Swali Rahisi: Nyerere aliwashughulikiaje Waganda "Illegals" wakati wa "chokochoko" Za Idi Amin?

Swali Rahisi: Nyerere aliwashughulikiaje Waganda "Illegals" wakati wa "chokochoko" Za Idi Amin?

naona sababu imehama kutoka kwenye uhalifu na sasa imekuwa 'tumeelemewa'

huwezi kutetea blunders kwani mwisho wake ni kuumbuka.

Nasubiri kusikia ni wahamaji haramu kiasi gani wameitikia wito na wangapi wamefurushwa.Halafu napenda kusikia tukitangaziwa kuwa Kagera ya leo ni shwari,mabasi yatatembea bila askari.NJIA YA MWONGO NI FUPI SANA!
Ndugu yangu kuna kitu hukifahamu kuhusu ndiyo maana humwelewi JokaKuu.
Kwanza uhalifu ni neno lenye maana nyingi ikiwa ni pamoja na kuudhi, kukirihi na kukiuka.
Hapa kwa wahamiaji haramu limetumika kama kukiuka kwa maana kukiuka sheri za nchi. Unapokiuka sheria umehalifu na mtu aliyehalifu ni mhalifu. Siyo tusi kama unavyoelewa.

Pili, kuna kuelemewa kwa serikali kwa ushahidi kabisa. Wahamiaji wanatumia resource kama elimu, afya n.k. kwa kubanana na raia wenye nchi yao. Baada ya hapo kwasababu si raia hurudi kwao kutumikia nchi zao. Kuna Wanyarwanda wahamiaji haramu wenye kufaidika na huduma wakiwa si raia kama niliyoonyesha hapo chini (Red)

Soma hii hapa chini uone.


BY GUARDIAN ON SUNDAY TEAM


11th August 2013

Relations between Tanzania and Rwanda are still at the crossroads, despite the soft diplomatic tones taken by both countries in the past few days, the Guardian on Sunday has learnt.

While President Kikwete last week assured Rwanda that the two countries needed each other, and that his government was committed to cordial ties with Kigali, the latter seemed to be puzzled by what has been described as the "unpredictability" of the Dar es Salaam regime.

In reaction to President Kikwete's speech, as well as the eviction of illegal immigrants, Rwandese Foreign Affairs Minister Louis Mushikiwabo took a soft diplomatic tone. But behind the scenes, the relations between the two countries remain worse than portrayed.

Though the Rwandese foreign affairs minister and government spokesman on Thursday reassured Tanzanians living in Rwanda to feel at home despite the latest developments, sources within the Kigali regime told the Guardian on Sunday that "more diplomatic efforts" were still needed to save the strained relations between the two countries, both of them members of the East African Community (EAC).

Though both sides aren't willing to admit publicly about tbe real cause of the current situation, the Guardian on Sunday has reliably established that the Democratic Republic of Congo is the source of misunderstanding between the two countries.

The Rwanda regime is reportedly unhappy with Tanzania's move to send troops to the war-torn Kivu province under the umbrella of the Southern African Development Community(SADC), The Guardian on Sunday has established.

Rwanda's stand was that the issue be resolved through the Kampala peace talks, which was an initiative of the heads of state of Great Lakes region under the chair of Uganda's President Yoweri Kaguta Museveni.

"We were shocked to see that SADC through its Defence and Security Committee chaired by Tanzania can discuss with a non-member country like Rwanda and issue a joint communiqué without inviting us as a concerned party," a senior official from the inner circle of the Rwandese top administration told the Guardian on Sunday over the phone.

"As if that wasn't enough, the same country that has dispatched its troops to the Congo urged Rwanda to initiate peace talks with the Forces for Democratic Liberation of Rwanda(FDLR) … which was involved in the genocide against Tutsi and moderate Hutus," the official who declined to be named because he isn't the authorized spokesperson for the Rwandese government told the Guardian on Sunday this week.

FDLR rose from the ashes of the 1994 genocide to form a strong Hutu extremist army, which then transformed itself into a political party with a mission to oust the Kagame regime "at any cost through the barrel of a gun."

