Swali Rahisi: Nyerere aliwashughulikiaje Waganda "Illegals" wakati wa "chokochoko" Za Idi Amin?

Swali Rahisi: Nyerere aliwashughulikiaje Waganda "Illegals" wakati wa "chokochoko" Za Idi Amin?

Heshima yako mkuu Yericko, naona jamaa wengi wanao zungumza humu hawajawahi kupitia machapisho husika au kupata fulsa ya kuishi na Watutsi kwa karibu. Binafsi nimewahi kuishi na kusoma na Watutsi, vile vile niliwahi kuwa na Girlfried wa Kitutsi ambaye alikuwa anasoma na kuishi NAIROBI, Tukija nimejifunza mambo mengi over the years kuhusu hulka la kabila hili, hulka na imani zao hazina tofauti na za Wayahudi na wanajiamini sana.

Tukija katika suala la ndoto za kutaka kuimarisha himaya ya KITUTSI - suala hilo ni la kweli kabisa si adithi za kutunga, huu ulikuwa ni mpango wao wa siku nyingi unao tekelezwa kwa umakini mkubwa through phases ntatoa mifano ya kuonyesha ukweli huo:

*Phase ya kwanza ilikuwa ni Uganda - M7 alishirikiana na Watutsi wakimbizi chini ya Kagame na Fred hao ndio walifanikisha kumuweka madarakani M7 kupitia mtutu wa bunduki kumbuka M7 ana damu ya Bahima ambao ni wale wale(Tutsi).

*Phase ya pili - M7 kawasaidia Watutsi kutumia mtutu wa bunduki kurudi Rwanda na walifanikiwa kumpindua Habyarimana now these same TUTSI are on driver's seat in Kigali - oh just hold on a second....

*Phase ya tatu: Kagame, M7 wakajitia kumsaidia Kabira Sr kuingia madarakani DRC kumbe agenda yao ya siri ni kumsimika Mtutsi mwenzao kwenye madaraka huko DRC - Kabila Sr aliuliwa kwenye mazingira ya kutatanisha aliye mrithi ajulikani vizuri vizuri origin yake wakati huo huo tunaelezwa kwamba Kabila Jr yuko fluent katika kuzungumza Kinyarwanda na mjomba wake ni Waziri wa Ulinzi wa sasa hivi nchini Rwanda one Kabarebe si hilo tu hata mamake yuko nchini Rwanda - je hii inatoa picha gani?

Mkuu Yericko hapo nataka kuonyesha kwa kifupi kwamba uimarishaji wa Himaya ya KITUTSI ulisha anza muda mrefu tu, wamekwisha tekeleza phases zao tatu za mwanzo kiulahini kabisa, kwa bahati mbaya Dunia haiwashtukii labda Mzee Robert Mgabe, Jacob Zuma, Sam Nijoma na Dos Santos siwezi kumsemea Rais wa hapa kwetu, lakini ma Rais wengine barani Africa wako kwenye usingizi wa pono hawaoni tishio la Watawala hawa barani Africa!

Mkuu Jericko, cha kujiuliza hapa ni je phase ya nne ambayo bila shaka hiko kwenye drawing board ya Military top Brass itahikumba nchi gani ya jirani - ninacho taka kusema ni kwamba tishio la jamaa hawa ni REAL sio imaginary, nikiona watu wanawaponda na kuwakejeri nashangaa sana.

Role model wa ABATUTSI(Tutsi) ni the so called Great Conqueror RWABUGIRI, huyo wanamchukulia kama Mungu wao wa hapa DUNIANI! mbinu zao za expansionism wanamu-emulate Rwabugiri to the letter. Watu wengi hawajuhi kwamba Watutsi sio wabantu per se, Watutsi wanazungumza lugha ya Kinyarwanda ambayo ni lugha ya kibantu lakini wenyewe asili yao walikuwa a Nilotic speaking population kutoka Horn of Africa na kasikazini, walijifunza kuzungumza lugha za kibantu baada ya kuhamia Great Lakes Area/Region.

Abatutsi (TUTSI) wako closer kigenitic na Wa Ethiopia, Wa Eritrea and would you believe it na "Wamasaai" sina hakika upande wa Wasomali (silika za Wasomali ni tofauti na Abatutsi - Somalis have nothing in common ki- genotype na zaidi ki-phenotype na WATUTSI).

Wanasayansi wanasema Watutsi na Wahutu ni wamoja genetically, sijuhi hii ilitokea kivipi labda kutokana na kuoleana! Haingii akilini kwamba binadamu ambao gene zao zinarandana wanazweza kuchukiana kwa kiwango cha KUTISHA.

Phase #4 , wasipokuwa makini itakula kwao!!
 
ni kweli binadamu wote ni sawa, ila lazima wafuate taratibu na sheria na taratibu zilizopo, we mwenyewe huwezi kwenda kwa mtu ukaingia tu, lazima upige hodi ukaribishwe uoneshwe wapi ukae, huo ndo utaratibu, angalizo agizo halijasema wanyarwanda haramu, limesema wahamiaji haramu.
 
Kwa hisani ya @Babukijana

Kisambira.

Ezra Nshimiyimana had spent the last 30 years in a place called Biharamuro in Tanzania. The 67-year-old Rwandan dedicated his life to livestock farming. But this is no more, after he was sent packing from East Africa’s largest nation following a clampdown on ‘illegal immigrants’.

“When you look at the way people are treated sometimes you wonder whether it’s being done by our fellow Africans, let alone East Africans. My neighbour with whom we have been sharing everything is the one who stormed my home at night with other locals, destroyed my house, took away my cattle and threatened to kill us if we remained in the area,” Nshimiyimana said.

He said he had all the required residential documents but was ordered out of the country, leaving more than 60 head of cattle, land and a farm.

Nshimiyimana was forced to sell off all the animals at Tsh60,000 to a friend in order to obtain transport back.

He said he originates from Gisagara District in Southern Province. For now, what clouds his mind is how to start a new life from scratch.

Nshimiyimana is one of the Rwandans and perceived Rwandans who have been thrown out of Tanzania’s Kagera region.

