Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Mbona unachanganya na tikiti maji?😎Jifunze kiswahili usitumie kiswahili cha mazoea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unachanganya na tikiti maji?😎Jifunze kiswahili usitumie kiswahili cha mazoea.
Hakuna tiketi kuna tikiti.Hivi wanatakiwa kukagua tiketi au tikiti?!
Kaa mdudu, kaa la moto na kaa kwenye kiti.Mbona unachanganya na tikiti maji?😎
Mjinga yeyote yule mwenye ufinyu wa fikra huwa anahangaika na mambo madogo madogo yanayo endana na upeo wake wa kufikiri ,wenye akili kubwa wanashughulika na jambo la msingi lenye tija.😂😂 dah, hvi kumbe sio tiket ni tikiti 😂😂😂
Acha ubishi wa ujuaji, jifunze kiswahili sahihi.Kiswahili gani hicho unachoogelea?
Wewe ndio unaamua? Ha ha ha😎Acha ubishi wa ujuaji, jifunze kiswahili sahihi.
Ahsante sana, wewe ni mswahili uko sawa (Respect)Hakuna tiketi kuna tikiti.
Stakabadhi ni tikiti ni vitu viwili tofauti.Ticket ni neno la Kiingereza ukilitohoa kama halikai sawa basi ni bora uliseme kwa Kiswahili "Stakabadhi"
Jamaa yuko sawa, ticket kiswahili chake ni tikiti.Yaani anamsema Jamila anaesema Luvu badala ya Ruvu na yeye anaandika tikiti badala ya tiketi😎😎😎
Na bado anajiona ni mwalimu wa Kiswahili, ha ha ha😎😎Umeamini kiswahili kigumu eeh?umemrekebisha mwenzio Luvu/Ruvu halafu wewe unaurudi na habari za matikiti.
Wewe tena bora ufungue redio usikilize uchambuzi wa mpira.Umeamini kiswahili kigumu eeh?umemrekebisha mwenzio Luvu/Ruvu halafu wewe unaurudi na habari za matikiti.
Hapana, yuko sawa, hata mimi mwanzoni nilidhani amekosea lakini nilipofungua shajara yangu nikakuta yuko sawa. Heshima yake nimempa!Umeamini kiswahili kigumu eeh?umemrekebisha mwenzio Luvu/Ruvu halafu wewe unaurudi na habari za matikiti.
Hayupo sawa.Jamaa yuko sawa, ticket kiswahili chake ni tikiti.
yupo sawa.Hayupo sawa.
Kivipi?yupo sawa.
Halafu unapoandika tumia K na sio k. Heshimu lugha.Naona tumetoka kwenye mada, watu wazima tunafundishana kiswahili cha shule ya msingi! Tumezoea kiswahili cha mazoea.
Hakuna,hilo neno limetoholewa kwenye English na kiswahili tunasema tiketi,na sio tikiti..Hapana, yuko sawa, hata mimi mwanzoni nilidhani amekosea lakini nilipofungua shajara yangu nikakuta yuko sawa. Heshima yake nimempa!