Though United Nations monitoring group in July, this year, released a report saying the FDLR, a Hutu group opposed to the Tutsi-led Rwandan government, has also "continued to weaken" during the first half of this year, the Rwandan regime sees the Hutu rebels as their biggest threat.
But Tanzania on its part has strongly defended its position to send troops into the Congo's troubled Kivu Province, saying the move was aimed at restoring calmness and protecting innocent civilians following the rising of the M23 rebels, which mutinied against the Congolese national army, FARDC, early last year.

According to details gathered by the Guardian on Sunday, the Kigali regime sees Tanzania as "partisan" to the Congo issue, saying the latter has sided with the regime in Kinshasa. The Kigali regime claims it has evidence to prove that FDLR has been funded and used by Kishasa as a proxy army against Rwanda for the past decade.

These claims were backed by a recent report of the UN monitoring group released in July as well as confessions by one of top FDLR leaders who told the German court that the Kinshasa regime had sponsored the founding congress of the Hutu rebel movement.

Appearing before the provincial court in the German city of Stuttgart on Monday, this week, Straton Musoni, the incarcerated FDLR vice-president said Kinshasa had played a major role in organizing the group's first meeting which convened in Lubumbashi, DRC's second largest city, in May, 2000.

On July 16, this year, just weeks after the UN report came out, Rwanda officially accused the newly-deployed Force Intervention Brigade (FIB), under the UN Stabilisation Mission in the Congo (Monusco), of backing collaboration between DR Congo-based Forces for the Liberation of Rwanda militia (FDLR) and the Congolese army.

The accusations are contained in a letter that Rwanda's UN Ambassador Eugene-Richard Gasana wrote to US Ambassador Rosemary DiCarlo in her role as this month's president of the UN Security Council.

The Guardian on Sunday has established that apart from the Congo crisis, the Rwandan regime was also puzzled by what it termed the "Kayumba Nyamwasa" affair.

Kigali believes that when it fell out with General Kayumba Nyamwasa who was the Chief of Staff of Rwandese Defence Forces (RDF), the latter escaped from Rwanda and spent some days in Dar es Salaam -- before flying to South Africa where he was given asylum.

According to reliable sources within the Rwandese regime, Kigali wasn't happy with the way the man it seen as a dissident was hosted and entertained by some top government officials in Tanzania.

But an official from the Tanzania government dismissed such fears from Kigali, saying there was no official request from Rwanda notifying Dar es Salaam that General Nyamwasa was a ‘wanted man'.

General Kayumba has formed a political party to fight his former boss, and he is currently living in South Africa where he was given asylum some years ago.

President Kikwete's speech

After two months of diplomatic tension and verbal slurs between leaders of the two countries, President Kikwete last week assured Rwandese that Tanzania's cordial relations would tarnished by what transpired recently.

The president admitted that the good relations between the two neighbouring nations had gone through difficult times over the past two months following remarks he issued in Addis Ababa in May advising the Kigali regime to negotiate with Hutu rebel Forces for the Democratic Liberation of Rwanda.

"During the past two months our relations with Rwanda have undergone difficulties … the reactions and statements of some Rwandan leaders against me and our country were clear evidence of the current situation, President Kikwete told the nation in his monthly speech yesterday.

The president said, "I would like to assure my fellow Tanzanians and our brothers from Rwanda that I, the government that I lead and the people of Tanzania are willing to maintain the good relations we have had with Rwanda … as we do with all our neighbours.

"I would like to insist that I, and the government that I lead will be the last to do any bad things against Rwanda or any neighbouring country … we have no reason to do so because those are things that won't profit our nation," the president said, adding that his advice to the Rwandan government was made in good faith.

But these reassuring words seem to have fallen on skeptical and still suspicious ears on the other side.

"One day there's tough talking …. indicating war between the two countries … but the very next day you hear there's no conflict… at the same time you have Rwandese being repatriated because they are illegal immigrants.

‘We don't know exactly what to believe," a senior official from the inner circle of the Rwandese top administration told the Guardian on Sunday over the phone.

The official added: "We are tempted to trust President Kikwete's assuranceS, but we are still at the crossroads because of Tanzania's unpredictability and hostility towards Rwanda.

