Swali limeulizwa huko:-kwanini wanaume hampendi kuongozana na wake zenu?

Mwanaume ni kichwa, kiongozi, mtengeneza njia na mnyoshaji mapito
Hiyo ndiyo ishara na dalili ya hilo 😀
 
Wakati unamuokota anajifanya ni malaika, anaficha makucha, ukimchukua ndio majanga full!
Tatizo ninali liona ni sisi wanaume kutojipa muda wa kutosha kumfahamu mwenza unae hitaji kuishi nae.
Ijue background yake, wajue marafiki zake, ijue familia yake, faham anapendelea nini na madhalika nakadhalika...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…