Since last week, more than 3,000 Rwandans have been received and are being sheltered in Kirehe District.

Tanzanian authorities said they are targeting those without ‘valid residential documents’ but some of those affected say they had all the necessary documents, claiming security agents confiscated the papers.

Kagera region is located in the northwestern corner of Tanzania. The region borders Uganda to the north and Rwanda and Burundi to the west. The Kagera is Tanzania’s 15th largest region and accounts for about 3.3 per cent of Tanzania’s total land area of 885,800 square kilometres.

How they ended up there

Like other neighbouring countries, Tanzania welcomed Rwandans fleeing massive killings from 1959 and during the 1994 Genocide against the Tutsi.- The refugees needed shelter running from the extremists who were hunting to exterminate them.

Although some repatriated home after the Genocide, others were forced by circumstances to stay in the host country. They were also not afraid since Tanzania apart from being a neighboring country it has a lot to share in common with Rwanda making the refugees feel at home.

It was not until recently when President Jakaya Kikwete visited Kagera that he ordered the eviction of what he called “illegal immigrants”.

Jane Mukandutiye, another returnee wept, not knowing the plight of her only son who had travelled to Mwanza in Tanzania.

“I called him, but his phone was off; I am now afraid they might kill him,” she said amid sobs.

The 53-year-old mother appealed to government to help her trace her son.

-She said before the expulsion, she pleaded with authorities for more days to look for her child, but in vain.

Fred Nsengiyumva, another victim, said he shifted to Karagwe from western Uganda while looking for pasture but he was chased away like an animal.

“We were driven out from our properties on account of our Rwandan nationality. My wife has escaped back to Uganda because they were threatening to rape her and my daughters,” Nsengiyumva said.

The cattle keeper, who had more than 200 head of cattle and a chunk of land he claims he bought from a Tanzanian national, said he was so frightened.

“What is happening there is like what we saw during Idi Amin (Ugandan leader, 1972-1979)’s regime when he gave few days to all Asians who were living in Uganda to leave the country. Sincerely, how can you give (an ultimatum of) only 14 days to people who have spent more than 50 years in a village?” Nsengiyumva said.

On August 4, 1972, Amin ordered the expulsion of Indians, giving them 90 days to leave Uganda. Amin claimed he had a dream in which God told him to expel Asians because they were ‘milking’ Uganda’s economy.

Nsengiyunva appealed to other regional countries and international community to intervene and stop Tanzania from harassing people.

More returnees

Jean Claude Rwahama, the director of refugees in the Ministry of Disaster Preparedness and Refugees Affairs, said more Rwandans were expected.

“On Saturday, we received more than 1,000 and more are crossing the borders. We are constructing a new camp to accommodate all those who are coming,” he said on phone from Rusumo border.

By press time, yesterday, the number had risen to 3,356 people.

-Some 2,000 head of cattle belonging to some returnees are being taken to a camp at Mahama Sector in Kirehe District.

Rwahama said government was ready to welcome every returnee and provide them with basic needs as they plan to have a permanent solution.

Article 13 of the EAC Common Market Protocol on the rights of residence and establishment says, “The partner states shall ensure non discrimination of the nationals of the other partner states based on their nationalities.

Source:newtimes
Nianzie hapo mwisho. Article hiyo ya EAC imeeleza ubaguzi kwa watu wanaoishi kihalali na siyo wahamiaji haramu. Kwahiyo kuinukuu inaonyesha jinsi gani Wanyarwanda wasioelewa maana ya EAC treaty.
Pili, hakuna makubaliano ya kuhamisha watu, mitaji na mali yaliyofikiwa katika EAC.
Kagame hajasema hilo jambo, tunachojua yeye alikuwa busy kuhamisha makao makuu ya EAC, Rwandese should blame their own stupid president apparently purported as smart guy! nay he is stupid.

Pili, angaliae hizo red, kuna mtu ana ng'iombe 200 na kipande cha ardhi. Anakiri kabisa kuwa yeye ni mhamiaji kwasababu alijua sisi ni EAC hakuna shida. Ikiwa Mtanzania aliyezaliwa Tanzania na kuhamia UK au US akiwa na miaka 59 haruhisiwi kumiliki ardhi, haki hii ya mhamiaji haramu anaipata wapi. Totally uninformed Rwandese.

Mwingine amekiri kuwa baada ya kushtukiwa akaomba hati za kuwa mkazi au raia. Yaani kwa miaka 59 hakuwahi kufikiria hivyo huku akitumia resource za nchi hii leo anataka kusamehewa kwasababu amekaa miaka 59. Hebu angalia hii.

Yupo anyedai kuwa jirani yake amechoma nyumba moto na kuchukua mali zake. Hii maana yake ni kuwa watu wa Kagera wameishi kwa dhiki na chuki lakini hawakuwa na la kufanya na sasa imepatikana nafasi wanaonyesha hisia zao.
Kama hali itaachwa ipo siku kutakuwa na mapambano kati ya wazawa na wahamiaji haramu na tutaelekea kuwa Goma.
Ndio maana tunasema upo uhalali wa kuwaondoa hawa kwasababu nyingi lakini muhimu ni wao kuwa wahamiaji haramu
.
 
Hakuna huruma kwa Wahamiaji Haramu nchini....waondoke tu.

