Swali: Mbinguni Kuna sikukuu ya Christmas 25 December?

Swali: Mbinguni Kuna sikukuu ya Christmas 25 December?

Usiku ule Yesu Kristo anazaliwa duniani, Mbinguni ilikuwa sherehe. Tena malaika wakawatokea wale wachungaji wakimsifu Mungu kwa shangwe kuu wakiimba;

Utukufu kwa Mungu juu Mbinguni, na amani duniani kwa watu aliowaridhia.

Christmas si ndio kumbukumbu ya kuzaliwa Yesu Kristo? Ulitaka ishara gani zaidi ya hiyo? Kwamba kila mwaka siku ya kumbukumbu hiyo wawe wanashuka ili uamini Mbinguni kunakuwa na sherehe?
Umejibu vyema sana kwamba palikuwa na kusherehekea Kuzaliwa Kwa Yesu Mbinguni na duniani tena Ukitumiwa andiko lililo wazi.

Ulipokosea, ni kutokueleza ni wapi na lini palifanyika makubaliano ya kuasfimisha sikukuu hiyo tarehe 25 December?

Unajua chanzo na chimbuko la mapokeo ya kusherehekea sikukuu ya December 25 kuingiza Kanisani?

Yaani iweje sherehe za Ibada za miungu igeuzwe kuwa ya Kuzaliwa Kwa Yesu?

Ni nani anaabudiwa hapo?

Karibu 🙏
 
Umejibu vyema sana kwamba palikuwa na kusherehekea Kuzaliwa Kwa Yesu Mbinguni na duniani tena Ukitumiwa andiko lililo wazi.

Ulipokosea, ni kutokueleza ni wapi na lini palifanyika makubaliano ya kuasfimisha sikukuu hiyo tarehe 25 December?

Unajua chanzo na chimbuko la mapokeo ya kusherehekea sikukuu ya December 25 kuingiza Kanisani?

Yaani iweje sherehe za Ibada za miungu igeuzwe kuwa ya Kuzaliwa Kwa Yesu?

Ni nani anaabudiwa hapo?

Karibu 🙏
Shida ni Desemba 25 au shida ni Yesu hakuzaliwa?
 
Tazama mbinguni siku ya Christmas usiku ( usiku wa tarehe 25 mwezi wa kumi na mbili ) , utaona nyota mpya inang'aa sana ikikuambia nitakuwa nawe milele na sitakuacha milele.
 
Shida ni Desemba 25 au shida ni Yesu hakuzaliwa?
December 25 ni sikukuu ya miungu.

Ndipo ulipo mzizi wa HOJA ya Leo.

Kusherehekea Kuzaliwa Kwa Yesu ni duniani kote hapa na Mbinguni .

Na ndipo swali linapokuja, Ni mapenzi ya Mungu kusherehekea Christmas tarehe 25 December?

Karibu 🙏
 
wanao sherehekea wako sawa tu ,
na wasio sherehekea nao wako sawa pia
Maisha yaendeleee
 
Salaam, Shalom!

Msingi wa SWALI LANGU upo katika Sala Aliyotufumdisha Yesu sisi wanafunzi wake kusali Kwa hiyo, kwamba;

(Mathayo 6:10)
"Mapenzi Yako yatimizwe, hapa duniani kama ilivyo Mbinguni "

Swali no 1.
Kusherehekea Christmas tarehe 25 December ni mapenzi ya Mungu aliye Mbinguni?

Swali no 2:
Ni mapenzi ya Mungu kusherehekea Christmas tarehe 25 December tarehe hiyo hiyo pakiwa na sherehe hizo hizo Mbinguni?

Na msingi wa SWALI hili ujibiwe kupitia Katiba yetu Wana wa Mungu iitwayo BIBLIA.

Karibuni 🙏
Mbinguni ni wapi? Labda tuanzie hapo.
 
Salaam, Shalom!

Msingi wa SWALI LANGU upo katika Sala Aliyotufumdisha Yesu sisi wanafunzi wake kusali Kwa hiyo, kwamba;

(Mathayo 6:10)
"Mapenzi Yako yatimizwe, hapa duniani kama ilivyo Mbinguni "

Swali no 1.
Kusherehekea Christmas tarehe 25 December ni mapenzi ya Mungu aliye Mbinguni?

Swali no 2:
Ni mapenzi ya Mungu kusherehekea Christmas tarehe 25 December tarehe hiyo hiyo pakiwa na sherehe hizo hizo Mbinguni?

Na msingi wa SWALI hili ujibiwe kupitia Katiba yetu Wana wa Mungu iitwayo BIBLIA.

Karibuni 🙏
Msingi wa swali lako ni kukosoa tarehe ya Christmas 25 dec hakuna jingine.
Kwànza huko mbinguni aliyekwambia wataenda wanaosherehekea Christmas peke yao nani hadi washerehekee hiyo siku nani?
 
December 25 ni sikukuu ya miungu.

Ndipo ulipo mzizi wa HOJA ya Leo.

Kusherehekea Kuzaliwa Kwa Yesu ni duniani kote hapa na Mbinguni .

Na ndipo swali linapokuja, Ni mapenzi ya Mungu kusherehekea Christmas tarehe 25 December?

Karibu 🙏
... miungu ni mikuu kuliko Mungu? Kwamba miungu Ina uwezo wa kumpoka Mungu siku yoyote kwa ajili ya jambo lao na Mungu asiwe na la kufanya?

