Masalia wana tabu sana!Umelazimishwa kusheherekea?
Kama nguchiroMasalia wana tabu sana!
Pepo anaekusumbua ni yule yule aliekuwa akiwasumbua wale askari wakati yesu yypo msalabaniKuthibitisha ni lazima pale tunapotaka kuhakiki ukweli.
Ila, una haki ya kuamini unavyotaka, ikiwa huweki madai kuwa unachoamini ni kitu cha ukweli.
Unaruhusiwa kuamini Mungu yupo, hiyo ni haki yako ya kikatiba na kibinadamu.
Ila, ukisema hiyo si imani yako tu, ni kweli Mungu yupo, hapo unahitajika kuthibitisha Mungu yupo.
Sasa wewe unasema unaamini tu Mungu yupo, lakini hujatoa madai kuwa Mungu yupo kweli?
Au unasema Mungu yupo kweli, si jambo la imani yako tu?
Wewe una uhakika hawaandai?Ninyi mnaoandaa mbuzi, kuku , nguo nk nk kuelekea tarehe 25 Dec, mna HAKIKA Mbinguni pia Malaika wanaandaa sherehe hiyo hiyo Mbinguni nao washerehekee?
Katika maandiko yako huko nyuma uliwahi kusema kuwa huwa unaenda mbinguni kiroho na unaonana na malaika,watakatifu na yeye aliye keti katika kiti cha enzi.Ni mapenzi ya Mungu Au ya WANADAMU kusherehekea Christmas tarehe 25 December?
Na Mbinguni sherehe hiyo huadhimishwa 25 December?
Rabbon..Salaam, Shalom!
Msingi wa SWALI LANGU upo katika Sala Aliyotufumdisha Yesu sisi wanafunzi wake kusali Kwa hiyo, kwamba;
(Mathayo 6:10)
"Mapenzi Yako yatimizwe, hapa duniani kama ilivyo Mbinguni "
Swali no 1.
Kusherehekea Christmas tarehe 25 December ni mapenzi ya Mungu aliye Mbinguni?
Swali no 2:
Ni mapenzi ya Mungu kusherehekea Christmas tarehe 25 December tarehe hiyo hiyo pakiwa na sherehe hizo hizo Mbinguni?
Na msingi wa SWALI hili ujibiwe kupitia Katiba yetu Wana wa Mungu iitwayo BIBLIA.
Karibuni 🙏
DR Mambo Jambo, hii inahusianaje na Krismasi? Ni matukio yamegongana tu.Rabbon..
Soma Yeremia 52:31
" Hata ikawa, katika mwaka wa thelathini na saba wa kuhamishwa kwake Yehoyakini, mfalme wa Yuda, katika mwezi wa kumi na mbili, siku ya ishirini na tano ya mwezi, Evil-merodaki, mfalme wa Babeli, katika mwaka wa kwanza wa kumiliki kwake, akamwinua kichwa chake Yehoyakini, mfalme wa Yuda, akamtoa gerezani."
Kumbuka Yeremia ndiye nabii aliyefunuliwa katika nyakati za kale Yeremia 31:31-34 kuwa nyakati za baadae kutatokea agano jipya ambalo tunalishuhudia katika nyakati hizi za sasa.DR Mambo Jambo, hii inahusianaje na Krismasi? Ni matukio yamegongana tu.
Yeremia 31:31-33DR Mambo Jambo, hii inahusianaje na Krismasi? Ni matukio yamegongana tu.
Logical non sequitur fallacy. Whataboutism fallacy.Hivi ukikuta watoto wadogo wanaulizana thibitisha wewe ulitoka tumboni mwa mama yako,unadhani kuna mtoto anaweza kuthibitisha hilo?
Kuwepo kwako ni uthibitisho tosha kuwa kuna aliyehusika na uumbwaji wako.
Kuwepo kwa mbingu kuna watu waliofanikiwa kufunuliwa na wengine kufika hadi mbingu ya tatu mfano Paulo mtume
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Thibitisha Mungu yupo. Thibitisha mbingu ipo.Pepo anaekusumbua ni yule yule aliekuwa akiwasumbua wale askari wakati yesu yypo msalabani
Kama kweli wewe ni mwana waMungu shuka msalabani,mara otea nani amekupiga.
