Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,710
- 76,243
Soma post No. 27Stakabadhi ni tikiti ni vitu viwili tofauti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma post No. 27Stakabadhi ni tikiti ni vitu viwili tofauti.
Sawa, siwezi kukukatalia: Ukiendea Zanzibar Soko wanaliita Marikiti (Market in English) Bongo Soko tunaliita Soko inatokana na neno Kiarabu (Al Souk) tamka Alsuuk.Hakuna,hilo neno limetoholewa kwenye English na kiswahili tunasema tiketi,na sio tikiti..
K kubwa na k ndogo(usichombeze) kila moja ina mahali pake kama ilivyo Mungu na mungu.Halafu unapoandika tumia K na sio k. Heshimu lugha.
Mjibu tu kuwa K ni K.K kubwa na k ndogo(usichombeze) kila moja ina mahali pake kama ilivyo Mungu na mungu.
Vyema!Sawa, siwezi kukukatalia: Ukiendea Zanzibar Soko wanaliita Marikiti (Market in English) Bongo Soko tunaliita Soko inatokana na neno Kiarabu (Al Souk) tamka Alsuuk.
Acha kujifanya mjuaji. Nyinyi ndio mnasema kwa majina naitwa fulani badala ya jina langu ni fulani😎😎K kubwa na k ndogo(usichombeze) kila moja ina mahali pake kama ilivyo Mungu na mungu.
Usiharibiwe na Kiswahili cha wakenya😎😎Wote mnaopinga neno tikiti kuwa ni ticket, ingieni kwenye simu zenu mtafute tafsiri ya hili neno tumalize ubishi wa kitoto.
Kwani zitto si alishawapa mbinu ya nini cha kufanya kama mlimpenda sanaUpumbafu ni kama kifo, unawaumiza walio karibu nawe huku wewe hujijuiHuyu ni miongoni mwa mazwazwa (think tank) tulio nao hapa jukwaani. Tumzoee
Wameanza hujuma mapema asubuhi kabisa, ni muda wao wa maokoto kabla watu hawajazinduka na kuanza makelele.Nilikuona kwenye kituo kimoja cha runinga nchini ukisema eti TAKUKURU! Imegundua uwepo wa abiria wanaokata tikiti ya shilingi elfu moja kwenda Luvu(Ruvu) lakini wanaitumia kwenda Morogoro! Swali langu kwako, ndani ya treni wamo waganyakazi wengi wa TRC wakiwemo mashosti, je, ni vipi shirika limeshindwa kuajiri wakaguzi wa tikiti? Pili, vituo vya njiani huwa havipewi orodha ya abiria watakaoshuka kwenye vituo vyao ili nao wauze tikiti kulingana na abiria watakao shuka hapo? Inakuwaje TRC inauza tikiti nyingi za masafa mafupi ambazo abiria wake hawateremki mpaka TAKUKURU ije TRC ndani ya treni na kuwaambia eti abiria masafa mafupi hawateremki! Ni wazi TRC imewajiri viongozi na wafanyakazi wasio na ujuzi na uwezo wa kufikiri. Ninauhakika yote yanayoendelea stesheni na ndani ya treni mnayajua na lazima yanamaslahi kwenu, vinginevyo yasingekuwepo.
Hakika itaishia kama Mwendokasi tuuNilikuona kwenye kituo kimoja cha runinga nchini ukisema eti TAKUKURU! Imegundua uwepo wa abiria wanaokata tikiti ya shilingi elfu moja kwenda Luvu(Ruvu) lakini wanaitumia kwenda Morogoro! Swali langu kwako, ndani ya treni wamo waganyakazi wengi wa TRC wakiwemo mashosti, je, ni vipi shirika limeshindwa kuajiri wakaguzi wa tikiti? Pili, vituo vya njiani huwa havipewi orodha ya abiria watakaoshuka kwenye vituo vyao ili nao wauze tikiti kulingana na abiria watakao shuka hapo? Inakuwaje TRC inauza tikiti nyingi za masafa mafupi ambazo abiria wake hawateremki mpaka TAKUKURU ije TRC ndani ya treni na kuwaambia eti abiria masafa mafupi hawateremki! Ni wazi TRC imewajiri viongozi na wafanyakazi wasio na ujuzi na uwezo wa kufikiri. Ninauhakika yote yanayoendelea stesheni na ndani ya treni mnayajua na lazima yanamaslahi kwenu, vinginevyo yasingekuwepo.