Uzuri unaamini Yesu alizaliwa; usingaliamini hivyo mjadala usingekuwa na maana. Iko hivi, kwa kuwa waamini hivyo (alizaliwa), chagua siku yoyote uonayo muafaka kwako (ambayo miungu haina nguvu kuliko Mungu unayemwabudu) usherehekee Krismasi yako kama unaona ina umuhimu. Simple!
 
... miungu ni mikuu kuliko Mungu? Kwamba miungu Ina uwezo wa kumpoka Mungu siku yoyote kwa ajili ya jambo lao na Mungu asiwe na la kufanya?

Uzuri unaamini Yesu alizaliwa; usingaliamini hivyo mjadala usingekuwa na maana. Iko hivi, kwa kuwa waamini hivyo (alizaliwa), chagua siku yoyote uonayo muafaka kwako (ambayo miungu haina nguvu kuliko Mungu unayemwabudi) usherehekee Krismasi yako kama unaona ina umuhimu. Simple!
Na ndio msingi wa HOJA yangu,

Wana wa Mungu wajue 25 December ni siku ya kusherehekea Ibada ya miungu iliyoingizwa Kanisani Kwa Siri kupitia upagani Ili miungu iabudiwe Kwa kudhani ni siku alitozaliwa Yesu wakati Si Kweli kwamba alizaliwa 25 December.
 
Hata Duniani X Mass haikuwa tarehe hio hapo Mwanzo na hizi siku tumeziweka ziwe convenient kwetu has nothing to do na Imani au Kitabu na hata tukiona kwamba X Mass itakuwa vema iwe June na Pasaka December bado itakuwa Vema na itakuwa Asubuhi, Itakuwa Jioni na Siku zitaendelea
 
Na ndio msingi wa HOJA yangu,

Wana wa Mungu wajue 25 December ni siku ya kusherehekea Ibada ya miungu iliyoingizwa Kanisani Kwa Siri kupitia upagani Ili miungu iabudiwe Kwa kudhani ni siku alitozaliwa Yesu wakati Si Kweli kwamba alizaliwa 25 December.
Ungependekeza Krismasi iadhimishwe lini labda? Maana usiwe mtu wa lawama tu bila solution!
 
Hata Duniani X Mass haikuwa tarehe hio hapo Mwanzo na hizi siku tumeziweka ziwe convenient kwetu has nothing to do na Imani au Kitabu na hata tukiona kwamba X Mass itakuwa vema iwe June na Pasaka December bado itakuwa Vema na itakuwa Asubuhi, Itakuwa Jioni na Siku zitaendelea
Ni mapenzi ya Mungu Au ya WANADAMU kusherehekea Christmas tarehe 25 December?

Na Mbinguni sherehe hiyo huadhimishwa 25 December?
 
Ungependekeza Krismasi iadhimishwe lini labda? Maana usiwe mtu wa lawama tu bila solution!
Kuadhimisha Christmas ni lifetime experience Kwa WATAKATIFU,

Si kuhusisha maadhimisho ya Ibada za miungu isherehekewe na Wana wa Mungu tarehe 25 December!!
 
Kuadhimisha Christmas ni lifetime experience Kwa WATAKATIFU,

Si kuhusisha maadhimisho ya Ibada za miungu isherehekewe na Wana wa Mungu tarehe 25 December!!
What do you mean by lifetime experience? But hakuna aliyelazimishwa kusherehekea Krismasi - kaa mbali nayo if you don't like.

Wanaotaka kuungana na malaika kusherehekea kuzaliwa kwa Yesu waachwe wafanye hivyo. Siku, miezi, miaka, na nyakati ni mali ya Mungu including Desemba 25.
 
Ni mapenzi ya Mungu Au ya WANADAMU kusherehekea Christmas tarehe 25 December?

Na Mbinguni sherehe hiyo huadhimishwa 25 December?
Unategemea mtu akujibu wakati haya ni mambo ya Imani (anavyoamini yeye kichwani mwake); sababu hata hizi siku za masaa 24 enzi za mababu hazikuwa hivyo hata miaka haikuwa na miezi 12..., lakini kutokana na trial and error and what works best waliona iwe na miezi 12....

Kwahio kwa kuona hapo tu vitu vinabadilika which goes against the notion kwamba dunia ilikuwa Katiba iliyopangwa tangia mwanzo ambayo ilijua what works and what doesn't ukishaona hivyo utagundua kwamba ni vigumu ku apply mambo ya imani na kufikirika katika practical, everyday factual things.....

Pia kama tunaaminishwa Mbinguni kila siku ni kula bata na sikukuu notion ya kwamba wanatenga siku ya sikukuu inamaanisha kuna siku nyingine za hassle....
 
Thibitisha kuna Mungu, thibitisha kuna mbingu.
Hivi ukikuta watoto wadogo wanaulizana thibitisha wewe ulitoka tumboni mwa mama yako,unadhani kuna mtoto anaweza kuthibitisha hilo?

Kuwepo kwako ni uthibitisho tosha kuwa kuna aliyehusika na uumbwaji wako.

Kuwepo kwa mbingu kuna watu waliofanikiwa kufunuliwa na wengine kufika hadi mbingu ya tatu mfano Paulo mtume

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom