900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
mbona hata kama wanaenda msikitini ni hivohivoNikweli kabisa ni % chache sana ya wanaume wanao ongozana na wake zao hata kama wanaenda kanisani. Utakuta mwanaume anajifanya anajua kutembea haraka haraka na Kwa hatua Ili mradi tu amuache mke wake mbali Kwa kisingizio unatembea pole pole.View attachment 3132672
namkaba..🤣Minafukiri mwanamke anapaswa afaham aina na tabia za mume wake.
Mfano mie hatuwezi tukawa tumeenda Bar alafu aniulize habari za mboga sijui mkaa.... bladi hell..🤨
Huwa hawachagui cha kusema ni kama maswali ya papo kwa papo bungeniMi mwenyew Huwa na escape akijisahau kidogo Niko mita100 mbele. Kwanza akipenda kitu anaweza kukuboa asee
Nikweli kabisa ni % chache sana ya wanaume wanao ongozana na wake zao hata kama wanaenda kanisani. Utakuta mwanaume anajifanya anajua kutembea haraka haraka na Kwa hatua Ili mradi tu amuache mke wake mbali Kwa kisingizio unatembea pole pole.View attachment 3132672
Aisee hiii ni kweli...tunapenda kuchafua hali ya hewa, 😅😅😅😅😅Aisee wako wanaume wenzetu wa hivyo na mimi sijui ni kwanini,au wanakwepa vile vi maswali 'mbona yule mdada kakutizama sana mwanamke wako nini',au utasikia 'tununue kabisa na maharage ya wiki nzima na nazi na mchicha na mkaa,wakati anajua kabisa mnaenda kwenye harusi'...
Mkienda msikitikini mnaongozana na waume zenu?Nikweli kabisa ni % chache sana ya wanaume wanao ongozana na wake zao hata kama wanaenda kanisani. Utakuta mwanaume anajifanya anajua kutembea haraka haraka na Kwa hatua Ili mradi tu amuache mke wake mbali Kwa kisingizio unatembea pole pole.View attachment 3132672
100%nje ya mada hii inahusiana na id yako? Nikifa MkeWangu Asiolewe
Kitu roho inapenda mkuuAkiwa flat,asijizeeshe bas
Mimi msikitini nikafanyeje mkuuMkienda msikitikini mnaongozana na waume zenu?
Changamoto sanaNampata sana. Tena mkipendana sana hadharani ni kama tangazo la vita kwa wasiopendana. Walio na migogoro ya ndoa hasa wanawake hawapendi kuona wenzao wanaenjoy. Wako radhi hata watumie ushirikina kuwaharibu.
Kwamba ni MITA 100 Kwa 100 kusogeleana kitandani tu😹😹mbona hata kama wanaenda msikitini ni hivohivo
mbona hata kama wanaenda msikitini ni hivohivo
Lkn tuliwachagua wenyewe ni kwendana nao hivyo hivyo kadiri inavyowezekanaHuwa hawachagui cha kusema ni kama maswali ya papo kwa papo bungeni
Kuna ukweli hapa. Baadhi yetu hutongoza Kwa GIA ya kwamba wameshaachana na mke wake.Tunaepusha Mengi wakuu!
Mkuu nikujitoa tu ukweli hatuendani kabisa na wenzetu Mimi Huwa nikifika sokono namwambia utanikuta hapa kama naagiza kinywaji haya. Maana utakereka akianza kununua utafikiri wanaungovi baraa tupu.Nashukuru katika hao Wanaume asilimia chache uliowataja, nami ni mmoja wao
Kwa kweli najitahidi kutembea naye, hata akiwa Mjamzito wa miezi 9
Japo huwa nachukia mkienda Dukani kufanya shopping, mnaweza mkakaa hata masaa mawili ama matatu
Anachagua kile, anarudisha.
Anakuja kukuuliza, hivi hili wigi nikishonea nitapendeza na nguo ile..
Au hii raba nikivaa na ile jeans nitapendeza kwenye mtoko wa Jioni 🙌
Yaani huwa hawajali muda kabisaMkuu nikujitoa tu ukweli hatuendani kabisa na wenzetu Mimi Huwa nikifika sokono namwambia utanikuta hapa kama naagiza kinywaji haya. Maana utakereka akianza kununua utafikiri wanaungovi baraa tupu.
Hivi inakuaje watu upendo umeshakufa ila bado wanaishi pamoja🤔Kuna kanisa niliwahi kusali ilinichukua karibu miezi sita kujua nani ni mke wa nani maana huwezi kuwakuta wako karibu.Wanawake wanaitwa kwa ubini wao, hauna ID ya mume, yaani huwezi kusikia mama matunduizi. Sababu ni ugomvi tu ndani ya ndoa imepelekea wengi kuwakwepa ili wawe na amani. Hasa wamama wenye midomo.