Naandaa taarifa maalumu itakayoeleza ubaya na uzuri wa Wahamiaji Haramu wa Kinyarwanda. Nipo Murusagamba naenda Rusumo. Stay tuned
 
sio mwanakijiji ni mwanamishemishd, borntown anaejua vitu lakini anataka kuhamisha bongo za watu azipeleke marsi ambako maji yamepatikana juzi

bottom line, jiran mkorofo anaekaa uani kwako mzibie njia apite angani ful stop, Kagame ni JangalaAfria sio kama bib banda!
Id**s
 
Hakuna huruma kwa Wahamiaji Haramu nchini....waondoke tu.Naandaa taarifa maalumu itakayoeleza ubaya na uzuri wa Wahamiaji Haramu wa Kinyarwanda. Nipo Murusagamba naenda Rusumo. Stay tuned

Mkuu karibu sana, sisi hatuna tatizo na wahamiaji halali na tungependelea zaidi wahamiaji wenye mitaji ya kuwekeza nchini na kuleta ajila - lakini suala la Wanyarwanda naona liko a bit different - kwa nini wanahamia Mikoa ya mipakani kwa wingi wakati hakuna vita nchini mwao? Yaani inaonekana kana kwamba kuna ajenda maalumu ya kupenyeza Wanyarwanda na mifugo yao kwa wingi nchini mwetu, je hili ni jambo la kawaida kweli? - hapa wengi wao wamekili kwamba hawana kibali cha kuishi nchini lakini wanakuwa na ujasiri wa kuteka aridhi na kuhanza kulima na kujenga nyumba za kudumu with impunity! Wakiulizwa nyie vipi? Wanasema oh you know Rwandese have a lot in common na Wahangaza, Wahaya, Wanyambo na Waha nakubaliana nao kwa hoja hiyo lakini hilo haliwapi a blank cheque ya kuvunja sheria na kufanya watakalo mbona awahamii ANKOLE ambako nako tamaduni zao zina fanana na Wanyarwanda, as far as they are concern wanaona Tanzania kama ni shamba la bibi i.e hakuna anaye wafatilia kwa karibu kujua kulikoni?

Mimi sitachoka kutahadhalisha TAIFA letu kwamba uhamiaji wa kasi kubwa wa Wanyarwanda na mifugo yao nchini mwetu (in peace time) una an hidden Ajenda na wanakuwa encouraged na Serikali yao kwa lengo maalum, wengi wao wanakuja na pesa nyingi za kuonga Watanzania wasaliti wasio kuwa na uzalendo, wanaoga ili wapewa aridhi kubwa na vibali fake/halali, kitu cha kujiuliza hapa ni: Hivi Mnyarwanda masikini hela chungu nzima za kuonga wanazipata wapi kama sio kupewa na Serikali yao kwa lengo maalum.

Watu wanacho sahau ni kwamba hawa jamaa wanao julikana kwa jina la Banyamulenge ni Wanyarwanda walio hamia DRC mkoa wa KIVU mwaka 1924 baada ya vurugu nchini mwao, baadae mwaka 1958 yakatokea machafuko/mapinduzi tena nchini Rwanda yaliyo undoa madarakani utawala wa Kitutsi, watutsi wengi walikimbilia Kivu DRC na kungana na wenzao(Wanyamlenge) wengine walikimbilia Uganda na Mikoa ya Kagera/Kigoma. Wanyarwanda wa KIVU walipo zaliana vya kutosha na kuona idadi yao imekwisha kuwa substantial (the so called magic number) ndio wakanzisha vurugu za kutaka kujitenga wakitoa visingizio mbali mbali as if DRC haina makabila mengine zaidi ya Watusi, sasa zengwe hili ndilo linapikwa nchini mwetu na Viongozi wao, kwa bahati mbaya ni watu wachache wanao liona hilo, tukae tukijua MKOA wa Kagera utajikuta kwenye matatizo yanayo fanana na ya Mkoa wa KIVU (DRC) siku si nyingi kuanzia sasa, wanacho subiri ni idadi yao ikifikie (Magic Number) alafu watugehuzie KIBAO.
 
meningitis,

..lakini hutuelezi ni utaratibu gani ulipaswa kutumika kushughulika na wahamiaji haramu.

..kwa upande wangu naamini wahamiaji haramu wanapaswa kuondolewa hata kama hawahatarishi hali ya usalama.

..kama umeisoma hotuba ya Kikwete amezungumzia wahamiaji haramu, wahalifu kwa maana ya majambazi, na wale waliovamia hifadhi zetu.

..kama Mtanzania unatakiwa utoe ushauri wa jinsi ya kurudisha hali ya amani ktk mkoa wa Kagera na Tanzania nzima. Usikae tu ukisubiri kulaumu, au ukiombea serikali yako isifanikiwe.

NB:

..Tueleze ni utaratibu gani ulipaswa kutumika ktk shughulika na TATIZO SUGU la wahamiaji haramu.


Hivi mkuu naomba nikuulize swali moja tu. Do you sincerely believe kwamba majambazi ndio yameitikia wito huo wa Kikwete yanarudi rwanda kwa hiari? Yameamua kuacha ujambazi!!!!Do you sincerely believe that?
 
Hivi mkuu naomba nikuulize swali moja tu. Do you sincerely believe kwamba majambazi ndio yameitikia wito huo wa Kikwete yanarudi rwanda kwa hiari? Yameamua kuacha ujambazi!!!!Do you sincerely believe that?
murutongore,

..I am not ruling that out mpaka tutakapopata taarifa za usalama toka mkoa wa Kagera and surrounding stating otherwise.

..Tanzania tumewahi kusumbuliwa sana na majambazi toka Somalia na Kenya, sasa why do u find it inconceivable kwamba kuna maharamia toka Rwanda, Congo, au hata Uganda?

..labda na mimi nikuulize. Why do u insist watu hawa waendelee kuishi huku kwetu wakati unaelewa kabisa kwamba wanafanya hivyo kinyume na sheria?
 
murutongore,

..I am not ruling that out mpaka tutakapopata taarifa za usalama toka mkoa wa Kagera and surrounding stating otherwise.

..Tanzania tumewahi kusumbuliwa sana na majambazi toka Somalia na Kenya, sasa why do u find it inconceivable kwamba kuna maharamia toka Rwanda, Congo, au hata Uganda?

..labda na mimi nikuulize. Why do u insist watu hawa waendelee kuishi huku kwetu wakati unaelewa kabisa kwamba wanafanya hivyo kinyume na sheria?

Jokakuu, i am not supporting illegal immigrant, wahamiaji haramu, what i'm saying is that kama kuna majambazi i'm 100% sure kuwa bado wako maporini wamejificha.

