Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Mimi huwa nashangaa baadhi ya watu wakishauri kwamba vijana wetu wasomee VETA wasiende degree, Je mtu akiwa na cheti cha VETA analipwa mshahara sh. ngapi kwa mwezi. π
π
π
π
π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mtu anaenda degree anasoma human resource. Mwisho wa siku hapati kazi na alipwi kabisa, iyo degree inafaida gani?Mimi huwa nashangaa baadhi ya watu wakishauri kwamba vijana wetu wasomee VETA wasiende degree, Je mtu akiwa na cheti cha VETA analipwa mshahara sh. ngapi kwa mwezi. [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sio lazima ukaajiliwe.shida yenu mnapenda kuajiliwa.fundi kwa day analipwa kuanzia 25000 .inategemeana na anafanya kazi gani.kuna kazi mfano ya skimming inaanzia 30,000hadi 35,000.Mimi huwa nashangaa baadhi ya watu wakishauri kwamba vijana wetu wasomee VETA wasiende degree, Je mtu akiwa na cheti cha VETA analipwa mshahara sh. ngapi kwa mwezi. [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mmmmm, ndio usome ufundi bombaππππππππSasa mtu anaenda degree anasoma human resource. Mwisho wa siku hapati kazi na alipwi kabisa, iyo degree inafaida gani?
Ufundi bomba unaweza kujiajiri mkuu, ukuwa serious na maisha [emoji56][emoji56][emoji56].Mmmmm, ndio usome ufundi bomba[emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
π π π π π hapana aise sijawahi kuwaza kufanya kazi kama hiyo. πππππππππUfundi bomba unaweza kujiajiri mkuu, ukuwa serious na maisha [emoji56][emoji56][emoji56].
Kwani lazima bomba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], veta kuna fani nyingine nyingine,[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]hapana aise sijawahi kuwaza kufanya kazi kama hiyo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimekucheki PM mkuuSio lazima ukaajiliwe.shida yenu mnapenda kuajiliwa.fundi kwa day analipwa kuanzia 25000 .inategemeana na anafanya kazi gani.kuna kazi mfano ya skimming inaanzia 30,000hadi 35,000.kazi ya alcobond kuanzia 30,000 hadi 50,000 kwa day.kupiga bati ni kuanzia 40,000.hapo ni fundi anayelipwa na fundi mwenzake anapoomba kazi.ukiwa na kazi yako mwenyewe unauhakika wa kupata kuanzia 50,000 hadi 80,000 kwa day.na hyo ni site moja.ukiwa na site 3 mpaka 5 unatengeneza kwa cku zaidi ya 250,000=.cha kwanza lazima ujiulize umesomea fan gani?.cc upande wetu kazi za finishing za nyumba ndio zinatulipa sana kuliko hata MTU mwenye digree
Veta hawafundishi haki za mfanyakazi.Mimi huwa nashangaa baadhi ya watu wakishauri kwamba vijana wetu wasomee VETA wasiende degree, Je mtu akiwa na cheti cha VETA analipwa mshahara sh. ngapi kwa mwezi. π π π π π
unaufinyu mkubwa sana wa maarifa.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]hapana aise sijawahi kuwaza kufanya kazi kama hiyo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu mtu anaesomea ufundi mara nyingi huyo ana nafasi ya kujiajiri zaidi kuliko wengine. Mfano mimi ni fundi umeme naanzisha ka kampuni kangu (Electrical Contractor) najitangaza kuchora schematic diagrams kwa wateja wanaotaka umeme, kuwajazia na kugongea mihuri kwenye form zao za maombi ya umeme, kufanya wiring, kufanya maintenances za umeme.Mimi huwa nashangaa baadhi ya watu wakishauri kwamba vijana wetu wasomee VETA wasiende degree, Je mtu akiwa na cheti cha VETA analipwa mshahara sh. ngapi kwa mwezi. π π π π π
Ahsante kwa muongozo huu mkuuSio lazima ukaajiliwe.shida yenu mnapenda kuajiliwa.fundi kwa day analipwa kuanzia 25000 .inategemeana na anafanya kazi gani.kuna kazi mfano ya skimming inaanzia 30,000hadi 35,000.kazi ya alcobond kuanzia 30,000 hadi 50,000 kwa day.kupiga bati ni kuanzia 40,000.hapo ni fundi anayelipwa na fundi mwenzake anapoomba kazi.ukiwa na kazi yako mwenyewe unauhakika wa kupata kuanzia 50,000 hadi 80,000 kwa day.na hyo ni site moja.ukiwa na site 3 mpaka 5 unatengeneza kwa cku zaidi ya 250,000=.cha kwanza lazima ujiulize umesomea fan gani?.cc upande wetu kazi za finishing za nyumba ndio zinatulipa sana kuliko hata MTU mwenye digree
Aisee, hizo fani ni mchomoko wa chap sana.Sio lazima ukaajiliwe.shida yenu mnapenda kuajiliwa.fundi kwa day analipwa kuanzia 25000 .inategemeana na anafanya kazi gani.kuna kazi mfano ya skimming inaanzia 30,000hadi 35,000.kazi ya alcobond kuanzia 30,000 hadi 50,000 kwa day.kupiga bati ni kuanzia 40,000.hapo ni fundi anayelipwa na fundi mwenzake anapoomba kazi.ukiwa na kazi yako mwenyewe unauhakika wa kupata kuanzia 50,000 hadi 80,000 kwa day.na hyo ni site moja.ukiwa na site 3 mpaka 5 unatengeneza kwa cku zaidi ya 250,000=.cha kwanza lazima ujiulize umesomea fan gani?.cc upande wetu kazi za finishing za nyumba ndio zinatulipa sana kuliko hata MTU mwenye digree
Fani zote za Veta zinamaketi sana mitaani,anauwanja mpana sana wa kujiajiri na kuajiriwa,fahamu iloMmmmm, ndio usome ufundi bombaππππππππ
Kila biashara inalipa ukiwa unasimuliwa..Sio lazima ukaajiliwe.shida yenu mnapenda kuajiliwa.fundi kwa day analipwa kuanzia 25000 .inategemeana na anafanya kazi gani.kuna kazi mfano ya skimming inaanzia 30,000hadi 35,000.
kazi ya alcobond kuanzia 30,000 hadi 50,000 kwa day.kupiga bati ni kuanzia 40,000.hapo ni fundi anayelipwa na fundi mwenzake anapoomba kazi.
ukiwa na kazi yako mwenyewe unauhakika wa kupata kuanzia 50,000 hadi 80,000 kwa day na hyo ni site moja.ukiwa na site 3 mpaka 5 unatengeneza kwa cku zaidi ya 250,000=.cha kwanza lazima ujiulize umesomea fan gani?.cc upande wetu kazi za finishing za nyumba ndio zinatulipa sana kuliko hata MTU mwenye digree