Swali pevu: Je sifa zimuendee RC Makonda au Kocha Amunike kwa mabadiliko tuliyoyashuhudia.

Swali pevu: Je sifa zimuendee RC Makonda au Kocha Amunike kwa mabadiliko tuliyoyashuhudia.

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
RC Makonda anasimamia ilani ya CCM juu ya utekelezaji wa sera ya michezo. Ametimba Cairo kuhakikisha anarudi na majawabu ya kuwapa wananchi pindi watakapohoji kunako 2020.

Amunike yeye anatimiza majukumu yake ya kimkataba na amewatumia salamu wale waliohoji uwezo wake na kumwita dalali.

Binafsi naona wote wawili pamoja na wachezaji wanastahili pongezi.
Wewe je?

Maendeleo hayana vyama!
 
RC Makonda anasimamia ilani ya CCM juu ya utekelezaji wa sera ya michezo. Ametimba Cairo kuhakikisha anarudi na majawabu ya kuwapa wananchi pindi watakapohoji kunako 2020.

Amunike yeye anatimiza majukumu yake ya kimkataba na amewatumia salamu wale waliohoji uwezo wake na kumwita dalali.

Binafsi naona wote wawili pamoja na wachezaji wanastahili pongezi.
Wewe je?

Maendeleo hayana vyama!

Nonsense, hilo litaahira linaweza kufanya nini
 
RC Makonda anasimamia ilani ya CCM juu ya utekelezaji wa sera ya michezo. Ametimba Cairo kuhakikisha anarudi na majawabu ya kuwapa wananchi pindi watakapohoji kunako 2020.

Amunike yeye anatimiza majukumu yake ya kimkataba na amewatumia salamu wale waliohoji uwezo wake na kumwita dalali.

Binafsi naona wote wawili pamoja na wachezaji wanastahili pongezi.
Wewe je?

Maendeleo hayana vyama!
Sifa ziende kwa makonda na CCM
 
RC Makonda anasimamia ilani ya CCM juu ya utekelezaji wa sera ya michezo. Ametimba Cairo kuhakikisha anarudi na majawabu ya kuwapa wananchi pindi watakapohoji kunako 2020.

Amunike yeye anatimiza majukumu yake ya kimkataba na amewatumia salamu wale waliohoji uwezo wake na kumwita dalali.

Binafsi naona wote wawili pamoja na wachezaji wanastahili pongezi.
Wewe je?

Maendeleo hayana vyama!
Sifa zimuendee makonda na CCM
 
Mmepeleka zero brain Bashite, tumefungwa. Hata akili yako mwenyewe zero, utalinganishaje nafasi ya kocha na ya Bashite? Kwani Bashite ni nani kwenye timu?
 
Back
Top Bottom