Pili, nadhani umesoma kwenye vyombo vya habari kuhusu manyanyaso wanayoyapata hao wananchi. Hivi nikuulize, lets say wewe una mke wa kinyarwanda, mna miaka 40 ya ndoa hata kama tuseme mke wako kwa kukosa elimu ya uraia, na ni mkulima ambae hajasoma hajui chochote. Yeye kazaliwa tanzania/tanganyika amekuwa akijua yeye ni mtanzania. Leo hii waje watu wa uhamiaji wanfungishe virago akuache wewe hapo bila kujua cha kufanya. In developed countries, of which we are not, watakuja watu wa uhamiaji watasikiliza kesi yako, watakupa fursa ya kuhalalisha uraia wako na kwa hiari yako kama hutaki uraia wa nchi husika watakupa muda tuseme miezi sita uuze mali zako halafu urudi huko wazazi wako walikotoka. Is this being done here? Don't you think that they(the government) are violating basic human right?

Kwa sababu kumekuwa na kutokuelewana baina ya Kagame na Kikwete? Na kutokuelewana ni kwenye ideology, its not a personal thing on the part of Kagame. Nothing personal kabisa.
 
Jokakuu, i am not supporting illegal immigrant, wahamiaji haramu, what i'm saying is that kama kuna majambazi i'm 100% sure kuwa bado wako maporini wamejificha.

Pili, nadhani umesoma kwenye vyombo vya habari kuhusu manyanyaso wanayoyapata hao wananchi. Hivi nikuulize, lets say wewe una mke wa kinyarwanda, mna miaka 40 ya ndoa hata kama tuseme mke wako kwa kukosa elimu ya uraia, na ni mkulima ambae hajasoma hajui chochote. Yeye kazaliwa tanzania/tanganyika amekuwa akijua yeye ni mtanzania. Leo hii waje watu wa uhamiaji wanfungishe virago akuache wewe hapo bila kujua cha kufanya. In developed countries, of which we are not, watakuja watu wa uhamiaji watasikiliza kesi yako, watakupa fursa ya kuhalalisha uraia wako na kwa hiari yako kama hutaki uraia wa nchi husika watakupa muda tuseme miezi sita uuze mali zako halafu urudi huko wazazi wako walikotoka. Is this being done here? Don't you think that they(the government) are violating basic human right?

Kwa sababu kumekuwa na kutokuelewana baina ya Kagame na Kikwete? Na kutokuelewana ni kwenye ideology, its not a personal thing on the part of Kagame. Nothing personal kabisa.
murutongore,

..hivi si unajua kwamba ignorance of the law, is not an excuse to break the law??

..scenario uliyoitoa inasikitisha, lakini ukweli unabaki palepale kwamba cases like the one u mentioned are isolated, na sheria zetu za uhamiaji lazima zifuatwe.

..pia sitegemei zoezi kama hili liendeshwe perfectly bila kuwepo kwa matatizo ya hapa na pale.

..Tanzania tumekaa na wakimbizi wa Rwanda kwa miaka 40++. Hivi Rwanda hamuoni kwamba hilo ni jambo la aibu kwenu? Why dont u take care of our citizens badala yake mnalazimisha Tanzania ibebe mzigo wenu??

..Mwisho, hili zoezi limewahi kuendeshwa hata na Raisi Mkapa, je unataka kusema naye alikuwa na ideological problems with Kagame??

..Sasa kama ni ideological problem, basi itakuwa ni Kagame ndiye mwenye tatizo. In my opinion Kagame ana ideology kama ile ya Habyarimana na interahamwe, ambao walikuwa hawataki Wanyarwanda waliokuwa Uganda warudi nyumbani.
 
Swali hili linahitaji jibu; jibu lake linaweza kuwa rahisi au gumu. Lakini ni jibu linalotegemea ujuzi wa historia. Ni jibu linalojaribu kuangalia kama uamuzi wa serikali ya Tanzania kutekeleza sheria kwa upendeleo (selective justice) ni uamuzi sahihi au ni miongoni mwa maamuzi mabovu kabisa yaliyowahi kuchukuliwa na watawala wetu. Na pia ni swali ambalo linauliza kama kutoa adhabu ya jumla (collective punishment) kwa kosa la Kagame ni jambo sahihi. Lakini pia ni lazima tujiulize baada ya muda uliotolewa kwa wahamiaji wageni kuondoka nchini wale waliobakia wakianza kutendewa vibaya na wenyeji serikali itawachukulia hatua hawa wenyeji au itawaachia kwa sababu wale ni wageni wahamiaji?

Quran na Biblia vinafundisha (na vinakubaliana kwa kiasi kikubwa) jinsi ya kuwatendea wageni wahamiaji katika nchi; na haihusishi kuwafukuza kwa nguvu! Katika Biblia kuna uhamiaji wa aina nyingi ambao wote una mafunzo kwa waamini; kuna uhamiaji wa Ibrahim (Abram) toka Uru wa Wakaldoyo kwenda nchi ya ahadi; kuna uhamiaji wa Yusuph kwenda Misra (baada ya kuuzwa na nduguze) na uhamiaji wa kundi kubwa la Waisraeli Misri; kuna uhamiaji (katika Agano Jipya) wa Yesu Masihi kwenda Misri pia baada ya kutafutwa na Herodi auawe akiwa kichanga.

Katika Uislamu bila ya shaka somo kubwa kabisa la uhamaji (hijra) ni ule wa Mtume Mohammed kutoka Mecca kwenda Madina. Ni uhamiaji mkubwa na muhimu sana katika Uislamu kiasi kwamba mwaka wa kwanza katika Kalenda ya Uislamu unaanzia katika tukio hilo (Al Hijra) la mwaka 622 (AD). Ujio wa Mohammed Medina ulitenganisha matendo aliyotendewa na njama alizotendewa na watu wa Mecca hadi kumlazimisha yeye na waamini wa mwanzo kuondoka hapo kwenda Medina katika hali ya kificho na hatari tupu!

