Ukikaa hapo kuwasikiliza unaweza kuumbuka MkuuLkn tuliwachagua wenyewe ni kwendana nao hivyo hivyo kadiri inavyowezekana
Afu hili sijui kwanini linatokea sana kuna jirani yangu hapa alikiwasha kisa tu jirani yake wanaelewana na mwenza wakeNampata sana. Tena mkipendana sana hadharani ni kama tangazo la vita kwa wasiopendana. Walio na migogoro ya ndoa hasa wanawake hawapendi kuona wenzao wanaenjoy. Wako radhi hata watumie ushirikina kuwaharibu.
Ndiyo UkweliMichepuko
Wanachukua Points Tatu Muhimu SanaKATAA NDOA NGOs
Hili swali halituhusu
SahihjUkikaa hapo kuwasikiliza unaweza kuumbuka Mkuu
Ni bora kutembea mbali naye ili akiropoka isijulikane anamuambia nani maana nawe unakuwa umekaza macho mbele watakaomsikia watajua zimemfyatuka kichwani
Ama kweli hii ndio vita ambayo maadui wanalala kitanda kimoja!Ukikaa hapo kuwasikiliza unaweza kuumbuka Mkuu
Ni bora kutembea mbali naye ili akiropoka isijulikane anamuambia nani maana nawe unakuwa umekaza macho mbele watakaomsikia watajua zimemfyatuka kichwani
😆🤣Ama kweli hii ndio vita ambayo maadui wanalala kitanda kimoja!
Jamaangu mmoja huwa anapenda kusema yuko kwenye Process za Mwisho kutalikiana na Mke wake!Kuna ukweli hapa. Baadhi yetu hutongoza Kwa GIA ya kwamba wameshaachana na mke wake.
Ukiwa na qmani na mke wako kuwa makini sana na usifunguke hovyo. Kila mtu atataka kuwasambaratisha.Afu hili sijui kwanini linatokea sana kuna jirani yangu hapa alikiwasha kisa tu jirani yake wanaelewana na mwenza wake
😳😳😳😳😳😳Nikipata pesa naoa
Utatembeaje pamoja na mwanamke mwenye matege ya mikono🤣🤣?(jokes not serious).Nikweli kabisa ni % chache sana ya wanaume wanao ongozana na wake zao hata kama wanaenda kanisani. Utakuta mwanaume anajifanya anajua kutembea haraka haraka na Kwa hatua Ili mradi tu amuache mke wake mbali Kwa kisingizio unatembea pole pole.View attachment 3132672
Hivi mkuu kwa nini ukifa hutaki mke wako aolewe?Mi mwenyew Huwa na escape akijisahau kidogo Niko mita100 mbele. Kwanza akipenda kitu anaweza kukuboa asee
you're so damn beautiful..!!😍😍Wamenimakeup nami nionekane mwee🥴
Rudi kwenye maada mkuuHivi mkuu kwa nini ukifa hutaki mke wako aolewe?