SWALI: Nani ni Malkia wa Nguvu kwako huku JF?!

Malkia wangu wa nguvu upande wa jf ni rafiki yangu Kipenzi Numbisa huyu kijuu juu unaweza sema ni mtu wa kawaida ila kwa upande wangu huwa ni mdada muhimu sana sababu anayatema sana madini ndani ya jf tena yenye mafunzo hasa kule kwenye uzi wake pendwa wa likes. Iwe habari za Afya, michezo na hata zile za ubuyu zinazopendwa wa wengi kule jukwaa la Celebrities basi huyu akizipata ni lazima aje atumwagie na wengine tupate jua.

Mwingine ni shoga kidawa ukhuty nadhani yeye anazijua sababu za kuwa malkia wa nguvu kwa Emmy iwe ndani au nje ya jf.

Emmy penda sana nyie. [emoji8] [emoji8]
 
Yaan katoa kali ya kufungia mwezi

Maana kwenye story zake nipo na nnavyochat humo sasa kumbe ningeweza mtokea kama dume angenifikiria ombi langu na kwa bahati ningeweza hata kukubaliwa hahaha
Teh. Eti alijua we ni me lol. Hahahaaaaa.

Mie pia nimecheka sana duuh.

Ila we Money Penny wewe. [emoji12] [emoji12]
 
Appreciate my dear emmy, umeshuka gazeti moja tamu kulisoma muda wote. Shukran sana.
 
Amen.

Be blessed too. Idumu JF
Ahsante sana sana my dear rafiki.

Nadhani unajijua hata kabla ya huu uzi jinsi ulivyo malkia wa nguvu kwa Emmy hajawahi juta kukupata rafiki na hajawahi juta kukufahamu kipenzi.

Ubarikiwe sana. [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Yaan katoa kali ya kufungia mwezi

Maana kwenye story zake nipo na nnavyochat humo sasa kumbe ningeweza mtokea kama dume angenifikiria ombi langu na kwa bahati ningeweza hata kukubaliwa hahaha
Hahahaaa. Na kweli aiseee.

Ila umejua kunichekesha leo lol.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…