Swali: Ni timu ya nchi gani inayoimba wimbo wao wa Taifa kwa HAMASA kubwa? Na ipi haiimbi kwa hamasa?

Swali: Ni timu ya nchi gani inayoimba wimbo wao wa Taifa kwa HAMASA kubwa? Na ipi haiimbi kwa hamasa?

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya uzalendo na hamasa ya kuimba wimbo wa Taifa, na kati ya kujiamini na kuimba wimbo wa Taifa. Je ni timu ipi inaimba wimbo wake wa Taifa kwa hamasa kubwa? Nadhani huiyo inaweza kuwasaidia kubeba kombe la dunia!

Kwa maoni yangu Ureno ina hamasa kubwa sana katika kuimba wimbo wao wa Taifa, na sitashangaa kama Ureno watabeba ndoo ya dunia!
 
Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya uzalendo na hamasa ya kuimba wimbo wa Taifa, na kati ya kujiamini na kuimba wimbo wa Taifa. Je ni timu ipi inaimba wimbo wake wa Taifa kwa hamasa kubwa? Nadhani huiyo inaweza kuwasaidia kubeba kombe la dunia!

Kwa maoni yangu Ureno ina hamasa kubwa sana katika kuimba wimbo wao wa Taifa, na sitashangaa kama Ureno watabeba ndoo ya dunia!
Brazil 🇧🇷 🇧🇷 🇧🇷 🇧🇷 🇧🇷
 
Hadi leo hii ni Italia, Brazil, Uguay, South Korea na jamaa wa Iceland (hawa ni Noma) walifuzu euro mara ya kwanza hamasa Yao sio ya kitoto. Halafu wapo watu kama kilo tatu tu (laki tatu)
 
Canada timu nzima wanajua wimbo wa taifa na wanaimba kwa hamasa
 
Korea na Japan wameshindikana wale wazalendo haswa.
 
Back
Top Bottom