichobakiza ni kulalama huko X na JamiiForums.

Je, siku Chairman akitekwa na kupotezwa?
Unakejeli kwa kuwa uko upande wa kuuza mapapai na matikiti kudondoka ?
 
wakati huo wewe unatangatanga na kuzurura hovyo hovyo bila uelekeo right huko unakonikuta, right?

katoe lock basi na kisungura ndugu mwalimu ndio usiwe unababaika na vitu vidogo vidogo kama chairman wa kile chama 🐒
Duh mipasho tena🤔
 
DJ hana kitu cha kuoffeer akitekwa , zaidi yule Meku atasumbua sana watekaji kwa kuomba omba mbege tu!

Siku ile kule Dom Dj form 4b failure alilewa chakari pombe za ruzuku ya kodi za walalahoi akapigwa na mchepuko Joyce wakati wa kugombea pombe, akaanguka na kuumia, bila aibu akaita ambulance akaja kwenye public akasema kuwa kavamiwa na majambazi!!

Huyu Mzee DJ umteke wa nini sasa? Ukishamteka DJ nani atafundisha vijana kupanga CD, kuskrachi na kurusha watu dancing floor? You can't be serious!

Kwanza hivi ni lini Disco Joker Bills anaachia uongozi cdm maana kazi kuongelea demokrasia kwingine wakati yeye ni mwenyekiti dikteta hatoki kwenye kiti miaka ya Kobe sasa hataki kumpisha Zana Za Kilimo wa ACt alieasi?

Sisiem oyeee!!
 
DJ hana kitu cha kuoffeer akitekwa , zaidi Meku atasumbua watekaji kwa kuomba omba mbege tu!

Siku ile kule Dom Dj form 4b failure alilewa chakari pombe za ruzuku ya kodi za walalahoi akapigwa na mchepuko Joyce wakati wa kugombea pombe, akaanguka na kuumia, bila aibu akaja kwenye public akasema kuwa kavamiwa na majambazi!!

Huyu Mzee umteke wa nini sasa?
Ccm oyeee!!

Wabongo tunabofoa sana kwenye kustick on point, hata kama ni kweli but is it relevant kwa hii thread? Jijudge mwenyewe

WhatsApp Image 2024-08-19 at 03.03.58.jpeg
 
Aisee hii noma, yaani bongo tuko watu 60 milioni sote wajinga tunaongoza Afrika, shime shime cdm tupambane, tuandamane tusikubali kuwa wajinga.

Hii ndio relevant? Hope wewe sio memkwa
 
Back
Top Bottom