Kama dunia imegawanyika katika vipande viitwavyo plates, je katika mpasuko huo,kwa mujibu wa nadharia ya "continental drift", kuwa dunia imezungukwa na bahari, kwahyo kila kipande kinaelea kwenye maji au mpasuko ulitokea juu tu ila chin ya bahari kuna base inayo shikiria kila plate?
Msaada kwa anayeweza kuwa na uelewa juu ya swali hlo
Msaada kwa anayeweza kuwa na uelewa juu ya swali hlo