Huwa wanataka uthibitisho
MUNGU si wamaonyesho hayo,wala mashindano hayo
Yeye huwatokea wanaomtafuta,na wenye ham nae
YEye sio wa kila mtu,
Hata yesu hakuja kufia kila mtu
Isipokuwa wale aliopewa
Kwaio hata usijisumbue kupata ushahidi,kwa sababu si kwa ajili yako
Kama unaamini hayupo amini hivyo.
Endeleza maisha.
Mmoja kaama wewe alipokufa alimkuta lazaro ju ya kifua cha ibrahim akamuomba ibrahim amtume kwa ndugu zake duniani awaambie yanenwayo ni kweli.
Akajibiwa hata akienda hawatamwamini,maana huko duniani wapo wanaowaambia kila uchwao na hawaaamini.
Mfalme wa Babeli alimtoa gerezani mfalme wa Yuda tarehe hiyo,Rabbon..
Soma Yeremia 52:31
" Hata ikawa, katika mwaka wa thelathini na saba wa kuhamishwa kwake Yehoyakini, mfalme wa Yuda, katika mwezi wa kumi na mbili, siku ya ishirini na tano ya mwezi, Evil-merodaki, mfalme wa Babeli, katika mwaka wa kwanza wa kumiliki kwake, akamwinua kichwa chake Yehoyakini, mfalme wa Yuda, akamtoa gerezani."
Tuendelee kumuombea Kiranga Ili Mungu YESU amtokee kama alivyofanya Kwa Paul Ili amthibitishie uwezo wake.Pepo anaekusumbua ni yule yule aliekuwa akiwasumbua wale askari wakati yesu yypo msalabani
Kama kweli wewe ni mwana waMungu shuka msalabani,mara otea nani amekupiga.
Huwa wanataka uthibitisho
MUNGU si wamaonyesho hayo,wala mashindano hayo
Yeye huwatokea wanaomtafuta,na wenye ham nae
YEye sio wa kila mtu,
Hata yesu hakuja kufia kila mtu
Isipokuwa wale aliopewa
Kwaio hata usijisumbue kupata ushahidi,kwa sababu si kwa ajili yako
Kama unaamini hayupo amini hivyo.
Endeleza maisha.
Mmoja kaama wewe alipokufa alimkuta lazaro ju ya kifua cha ibrahim akamuomba ibrahim amtume kwa ndugu zake duniani awaambie yanenwayo ni kweli.
Akajibiwa hata akienda hawatamwamini,maana huko duniani wapo wanaowaambia kila uchwao na hawaaamini.
Havina Uhusiano kabisa Ni kweli na Mimi nimeweka tu ili nikuze mjadala ila Kiukweli hakuna Uhusiano wowote..Mfalme wa Babeli alimtoa gerezani mfalme wa Yuda tarehe hiyo,
Pia mwezi na tarehe uloweka havina mahusiano na Christmas, au unamaanisha Romans wamecoppy Babeli kuweka tarehe na siku hiyo isherehekewe miungu ya Babeli?
Sasa AGANO Hilo ni ujio wa Roho mtakatifu ndani ya MIOYO ya waamini!Yeremia 31:31-33
31 Angalia, siku zinakuja, asema Bwana, nitakapofanya agano jipya na nyumba ya Israeli, na nyumba ya Yuda.
32 Si kwa mfano wa agano lile nililolifanya na baba zao, katika siku ile nilipowashika mkono, ili kuwatoa katika nchi ya Misri; ambalo agano langu hilo walilivunja, ingawa nalikuwa mume kwao, asema Bwana.
33 Bali agano hili ndilo nitakalofanya na nyumba ya Israeli, baada ya siku zile, asema Bwana; Nitatia sheria yangu ndani yao, na katika mioyo yao nitaiandika; nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.
Na ndio Hasa msingi,Havina Uhusiano kabisa Ni kweli na Mimi nimeweka tu ili nikuze mjadala ila Kiukweli hakuna Uhusiano wowote..
Labda Pengine warumi walicopy.kutoka babeli