Dini zetu kubwa hizi mbili (hata ya Kiyahudi) zinatufundisha kuwatendea wageni vizuri; haijalishi kama walihamia kihalali au la. Tuweke utaratibu mzuri wa kuwashughulikia na kuwahalalisha au hata kuwarudisha makwao katika heshima inayotokana na utu wao. Tukumbuke kuwa Katiba yetu inasema (Ibara 12 hadi 13) kuwa:



Utaona kuwa Ibara hizo hazisemi "kila Mtanzania" au "Kila raia wa Tanzania" na wala hazisemi "Kila aishiye TAnzania"! Zinasema kuwa "Kila mtu" anazaliwa akiwa huru na ni wote ni sawa! Yaani, Mhaya wa Kagera na Mkurya wa Tarime wote ni sawa! Kwamba inasema "Kila mtu anastahili heshima na haki ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake"; yaani Mndengereko na Mzaramo wana haki sawa kabisa ya kuthaminiwa utu wao kama ilivyo kwa Mnyarwanda na Mhabeshi! Yaani, hata kama wamevunja sheria ya uhamiaji - na inawezekana wengi wamefanya hivyo - hilo peke yake haliwafanyi wawe binadamu nusu au siyo watu kama wengine na hivyo hawalindwi na Katiba yetu! Katiba yetu inamlinda kila mtu aliyeko Tanzania!

Ndio maana hili swali linaendelea kusimama, Nyerere alishughulikiaje wahamiaji haramu kutoka Uganda wakati wa chokochoko? Kuna mtu anakumbuka au tuwasaidie hawa wa kizazi kipya somo la historia kidogo maana inaonekana watu wasiojua historia wanaenda kurudia makosa yake!

Tunaweza vipi kukubali serikali ichukue hatua za sheria kwa mfumo wa kibaguzi na udhalilishaji wa utu wa binadamu na bado tunajiita Watanzania?

Mungu atusaidia tusifurahie vitendo kama hivi kwa jina la 'uzalendo'!


MMM
mzee mwanakijiji hapo kidogo busara zimekupungua......katiba ni nyaraka ya kisheria ungeomba ushauri wa kisheria katika kuitafsiri kwake kenye ibara hizo ndugu yangu....katiba ya Tanzania inapotaja mtu iko specifiki kwamba ni mtanzania na si vile unavyomaanisha...kwa tafsiri yako ni wazi wageni atapiga kura ktk uchaguzi mkuu miaka ijayo ikiwa ote tutakuwa na tafsiri hiyo
 
Jokakuu, i am not supporting illegal immigrant, wahamiaji haramu, what i'm saying is that kama kuna majambazi i'm 100% sure kuwa bado wako maporini wamejificha.

Pili, nadhani umesoma kwenye vyombo vya habari kuhusu manyanyaso wanayoyapata hao wananchi.
Hivi nikuulize, lets say wewe una mke wa kinyarwanda, mna miaka 40 ya ndoa hata kama tuseme mke wako kwa kukosa elimu ya uraia, na ni mkulima ambae hajasoma hajui chochote. Yeye kazaliwa tanzania/tanganyika amekuwa akijua yeye ni mtanzania. Leo hii waje watu wa uhamiaji wanfungishe virago akuache wewe hapo bila kujua cha kufanya. In developed countries, of which we are not, watakuja watu wa uhamiaji watasikiliza kesi yako, watakupa fursa ya kuhalalisha uraia wako na kwa hiari yako kama hutaki uraia wa nchi husika watakupa muda tuseme miezi sita uuze mali zako halafu urudi huko wazazi wako walikotoka. Is this being done here? Don't you think that they(the government) are violating basic human right?

Kwa sababu kumekuwa na kutokuelewana baina ya Kagame na Kikwete? Na kutokuelewana ni kwenye ideology, its not a personal thing on the part of Kagame. Nothing personal kabisa.
Muongo mkubwa saama wewe.Majambazi yapo kila mahali na kila siku, lakini kwa kanda ya ziwa Wanyarwanda wenye silaha nzito kama tunavyoona M23 waliingia na kuanza kuteka mali na kutisha watu kwa kupora ardhi kuua raia na kufanya Watanzania waishi ndani ya nchi yao kama wakimbizi badala ya wakimbizi aliomkimbia Kagame.

Pili, unaposema wanyarwanda wapewe fursa ya kesi huo ni ubabishaji na propaganda za kitoto sana.
Walipewa nafasi za ukimbizi wakakataa, wakapewa nafasi za kuishi sehemu nyingine Tanzania wakakataa wao wanataka Kagera tu kwa ajili ya empire ya kufikirika

Tatu, hakuna nchi duniani inayotoa uraia kwa hisani ya watoto au mke. Uraia ni suala la kisheria na linamgusa kila mmoja kivyake. Hawa wanyarwanda waliokuja miaka 40 iliyopita walikazani kununu mashamba na kuoa bila kuwa uraia gharama za upumvuva wao haziwezi kuwa excuse ya sheria. Hakuna nafasi ya kutumia pesa za umma kuendesha kesi za wapumbavu waisotaka kuishi kwa taratinbu na amani.

Nne, Hakuna taifa linalotoa nafasi ya kuuza mali. Kwanza kitendo cha kuwapa siku 14 za kuondoka ni hisani kubwa sana. Hawa walipaswa kukamatwa kupakiwa katika malori na kutupwa mpakani ikiwa ni huruma. Vinginevyo wameishi kiharamu nchini na sheria ilikuwa ni kuwaadhibu wakimaliza vifungo wanarudi na nguo tu.

Huwezi kutoa miezi minne kwa mtu aliyeua eti auze mali zake kama nyumba. Hiyo nyu,mba alijenga kwa kibali gani na nani alimpa haki miliki ya radhi. Hakuna sababu za kutoa nafasi kwa watu waliosababisha mateso kama hawa.

Tanzania imekuwa na huruma sana, hawa walipaswa kuongozwa kwenda Rusumo kwa mijeledi, mikanda ya jeshi na polisi. Ni wahalifu kama mhalifu mwingine na hawahitaji msamaha.

Hakuna Mtanzania anyenyanyasa Mnyarwanda, Mnyarwanda anaynaynyasawa na Kagame. Si tunasikia Rwanda imeendelea sasa nani anamnyanyasa mnyarwanda kwa kumwambi arudi kwao.