Tikiti majiHivi wanatakiwa kukagua tiketi au tikiti?!
Magu alikuwa kivuruge hakuna mfano.Magu nani bnana!! Mbona ndiye aliyeharibu mfumo mzuri wa malipo uliokuwepo kwenyeUDART?? kwa kuwatoa selcom na kuwapa ttcl? Wakatoka kwenye tiketi za ku scan wakarudi kwenye tiketi za vishina?? Hii nchi....
Ahsante sana, wewe ni mswahili uko sawa (Respect)
Hivi wanatakiwa kukagua tiketi au tikiti?!
Wote mnaopinga neno tikiti kuwa ni ticket, ingieni kwenye simu zenu mtafute tafsiri ya hili neno tumalize ubishi wa kitoto.
Wako bize mule wana selfie wanakata mauno wanacheza komasavaAjira za vimemo,
Unaweza kuta mhudumu badala ya kukagua tiketi yuko anachati umbea wa shilole na asha buheti.
Ni aibu kubwa kwa Masanja Kadogosa!Nilikuona kwenye kituo kimoja cha runinga nchini ukisema eti TAKUKURU Imegundua uwepo wa abiria wanaokata tikiti ya shilingi elfu moja kwenda Luvu(Ruvu) lakini wanaitumia kwenda Morogoro!
Swali langu kwako, ndani ya treni wamo waFanyakazi wengi wa TRC wakiwemo mashosti, je, ni vipi shirika limeshindwa kuajiri wakaguzi wa tikiti?
Pili, vituo vya njiani huwa havipewi orodha ya abiria watakaoshuka kwenye vituo vyao ili nao wauze tikiti kulingana na abiria watakao shuka hapo?
Inakuwaje TRC inauza tikiti nyingi za masafa mafupi ambazo abiria wake hawateremki mpaka TAKUKURU ije TRC ndani ya treni na kuwaambia eti abiria masafa mafupi hawateremki!
Ni wazi TRC imewajiri viongozi na wafanyakazi wasio na ujuzi na uwezo wa kufikiri.
Ninauhakika yote yanayoendelea stesheni na ndani ya treni mnayajua na lazima yanamaslahi kwenu, vinginevyo yasingekuwepo.
Hii ndio solution sahihi ya kidijitali...aliyekata Tiketi ya Ruvu, akaendelea mpaka Moro, anatakiwa azuiliwe kutoka kituoni mpaka atakapolipa nauli yote.
..Kwa maana nyingine, tiketi ya Ruvu ukiitumia kutoka Moro inatakiwa igome kusomeka. Na ili isomeke inabidi ukailipie nauli kamili.
..TRC wanatakiwa wabunge mifumo sahihi ya kuingia na kutoka ktk stesheni za Sgr.
..Wadanganyifu wanatakiwa wakamatwe wakati wanajaribu kutoka vituoni. Hakuna haja ya kuajiri wakaguzi wa tiketi wanaopata kwenye mabehewa.
Jibu liko ndani ya mabano, mwanzoni nilimkosoa lakini baadae nikajiona mimi ndio mjinga na yeye yuko sawa.Tiketi - Wikipedia, kamusi elezo huru
View attachment 3072223
Wikipedia
https://sw.wikipedia.org › wiki › T...
·Translate this page
Tiketi (pia: tikiti, kutoka Kiingereza "ticket") ni kipande cha karatasi au kadi inayoidhinisha mtu kuingia, kushiriki, kutumia au kusafiri.