Swali limeulizwa huko:-kwanini wanaume hampendi kuongozana na wake zenu?

Swali limeulizwa huko:-kwanini wanaume hampendi kuongozana na wake zenu?

Nikweli kabisa ni % chache sana ya wanaume wanao ongozana na wake zao hata kama wanaenda kanisani. Utakuta mwanaume anajifanya anajua kutembea haraka haraka na Kwa hatua Ili mradi tu amuache mke wake mbali Kwa kisingizio unatembea pole pole.View attachment 3132672
mbona hata kama wanaenda msikitini ni hivohivo
 
Aisee wako wanaume wenzetu wa hivyo na mimi sijui ni kwanini,au wanakwepa vile vi maswali 'mbona yule mdada kakutizama sana mwanamke wako nini',au utasikia 'tununue kabisa na maharage ya wiki nzima na nazi na mchicha na mkaa,wakati anajua kabisa mnaenda kwenye harusi'...
Aisee hiii ni kweli...tunapenda kuchafua hali ya hewa, 😅😅😅😅😅
 
Nikweli kabisa ni % chache sana ya wanaume wanao ongozana na wake zao hata kama wanaenda kanisani. Utakuta mwanaume anajifanya anajua kutembea haraka haraka na Kwa hatua Ili mradi tu amuache mke wake mbali Kwa kisingizio unatembea pole pole.View attachment 3132672
Mkienda msikitikini mnaongozana na waume zenu?
 
Nashukuru katika hao Wanaume asilimia chache uliowataja, nami ni mmoja wao

Kwa kweli najitahidi kutembea naye, hata akiwa Mjamzito wa miezi 9

Japo huwa nachukia mkienda Dukani kufanya shopping, mnaweza mkakaa hata masaa mawili ama matatu

Anachagua kile, anarudisha.

Anakuja kukuuliza, hivi hili wigi nikishonea nitapendeza na nguo ile..

Au hii raba nikivaa na ile jeans nitapendeza kwenye mtoko wa Jioni 🙌
 
Nashukuru katika hao Wanaume asilimia chache uliowataja, nami ni mmoja wao

Kwa kweli najitahidi kutembea naye, hata akiwa Mjamzito wa miezi 9

Japo huwa nachukia mkienda Dukani kufanya shopping, mnaweza mkakaa hata masaa mawili ama matatu

Anachagua kile, anarudisha.

Anakuja kukuuliza, hivi hili wigi nikishonea nitapendeza na nguo ile..

Au hii raba nikivaa na ile jeans nitapendeza kwenye mtoko wa Jioni 🙌
Mkuu nikujitoa tu ukweli hatuendani kabisa na wenzetu Mimi Huwa nikifika sokono namwambia utanikuta hapa kama naagiza kinywaji haya. Maana utakereka akianza kununua utafikiri wanaungovi baraa tupu.
 
Kuongozan ni kama kujidai kwamba huyu ni wangu nampendaaa,nawalinganishia ulimwengu mzima nampenda,kumbe kuna jina jimaa linakula bureee
 
Mkuu nikujitoa tu ukweli hatuendani kabisa na wenzetu Mimi Huwa nikifika sokono namwambia utanikuta hapa kama naagiza kinywaji haya. Maana utakereka akianza kununua utafikiri wanaungovi baraa tupu.
Yaani huwa hawajali muda kabisa

Haiwezekani shopping ya dakika 40 ifanyike Kwa masaa 3 ama zaidi

Ukitaka akununie mwambie tunachelewa, tuondoke 🙌
 
Kuna kanisa niliwahi kusali ilinichukua karibu miezi sita kujua nani ni mke wa nani maana huwezi kuwakuta wako karibu.Wanawake wanaitwa kwa ubini wao, hauna ID ya mume, yaani huwezi kusikia mama matunduizi. Sababu ni ugomvi tu ndani ya ndoa imepelekea wengi kuwakwepa ili wawe na amani. Hasa wamama wenye midomo.
Hivi inakuaje watu upendo umeshakufa ila bado wanaishi pamoja🤔
 
Back
Top Bottom