Hili la uhamiaji limewaumiza sana Rwanda, lakini limeniumuiza sana mimi Mtanzania kwasababu nilipenda wafikishwe mbele ya sheria wale vifungo na wakitoka hapo wapelekwe rusumo kwa miojeledi.

Wameua sana ndugu zetu eti kuna mpuuzi anataka wapewe nafasi za kuuza mali zilizopatikana kwa gharama za damu za Watanzania. huwezi kuua halafu ukahalialisha uuaji huo kwa kutumia nyumba!

Msako bado unaendelea, anayeishi knyume cha sheria pengine anaweza asipatae hata fursa waliyopata weznake kuvuka mpaka.

 
Muongo mkubwa saama wewe.Majambazi yapo kila mahali na kila siku, lakini kwa kanda ya ziwa Wanyarwanda wenye silaha nzito kama tunavyoona M23 waliingia na kuanza kuteka mali na kutisha watu kwa kupora ardhi kuua raia na kufanya Watanzania waishi ndani ya nchi yao kama wakimbizi badala ya wakimbizi aliomkimbia Kagame.

Pili, unaposema wanyarwanda wapewe fursa ya kesi huo ni ubabishaji na propaganda za kitoto sana.
Walipewa nafasi za ukimbizi wakakataa, wakapewa nafasi za kuishi sehemu nyingine Tanzania wakakataa wao wanataka Kagera tu kwa ajili ya empire ya kufikirika

Tatu, hakuna nchi duniani inayotoa uraia kwa hisani ya watoto au mke. Uraia ni suala la kisheria na linamgusa kila mmoja kivyake. Hawa wanyarwanda waliokuja miaka 40 iliyopita walikazani kununu mashamba na kuoa bila kuwa uraia gharama za upumvuva wao haziwezi kuwa excuse ya sheria. Hakuna nafasi ya kutumia pesa za umma kuendesha kesi za wapumbavu waisotaka kuishi kwa taratinbu na amani.

Nne, Hakuna taifa linalotoa nafasi ya kuuza mali. Kwanza kitendo cha kuwapa siku 14 za kuondoka ni hisani kubwa sana. Hawa walipaswa kukamatwa kupakiwa katika malori na kutupwa mpakani ikiwa ni huruma. Vinginevyo wameishi kiharamu nchini na sheria ilikuwa ni kuwaadhibu wakimaliza vifungo wanarudi na nguo tu.

Huwezi kutoa miezi minne kwa mtu aliyeua eti auze mali zake kama nyumba. Hiyo nyu,mba alijenga kwa kibali gani na nani alimpa haki miliki ya radhi. Hakuna sababu za kutoa nafasi kwa watu waliosababisha mateso kama hawa.

Tanzania imekuwa na huruma sana, hawa walipaswa kuongozwa kwenda Rusumo kwa mijeledi, mikanda ya jeshi na polisi. Ni wahalifu kama mhalifu mwingine na hawahitaji msamaha.

Hakuna Mtanzania anyenyanyasa Mnyarwanda, Mnyarwanda anaynaynyasawa na Kagame. Si tunasikia Rwanda imeendelea sasa nani anamnyanyasa mnyarwanda kwa kumwambi arudi kwao.

Hili la uhamiaji limewaumiza sana Rwanda, lakini limeniumuiza sana mimi Mtanzania kwasababu nilipenda wafikishwe mbele ya sheria wale vifungo na wakitoka hapo wapelekwe rusumo kwa miojeledi.

Wameua sana ndugu zetu eti kuna mpuuzi anataka wapewe nafasi za kuuza mali zilizopatikana kwa gharama za damu za Watanzania. huwezi kuua halafu ukahalialisha uuaji huo kwa kutumia nyumba!

Msako bado unaendelea, anayeishi knyume cha sheria pengine anaweza asipatae hata fursa waliyopata weznake kuvuka mpaka.

mkuu nikuulize tena,hivi sheria za uhamiaji ni dhidi ya wanyarwanda pekee au?usipromoshe mistari mirefu na kuficha uovu!are we dealing with wanyarwanda or illigeal immagrants?
 
mkuu nikuulize tena,hivi sheria za uhamiaji ni dhidi ya wanyarwanda pekee au?usipromoshe mistari mirefu na kuficha uovu!are we dealing with wanyarwanda or illigeal immagrants?
Tuna deal na immigrants.

Zoezi zima lililenga kuondoa wahamiaji haramu. Wameondolewa wa Burundi, Uganda, Zaire.
Katika hao asilimia zaidi ya 90 ni kutoka Rwanda.

Katika mataifa yote hakuna anayelalamika kuhusu wahamiaji haramu. In fact Uganda wamekataa Wanyarwanda.

Kinachonisukuma kusema ni Wanyarwanda ni kutokana na idadi yao waliopo hapa JF ambao wamekuwa wanarusha tuhuma kwa Tanzania kana kwamba ni tukio la uvunjaji wa haki za binadamu.

Ni kwa msingi huo utaona nimewajibu Wanyarwanda kwasababu wao ndio wanaonekana kulalamika pengine kwa kujua kuwa sehemu kubwa ya wahamiaji ni ndugu zao.

Tumewauliza ni haki gani za bindamu zimekiukwa kwa kuondoa wahamamiaji haramu, hakuna anayetoa jibu.

Utetezi wao ni kuwa wameoa na wana watoto. Ndio maana tunawauliza ni sheria za nchi gani zinazotoa uraia kwa kuangalia ndoa na watoto na wala si sheria?

Utetezi mwingine wa Wanyarwanda ni kuhusu kuondolewa na kuacha mali zao.
Tumewauliza hivi wakati wanakuja ni mahali gani wali declare mali zao. Hawana jibu.

Sasa wamekuja na uetetezi kuwa wahamiaji haramu walipaswa wasikilizwe katika mahakama.
Kwamba wahamiaji 21,000 waundiwe mahakama maalumu kwa gharama za Tanzania. Sijui ni taifa gani linalofanya upuuzi wa aina hiyo.