"Yes, there are illegal immigrants in Tanzania … but the timing is what casts more doubts … the issue of illegal immigrants is coming at a time when our relations are shaken," the official who was born, raised and educated in Tanzania up to university level before returning to his country in 1990s, further told the Guardian on Sunday.

"Our concern is that the operation might affect even those who have been in your country for years and have valid permits … we expected our Tanzanian brothers to contact us so that we could conduct a joint operation as good neighbours … but that didn't happen," he added.

In January, this year, an opposition leader wrote a letter to the Minister for Defence and National Service, Shamsi Vuai Nahodha, in which he claimed that Rwanda's President Paul Kagame had dispatched 35,000 illegal immigrants from Tanzania in his bid to form the so-called "Tutsi Empire".

The letter was later leaked to the social media, sparking a tough debate with many commentators calling for the Tanzanian government to act on the grave allegations contained in that letter.

But Rwanda dispatched its genocide researchers to translate the letter into Kinyarwanda and English languages as well as investigating the real author of the document.

The Guardian on Sunday has established that the Rwandan government after a long time investigation concluded that the letter was written by the so-called genocide suspects but used the opposition leader as a cover-up.

"The issue here wasn't just illegal immigrants but President Kagame and Tutsis … if you read it between the lines, the languag........................................
 
Last edited by a moderator:
......Kuwaacha wahamiaji haramu ni kukubali kuchukua mzigo usioujua una nini ndani. Mathalan, wanapopata majanga kama milipuko ya maradhi, au mauaji wakiwa nchini mwetu wanajulikana na Watanzania si wahamiaji haramu na serikali inabeba jukumu isilopaswa kulibeba kwa raia wasiojulikana na wa nchi gani.......

Mkuu Nguruvi3......binafsi hili suala zima linanikumbusha experience ya maisha yangu nikiwa maeneo hayo......hilo jambo hapo juu mbona limeshatokea mara nyingii!!.....
 
Atauwachukue watusi wote walioko rwanda uwalete Tanzania, iwe kagera au mkuranga, pamoja na Kagame yule, hata siku moja hawataweza kuleta chokochoko wanazozileta Congo. The ethnic distribution in Tanzania is very complex than anywhere in the world, so our social system is quite different, difficult and complex, it does not allow one ethnic group to dominate over other. Na wakileta za kuleta watadhibitiwa tu, tena kirahisi. Sanasana walewahimiaji wanachokitafuta ni a place to live, to run away from their misable country, kuleta chokochoko za kutaka kujitenga hawawezi kufanikiwa na hawataweza kufanikiwa. Hapa sinamaana kwamba wasidhibitiwe, kwani kudhibiti is part of the system and should be ongoing.
Mkuu NARA don't you underrate resolve za Watutsi wanapo pania kitu, DRC ina makabila mangapi, Je DRC ina eneo la mraba kiasi gani je hiyo ilimzuia/ugopesha jeshi la Kagame ku-attempt kumpindua Kabira Sr na walikuwa karibu wafanikiwe - jamaa hawa wana guts za ajabu sana, kuna vitu nilikuwa sitaki kuzungumza humu - hivi jeshi la Kagame iliwachukua muda gani kutoka mpakani mwa Rwanda na kufika viungani mwa mji wa Kinsasha, kama nakumbuka vizuri iliwachukuwa less than three weeks kama sikosei, binafsi nilikuwa concern sana na kasi ile maanake nilijua wakimaliza DRC watavimba kichwa na kufikilia kwa nini tusijaribu Tanzania na wangeweza kabisa kujaribu, nilikutana na Waziri wetu wa ulinzi Hotelini kwa bahati tu alikuwa na wageni wake wanakunywa kahawa, mimi nika summon courage na kwenda mezani kwake nikamwambia samahani kuna kitu nataka kuzungumza nawe pembeni kidogo, yule baba wa watu alikubali kunisikiliza - kuna vitu tulizungumza siwezi kuvirudia hapa lakini theme nzima ilihusu kasi na mbinu za majeshi ya Rwanda kwenda kuhuteka mji mkuu DRC (Kinshasa), nilicho shukuru Jeshi letu ni IMARA kweli kweli na wanajua kila kitu kinacho endelea (kwa bahati waziri alikuwa ni mwanajeshi wakati huo), kauli hiyo ilinipa matumaini kweli kweli. Tukae tukijua Viongozi wa Kigali wako highly umpredictable cha muhimu hapa ni kukaa tayari kwa lolote.
 
