Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
- #81
Uhalisia kama mtu na Mpita njia mwenzakeš¹š¹Picha sasaš¤£š¤£š¤£š¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhalisia kama mtu na Mpita njia mwenzakeš¹š¹Picha sasaš¤£š¤£š¤£š¤£
Umesahau ule wimbo wa huyo ni chaguo lakoUtatembeaje pamoja na mwanamke mwenye matege ya mikonoš¤£š¤£?(jokes not serious).
Ubaya ubwelaAmekuwa kikonge
Au ndo wewe mkuu?š¤£š¤£š¤£Jamaangu mmoja huwa anapenda kusema yuko kwenye Process za Mwisho kutalikiana na Mke wake!
Changamka Sasa wazuri wanaishaNikipata pesa naoa
Hahaaa š90% tunajuta Hawa wake tumewatoa wapi ndio maana tunashindwa
Barikiwa sana mpenziššššyou're so damn beautiful..!!šš
Kuongozana kwenda wapi?Nikweli kabisa ni % chache sana ya wanaume wanao ongozana na wake zao hata kama wanaenda kanisani. Utakuta mwanaume anajifanya anajua kutembea haraka haraka na Kwa hatua Ili mradi tu amuache mke wake mbali Kwa kisingizio unatembea pole pole.View attachment 3132672
Popote mnakoenda Kwa pamoja....Kuongozana kwenda wapi?
Uko sawaKuongozana na wanawake ni kero wanamaudhi sana,hawafikirii wao kila jambo ni kukurupuka tu.
Kwamba kichwa lazima liwe mbele?Mwanaume ni kichwa, kiongozi, mtengeneza njia na mnyoshaji mapito
Hiyo ndiyo ishara na dalili ya hilo š
Wakati unamuokota anajifanya ni malaika, anaficha makucha, ukimchukua ndio majanga full!Hivi wanawake wa hivi hua mnawaokotea wapi...ā¹ļø
Tatizo ninali liona ni sisi wanaume kutojipa muda wa kutosha kumfahamu mwenza unae hitaji kuishi nae.Wakati unamuokota anajifanya ni malaika, anaficha makucha, ukimchukua ndio majanga full!