Mhamiaji haramu ni mhalifu wa sheria. Kitendo cha Tanzania kuwataka warudi kilikuwa cha huruma.
Hawa walipaswa washatakiwe kwasababu kuingia kwao kwa njia haramu ni tatizo la kiusalama, kijamii n.k.

Na kibaya zaidi hawa wapiga propaganda wa Rwanda wameligeuza suala hili kuwa la kufukuzwa kwa Watutsi wakati ambapo wapo Warundi, Wakongo na Waganda. Hii ni ''smear campaign;; kwa Tanzania ndio maana tunawapa majibu.

Labda na wewe utusaidie kuwa Tanzania ilikiuka sheria gani za kimataifa kuwarudisha wahamiaji haramu? Na utaratibu gani mzuri ambao unadhani ungetumika zaidi ya uliotumika ili kuhakikisha Rwanda wanaridhika?

Tusaidiane kuelimishana.
 
View attachment 106779

Haya rushasha na mukora1898...hii ndio tanzania mnayojivunia? subirini very soon mtakuwa kama wanaigeria halafu utakuja huku kutuomba passport ya kusafiria.

..if that is ur view about Tanzania and her ppl, kwanini hamuelemishi hawa ndugu zenu wasije huku?

..kila siku mnatuambia Rwanda ni Singapore ya Africa, sasa kwanini hambaki hukohuko mnakuja kutafuta nini Tanzania?
 
Swali hili linahitaji jibu; jibu lake linaweza kuwa rahisi au gumu. Lakini ni jibu linalotegemea ujuzi wa historia. Ni jibu linalojaribu kuangalia kama uamuzi wa serikali ya Tanzania kutekeleza sheria kwa upendeleo (selective justice) ni uamuzi sahihi au ni miongoni mwa maamuzi mabovu kabisa yaliyowahi kuchukuliwa na watawala wetu. Na pia ni swali ambalo linauliza kama kutoa adhabu ya jumla (collective punishment) kwa kosa la Kagame ni jambo sahihi. Lakini pia ni lazima tujiulize baada ya muda uliotolewa kwa wahamiaji wageni kuondoka nchini wale waliobakia wakianza kutendewa vibaya na wenyeji serikali itawachukulia hatua hawa wenyeji au itawaachia kwa sababu wale ni wageni wahamiaji?

Quran na Biblia vinafundisha (na vinakubaliana kwa kiasi kikubwa) jinsi ya kuwatendea wageni wahamiaji katika nchi; na haihusishi kuwafukuza kwa nguvu! Katika Biblia kuna uhamiaji wa aina nyingi ambao wote una mafunzo kwa waamini; kuna uhamiaji wa Ibrahim (Abram) toka Uru wa Wakaldoyo kwenda nchi ya ahadi; kuna uhamiaji wa Yusuph kwenda Misra (baada ya kuuzwa na nduguze) na uhamiaji wa kundi kubwa la Waisraeli Misri; kuna uhamiaji (katika Agano Jipya) wa Yesu Masihi kwenda Misri pia baada ya kutafutwa na Herodi auawe akiwa kichanga.

Katika Uislamu bila ya shaka somo kubwa kabisa la uhamaji (hijra) ni ule wa Mtume Mohammed kutoka Mecca kwenda Madina. Ni uhamiaji mkubwa na muhimu sana katika Uislamu kiasi kwamba mwaka wa kwanza katika Kalenda ya Uislamu unaanzia katika tukio hilo (Al Hijra) la mwaka 622 (AD). Ujio wa Mohammed Medina ulitenganisha matendo aliyotendewa na njama alizotendewa na watu wa Mecca hadi kumlazimisha yeye na waamini wa mwanzo kuondoka hapo kwenda Medina katika hali ya kificho na hatari tupu!

Dini zetu kubwa hizi mbili (hata ya Kiyahudi) zinatufundisha kuwatendea wageni vizuri; haijalishi kama walihamia kihalali au la. Tuweke utaratibu mzuri wa kuwashughulikia na kuwahalalisha au hata kuwarudisha makwao katika heshima inayotokana na utu wao. Tukumbuke kuwa Katiba yetu inasema (Ibara 12 hadi 13) kuwa:



Utaona kuwa Ibara hizo hazisemi "kila Mtanzania" au "Kila raia wa Tanzania" na wala hazisemi "Kila aishiye TAnzania"! Zinasema kuwa "Kila mtu" anazaliwa akiwa huru na ni wote ni sawa! Yaani, Mhaya wa Kagera na Mkurya wa Tarime wote ni sawa! Kwamba inasema "Kila mtu anastahili heshima na haki ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake"; yaani Mndengereko na Mzaramo wana haki sawa kabisa ya kuthaminiwa utu wao kama ilivyo kwa Mnyarwanda na Mhabeshi! Yaani, hata kama wamevunja sheria ya uhamiaji - na inawezekana wengi wamefanya hivyo - hilo peke yake haliwafanyi wawe binadamu nusu au siyo watu kama wengine na hivyo hawalindwi na Katiba yetu! Katiba yetu inamlinda kila mtu aliyeko Tanzania!

Ndio maana hili swali linaendelea kusimama, Nyerere alishughulikiaje wahamiaji haramu kutoka Uganda wakati wa chokochoko? Kuna mtu anakumbuka au tuwasaidie hawa wa kizazi kipya somo la historia kidogo maana inaonekana watu wasiojua historia wanaenda kurudia makosa yake!

Tunaweza vipi kukubali serikali ichukue hatua za sheria kwa mfumo wa kibaguzi na udhalilishaji wa utu wa binadamu na bado tunajiita Watanzania?

Mungu atusaidia tusifurahie vitendo kama hivi kwa jina la 'uzalendo'!