Mkuu Bukyanagandi.....wengi wa watu wanaojaribu kutetea uhamiaji haramu hapa JF nina imani kuwa hawayajui maeneo husika vilivyo......na hawana experience na maisha ya kule......ulichokisema hapo juu kina ukweli mwingi sana......
Webale mkuu Ogah, hilo ni tatizo kubwa kusema kweli, wenyeji ndio wanajua vilivyo kero za wahamiaji ambao wengi wao hawana SHUKURANI.
 
Webale mkuu Ogah, hilo ni tatizo kubwa kusema kweli, wenyeji ndio wanajua vilivyo kero za wahamiaji ambao wengi wao hawana SHUKURANI.
Hawana shukrani hata kidogo. Wamepewa option ya kuomba uraia hawataki kuitumia. Wamepewa fursa za kuishi sehemu nyingine hawataki kwenda.

Inapofikia mahali mtu anahama na ng'ombe wake, anamuondoa mwenyeji kwa nguvu hilo si jambo dogo.
Ndipo swali la JokaKuu linapopata nguvu kuwa je, watu hawa wanamsaada wa serikali yao? Na kama ni hivyo kuna nini nyuma ya msaada huo?

Kwanini Rwanda inayoongozwa na 'smart man' Kagame haizuii watu wake wabaki kwao kwenye maendeleo inalalamika wanaporudishwa? Kwanini Wanyarwanda wenye mkataba na Uganda na Kenya ambako juzi wamesaini kuingia nchi nyingine bila kitambulisho hawaondoki Tanzania na kuchangamkia fursa hiyo huko kwingine?

Kwanini Rwanda ione uchungu sana raia wake wanapoombwa warudi nyumbani kwao?
 
Hawana shukrani hata kidogo. Wamepewa option ya kuomba uraia hawataki kuitumia. Wamepewa fursa za kuishi sehemu nyingine hawataki kwenda.

Inapofikia mahali mtu anahama na ng'ombe wake, anamuondoa mwenyeji kwa nguvu hilo si jambo dogo.
Ndipo swali la JokaKuu linapopata nguvu kuwa je, watu hawa wanamsaada wa serikali yao? Na kama ni hivyo kuna nini nyuma ya msaada huo?

Kwanini Rwanda inayoongozwa na 'smart man' Kagame haizuii watu wake wabaki kwao kwenye maendeleo inalalamika wanaporudishwa? Kwanini Wanyarwanda wenye mkataba na Uganda na Kenya ambako juzi wamesaini kuingia nchi nyingine bila kitambulisho hawaondoki Tanzania na kuchangamkia fursa hiyo huko kwingine?

Kwanini Rwanda ione uchungu sana raia wake wanapoombwa warudi nyumbani kwao?

...Bi Mushikawabo anadai si jambo la ajabu kukuta makabila ya aina moja kupatikana kila upande wa nchi jirani....na kwamba.......Wanyarwanda walioko Rwanda wanazungumza Kiswahili...na si ajabu kuna Watanzania walioko Tanzania wanazungumza Kinyarwanda........its historical thing........lakini akasahu kuwa kila nchi ina sheria za uraia......uraia ni zaidi ya kuzungumza lugha.......
 
.....Strategies za General James Kabarebe zinawaponza........
 
