Swali magumu uchaguzi Kenya

Swali magumu uchaguzi Kenya

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Tarehe 5 ndiyo siku ya Ruling. Nakumbuka uchaguiz wa 2017 hukumu ilikuwa na page kama 500 hivi. sasa kuanzia kesho wata deliberate submissions za pande zote na kuandika hukumu ? Ku analyse ushahidi wote and make sense out of it, Just sense and not a matter of sense! Siku kama 3 hivi.....
 
Tupambane na tozo mkuu, ya Kenya siku ikifika hukumu itasomwa kila kitu kinakwenda Kwa mujibu wa sheria na katiba yao.
 
Back
Top Bottom