...Bi Mushikawabo anadai si jambo la ajabu kukuta makabila ya aina moja kupatikana kila upande wa nchi jirani....na kwamba.......Wanyarwanda walioko Rwanda wanazungumza Kiswahili...na si ajabu kuna Watanzania walioko Tanzania wanazungumza Kinyarwanda........its historical thing........lakini akasahu kuwa kila nchi ina sheria za uraia......uraia ni zaidi ya kuzungumza lugha.......
Anashangaa eti Rwanda haikushirikishwa katika mpango wa kuwaondoa wahamiaji haramu. Hivi serikali ya Tanzania ingewashirikisha na kuwashauri kuhusu kuondoa raia wao si yangerudi yale yale ya matusi kwasababu Kgame hakubali ushauri yeye ni mitusi tu mdomoni? Kwani wahamiaji haramu ni wakimbizi kiasi cha kuhitaji serikali ya Rwanda ishiriki? Unless serikali hiyo ilijua uwepo wake na hapo ndipo tunahoji, je, wahamiaji haramu wana msaada wa serikali yao?
 
kuna wakati mwanakijiji anakuwa hawazi wala hafikirii linapokuja swala la Nyerere, kwake nyerere ni bible, ni quran ni kila kitu, kwake nyerere ni saint......mwanakijiji anashikiwa akili atakaposema lolote la nyerere kwani kwake nyerere hakosei

what a man
 
Katika moja ya maandiko niliyowahi kuyasoma inatajwa kuwa Watusi na Wahutu ni uzao wa Ethiopia > Israel

Asili yao ni ileile ya West Bank,Ukanda wa Gaza, nk "ardhi" ni urithi muhimu na jihadi ya kweli kwao,

Na hata ukisoma ule mkataba wa kuigawa kongo ulioingiwa kati ya Laurent Kabila, Kagame na Mseveni uliopewa jina la "Nchi ya Ahadi ya Watusi" utaona kuwa mazingatio makuu yalikuwa ni raslimali ardhi na madini,


Ukitulia na kutafakari kupitia nyaraka na machapisho mbali mbali yahusuyo Rwanda na kisha Kongo na Watusi unaweza kukubaliana na hoja ya mkuu Bukyanagandi
 
Nara,

..is our ethnic distribution more complex than Congo's?

..kama wameweza kui-destabilize Congo, what makes u believe kwamba they will not attempt, or hawataweza, kui-destabilize Tanzania??

..binafsi nadhani tuishinikize Rwanda idhibiti wananchi wake. hii nchi ina wakimbizi almost kila nchi ktk maziwa makuu.

..hili tatizo serikali inahangaika nalo tangu wakati wa Raisi Mkapa. Wahamiaji haramu wameondoshwa siyo mara lakini wanaendelea kurudi.

..What is going on in Rwanda?? Je, Rwanda ina-encourage raia wake kuingia Tanzania kama wahamiaji haramu??

cc Nguruvi3, Jasusi, Ogah

At least that is what statistics shows, that we have more complex ethnic distribution than anywhere in this world.

Tanzania kuidestabilise hawawezi na hawataweza hatawakijaribu! Nivizurikuchukua tahadhari lakini usidhani watz ni wamelala kisasi hicho.Instability in Congo is historical, it has been lk that ever since, because of some other reasons including ethnic distribution.

Kwani hawa watutsi have been in Tanzania today? Wapo Tanzania long time. Hivi kati ya watutsi na wasomali ni watu gani wakorofi, wakatili, wezi, au illiterate? Watutsi ni wabantu lakini pia wanaasili ya kisomalisomali, so mbona tumewatreat wasomali so decently?

Swala la kudhibiti wakimbizi kutoka Rwanda siyo swala la Rwanda, bali ni swala la Tanzania na Rwanda, and in the worse case it is Tanzanian responsibilities. Wewe jaribu kufuatilia jinsi Wakenya wanavyoingia Tanzania au watz wanavyozamia South Africa.

Watu kukimbia nchi zao kutokana na instability in their country is obvious, lakini ukiangalia kwa mapana uhamuzi wa Rais to selectively chase away Rwandese illegal immigrants was too political na unaleta picha mbaya sana na uhasama dhidi ya hii ethinic group.

CCM si ndo wao wanasemaga eti the believe that 'africa is one', kwa kuwabagua wanyarwanda?? Kwa sababu tu wanaroho mbaya au kauli z kisiasa za viongozi? Too bad too weak!!
 
Katika moja ya maandiko niliyowahi kuyasoma inatajwa kuwa Watusi na Wahutu ni uzao wa Ethiopia > Israel

Asili yao ni ileile ya West Bank,Ukanda wa Gaza, nk "ardhi" ni urithi muhimu na jihadi ya kweli kwao,

Na hata ukisoma ule mkataba wa kuigawa kongo ulioingiwa kati ya Laurent Kabila, Kagame na Mseveni uliopewa jina la "Nchi ya Ahadi ya Watusi" utaona kuwa mazingatio makuu yalikuwa ni raslimali ardhi na madini,


Ukitulia na kutafakari kupitia nyaraka na machapisho mbali mbali yahusuyo Rwanda na kisha Kongo na Watusi unaweza kukubaliana na hoja ya mkuu Bukyanagandi


Watutsi ni wabantu kama wabantu wengine,asikudanganye mtu! Hakuna cha pua wala nini. Wote wale ni african bantuz, tena wanaasili moja na some ethinic groups za kule Nigeria.

Wapo watu wenye asili ya israel, ambao inasemekana ni watoto wa Queen of Sheba aliozaa na Suleiman, lakini sidhani kama ni watutsi. Baada ya the fall of Cushite kingdom, wengi wao walibaki Ethiopia, lakini wengine walikimbilia maeneo ya Kenya na wengine wapo around Kilimanjaro region. Hii ni proof according to recent DNA studies.
 
Watutsi ni wabantu kama wabantu wengine,asikudanganye mtu! Hakuna cha pua wala nini. Wote wale ni african bantuz, tena wanaasili moja na some ethinic groups za kule Nigeria.

Wapo watu wenye asili ya israel, ambao inasemekana ni watoto wa Queen of Sheba aliozaa na Suleiman, lakini sidhani kama ni watutsi. Baada ya the fall of Cushite kingdom, wengi wao walibaki Ethiopia, lakini wengine walikimbilia maeneo ya Kenya na wengine wapo around Kilimanjaro region. Hii ni proof according to recent DNA studies.

Vema sana mkuu kwa maelezo murua,

Vipi mkuu, uliwahi kupata machapisho ya kusimama na kuimarika himaya za Kitusi na Kihutu katika Bonde la Ufa sambamba na kingo za mto Nile?
 
559716_566570513388649_845392307_n.jpg

Haya rushasha na mukora1898...hii ndio tanzania mnayojivunia? subirini very soon mtakuwa kama wanaigeria halafu utakuja huku kutuomba passport ya kusafiria.
 
Tofauti yenu (wewe na Mheshimiwa Rais) na MMj ni moja tu; MMj is objective and you are emotional.

My opinion is that, being objective is better than being emotional katika kuongoza nchi. Whether wale watu wako kiharamu au kihalali in Tanzania, inaonekana ni wazi kabisa wanafukuzwa sababu ya kauli mbovu za viongozi wa Rwanda. Hii ndo approach ya rais wetu na serikali....kweli? Hivi wakati wanondoka ninani atakuwepo kujua kuwa huyu yupo kihalali au hayupo kihalali, apo kumbuka kwamba tayari kwenye jamii raisi kashajenga muonekano kwamba hawa jamaa ni watu haramu?

Sitetei kauli za Kagame, wala sina urafiki na wanyarwanda endopowanataka kuchezea the integrity of this country. Swali ni kwamba, je kuna wasomali wangapi wanaishi hapa nchini kiharamu na kila siku wanapewa uraia mamia kwa mamia? Kuna wakimbizi kutoka burundi zaidi ya laki walipewa urai? Are these better than the Rwandan? Kama siyo kuwa emotional kwa mheshimiwa wetu ni nini? Mkwara ulikuwa unatosha tu.

Haka kanchi kananuka rushwa!!
Mkuu nchi inalindwa na emotions zinazotokana na utaifa.
Nothing less!!

Pengine hujapitia somo la historia za major conflicts, za WWII.
Huko Marekani, naamini ndiko aliko MMKJJ, Wajapani karibu wote walikuwa rounded up, kutokana na wasi wasi juu ya allegience yao kwa Taifa la Marekani.
Huko Uingereza ndo kabisa Mjerumani yeyote aliwekwa mtu kati, na alikuwa tagged toka asubuhi hadi asubuhi.

Nyie mnacheza na Nji hii, for political expediency!!

Msijitakie sifa za huko nje wakati nchi yenu inawahitaji.
 
Vema sana mkuu kwa maelezo murua, Vipi mkuu, uliwahi kupata machapisho ya kusimama na kuimarika himaya za Kitusi na Kihutu katika Bonde la Ufa sambamba na kingo za mto Nile?

Heshima yako mkuu Yericko, naona jamaa wengi wanao zungumza humu hawajawahi kupitia machapisho husika au kupata fulsa ya kuishi na Watutsi kwa karibu. Binafsi nimewahi kuishi na kusoma na Watutsi, vile vile niliwahi kuwa na Girlfried wa Kitutsi ambaye alikuwa anasoma na kuishi NAIROBI, Tukija nimejifunza mambo mengi over the years kuhusu hulka la kabila hili, hulka na imani zao hazina tofauti na za Wayahudi na wanajiamini sana.

Tukija katika suala la ndoto za kutaka kuimarisha himaya ya KITUTSI - suala hilo ni la kweli kabisa si adithi za kutunga, huu ulikuwa ni mpango wao wa siku nyingi unao tekelezwa kwa umakini mkubwa through phases ntatoa mifano ya kuonyesha ukweli huo:

*Phase ya kwanza ilikuwa ni Uganda - M7 alishirikiana na Watutsi wakimbizi chini ya Kagame na Fred hao ndio walifanikisha kumuweka madarakani M7 kupitia mtutu wa bunduki kumbuka M7 ana damu ya Bahima ambao ni wale wale(Tutsi).

*Phase ya pili - M7 kawasaidia Watutsi kutumia mtutu wa bunduki kurudi Rwanda na walifanikiwa kumpindua Habyarimana now these same TUTSI are on driver's seat in Kigali - oh just hold on a second....

*Phase ya tatu: Kagame, M7 wakajitia kumsaidia Kabira Sr kuingia madarakani DRC kumbe agenda yao ya siri ni kumsimika Mtutsi mwenzao kwenye madaraka huko DRC - Kabila Sr aliuliwa kwenye mazingira ya kutatanisha aliye mrithi ajulikani vizuri vizuri origin yake wakati huo huo tunaelezwa kwamba Kabila Jr yuko fluent katika kuzungumza Kinyarwanda na mjomba wake ni Waziri wa Ulinzi wa sasa hivi nchini Rwanda one Kabarebe si hilo tu hata mamake yuko nchini Rwanda - je hii inatoa picha gani?

Mkuu Yericko hapo nataka kuonyesha kwa kifupi kwamba uimarishaji wa Himaya ya KITUTSI ulisha anza muda mrefu tu, wamekwisha tekeleza phases zao tatu za mwanzo kiulahini kabisa, kwa bahati mbaya Dunia haiwashtukii labda Mzee Robert Mgabe, Jacob Zuma, Sam Nijoma na Dos Santos siwezi kumsemea Rais wa hapa kwetu, lakini ma Rais wengine barani Africa wako kwenye usingizi wa pono hawaoni tishio la Watawala hawa barani Africa!

Mkuu Jericko, cha kujiuliza hapa ni je phase ya nne ambayo bila shaka hiko kwenye drawing board ya Military top Brass itahikumba nchi gani ya jirani - ninacho taka kusema ni kwamba tishio la jamaa hawa ni REAL sio imaginary, nikiona watu wanawaponda na kuwakejeri nashangaa sana.

Role model wa ABATUTSI(Tutsi) ni the so called Great Conqueror RWABUGIRI, huyo wanamchukulia kama Mungu wao wa hapa DUNIANI! mbinu zao za expansionism wanamu-emulate Rwabugiri to the letter. Watu wengi hawajuhi kwamba Watutsi sio wabantu per se, Watutsi wanazungumza lugha ya Kinyarwanda ambayo ni lugha ya kibantu lakini wenyewe asili yao walikuwa a Nilotic speaking population kutoka Horn of Africa na kasikazini, walijifunza kuzungumza lugha za kibantu baada ya kuhamia Great Lakes Area/Region.

Abatutsi (TUTSI) wako closer kigenitic na Wa Ethiopia, Wa Eritrea and would you believe it na "Wamasaai" sina hakika upande wa Wasomali (silika za Wasomali ni tofauti na Abatutsi - Somalis have nothing in common ki- genotype na zaidi ki-phenotype na WATUTSI).

Wanasayansi wanasema Watutsi na Wahutu ni wamoja genetically, sijuhi hii ilitokea kivipi labda kutokana na kuoleana! Haingii akilini kwamba binadamu ambao gene zao zinarandana wanazweza kuchukiana kwa kiwango cha KUTISHA.
 
Heshima yako mkuu Yericko, naona jamaa wengi wanao zungumza humu hawajawahi kupitia machapisho husika au kupata fulsa ya kuishi na Watutsi kwa karibu. Binafsi nimewahi kuishi na kusoma na Watutsi, vile vile niliwahi kuwa na Girlfried wa Kitutsi ambaye alikuwa anasoma na kuishi NAIROBI, nimejifunza mambo mengi over the years kuhusu hulka la kabila hili, hulka na imani zao hazina tofauti na Wayahudi na wanajiamini sana. Role model wao ni the so called Great Conqueror RWABUGIRI huyo wanamchukuliwa kama Mungu wao wa DUNIANI hata mbinu zao za expansionism wana-emulate Rwabugiri to the letter. Watu wengi hawajuhi kwamba Watutsi sio wabantu per se, wanazungumza lugha ya Kinyarwanda ambayo ni lugha ya kibantu lakini wenyewe asili yao walikuwa a Nilotic speaking population, walijifunza kuzungumza lugha za kibantu baada ya kuhamia Great Lakes Area/Region. Abatutsi (TUTSI) wako closer na Wa Ethiopia, Wa Eritrea and would you believe it na "Wamasaai" sina hakika upande wa Wasomali (silika za Wasomali ni tofauti na Abatutsi - Somalis have nothing in common ki- genotype na zaidi ki-phenotype na WATUTSI). Wanasayansi wanasema Watutsi na Wahutu ni wamoja genetically, sijuhi hii ilitokea kivipi labda kutokana na kuoleana! Haingii akilini kwamba binadamu ambao gene zao zinarandana wanazweza kuchukiana kwa kiwango cha KUTISHA.

Kwakweli tunahiji uwanja mpana zaidi kuwafunza wenzetu nasi kujifunza mengi toka kwao juu ya Rwanda, Watusi,Wahutu na Kongo kwa ujumla
 
Mkuu nchi inalindwa na emotions zinazotokana na utaifa.
Nothing less!!

Pengine hujapitia somo la historia za major conflicts, za WWII.
Huko Marekani, naamini ndiko aliko MMKJJ, Wajapani karibu wote walikuwa rounded up, kutokana na wasi wasi juu ya allegience yao kwa Taifa la Marekani.
Huko Uingereza ndo kabisa Mjerumani yeyote aliwekwa mtu kati, na alikuwa tagged toka asubuhi hadi asubuhi.

Nyie mnacheza na Nji hii, for political expediency!!

Msijitakie sifa za huko nje wakati nchi yenu inawahitaji.

Unavyotoa mfano wa vita kuu unamaana gani wakati hapa hatuzungumzii vita? Hiyo inaonyesha wale walitumia emotions zao zaidi ndo maana walipigana, au wewe haujaipata point yangu? Umeona jinsi the Soviet ilivyoporomoka bila hata kushika mtutu, ......acha bana! Watutsi kitugani bana, tunahitaji viongozi wazuri tu, waadilifu na wenye upendo wa dhati kwa watz wote bila kujali kitu chochote.

Hili ni tatizo sana kwa sasa in Tanzania kuliko hao watutsi wenu!
 
Vema sana mkuu kwa maelezo murua,

Vipi mkuu, uliwahi kupata machapisho ya kusimama na kuimarika himaya za Kitusi na Kihutu katika Bonde la Ufa sambamba na kingo za mto Nile?

Mkuu haya machapisho kuhusu kuimarika kwa himaya ya kitutsi na kihutu kth bonde la ufa siyafahamu, ila i know DNA studies. Unaweza kufuatilia DNA za wabantu in sub saharan region through wikipedia, itakupa muelekeo zaidi.
 
Back
Top Bottom