MMM
Ndugu yangu TZ haikatai wageni inawahitaji sana,lakini wale wanaofuata utaratibu wa nchi.Tanzania haina ugomvi na nchi ya Rwanda,tamko lililotolewa na Mh rais lilihusu wahamiaji haramu wote walioko TZ,hata uondoshwaji wa wahamiaji haramu wanaokamatwa huwa unafuata sheria za nchi hasa sheria ya uhamiaji Na 7 ya 1995,ambayo haina kipengele chochote kinacho ruhusu dhuluma,mateso,manyanyaso nk kwa wahamiaji haramu.Kama kuna mtumishi wa serikali ananyanyasa wahamiaji haramu anafanya hivyo kama mtu binafsi hajatumwa na serikali.NB Zoezi kubwa la kutoa uraia lililowahi kufanyika duniani kwa mara moja ni lile la serikali ya TZ kutoa uraia wa TZ(naturalization) kwa raia zaidi ya laki moja na nusu wa Burundi waliokuwa kwenye makambi ktk mikoa ya Rukwa na Tabora.
 
Swali hili linahitaji jibu; jibu lake linaweza kuwa rahisi au gumu. Lakini ni jibu linalotegemea ujuzi wa historia. Ni jibu linalojaribu kuangalia kama uamuzi wa serikali ya Tanzania kutekeleza sheria kwa upendeleo (selective justice) ni uamuzi sahihi au ni miongoni mwa maamuzi mabovu kabisa yaliyowahi kuchukuliwa na watawala wetu. Na pia ni swali ambalo linauliza kama kutoa adhabu ya jumla (collective punishment) kwa kosa la Kagame ni jambo sahihi. Lakini pia ni lazima tujiulize baada ya muda uliotolewa kwa wahamiaji wageni kuondoka nchini wale waliobakia wakianza kutendewa vibaya na wenyeji serikali itawachukulia hatua hawa wenyeji au itawaachia kwa sababu wale ni wageni wahamiaji?

Quran na Biblia vinafundisha (na vinakubaliana kwa kiasi kikubwa) jinsi ya kuwatendea wageni wahamiaji katika nchi; na haihusishi kuwafukuza kwa nguvu! Katika Biblia kuna uhamiaji wa aina nyingi ambao wote una mafunzo kwa waamini; kuna uhamiaji wa Ibrahim (Abram) toka Uru wa Wakaldoyo kwenda nchi ya ahadi; kuna uhamiaji wa Yusuph kwenda Misra (baada ya kuuzwa na nduguze) na uhamiaji wa kundi kubwa la Waisraeli Misri; kuna uhamiaji (katika Agano Jipya) wa Yesu Masihi kwenda Misri pia baada ya kutafutwa na Herodi auawe akiwa kichanga.

Katika Uislamu bila ya shaka somo kubwa kabisa la uhamaji (hijra) ni ule wa Mtume Mohammed kutoka Mecca kwenda Madina. Ni uhamiaji mkubwa na muhimu sana katika Uislamu kiasi kwamba mwaka wa kwanza katika Kalenda ya Uislamu unaanzia katika tukio hilo (Al Hijra) la mwaka 622 (AD). Ujio wa Mohammed Medina ulitenganisha matendo aliyotendewa na njama alizotendewa na watu wa Mecca hadi kumlazimisha yeye na waamini wa mwanzo kuondoka hapo kwenda Medina katika hali ya kificho na hatari tupu!

Dini zetu kubwa hizi mbili (hata ya Kiyahudi) zinatufundisha kuwatendea wageni vizuri; haijalishi kama walihamia kihalali au la. Tuweke utaratibu mzuri wa kuwashughulikia na kuwahalalisha au hata kuwarudisha makwao katika heshima inayotokana na utu wao. Tukumbuke kuwa Katiba yetu inasema (Ibara 12 hadi 13) kuwa:



Utaona kuwa Ibara hizo hazisemi "kila Mtanzania" au "Kila raia wa Tanzania" na wala hazisemi "Kila aishiye TAnzania"! Zinasema kuwa "Kila mtu" anazaliwa akiwa huru na ni wote ni sawa! Yaani, Mhaya wa Kagera na Mkurya wa Tarime wote ni sawa! Kwamba inasema "Kila mtu anastahili heshima na haki ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake"; yaani Mndengereko na Mzaramo wana haki sawa kabisa ya kuthaminiwa utu wao kama ilivyo kwa Mnyarwanda na Mhabeshi! Yaani, hata kama wamevunja sheria ya uhamiaji - na inawezekana wengi wamefanya hivyo - hilo peke yake haliwafanyi wawe binadamu nusu au siyo watu kama wengine na hivyo hawalindwi na Katiba yetu! Katiba yetu inamlinda kila mtu aliyeko Tanzania!

Ndio maana hili swali linaendelea kusimama, Nyerere alishughulikiaje wahamiaji haramu kutoka Uganda wakati wa chokochoko? Kuna mtu anakumbuka au tuwasaidie hawa wa kizazi kipya somo la historia kidogo maana inaonekana watu wasiojua historia wanaenda kurudia makosa yake!

Tunaweza vipi kukubali serikali ichukue hatua za sheria kwa mfumo wa kibaguzi na udhalilishaji wa utu wa binadamu na bado tunajiita Watanzania?

Mungu atusaidia tusifurahie vitendo kama hivi kwa jina la 'uzalendo'!


MMM
Ndugu yangu TZ haikatai wageni inawahitaji sana,lakini wale wanaofuata utaratibu wa nchi.Tanzania haina ugomvi na nchi ya Rwanda,tamko lililotolewa na Mh rais lilihusu wahamiaji haramu wote walioko TZ,hata uondoshwaji wa wahamiaji haramu wanaokamatwa huwa unafuata sheria za nchi hasa sheria ya uhamiaji Na 7 ya 1995,ambayo haina kipengele chochote kinacho ruhusu dhuluma,mateso,manyanyaso nk kwa wahamiaji haramu.Kama kuna mtumishi wa serikali ananyanyasa wahamiaji haramu anafanya hivyo kama mtu binafsi hajatumwa na serikali.NB Zoezi kubwa la kutoa uraia lililowahi kufanyika duniani kwa mara moja ni lile la serikali ya TZ kutoa uraia wa TZ(naturalization) kwa raia zaidi ya laki moja na nusu wa Burundi waliokuwa kwenye makambi ktk mikoa ya Rukwa na Tabora.
 
Umeshindwa kuelezea suala hili chronologically? ... au unataka kuupindisha ukweli na kuhusisha ugomvi wa Kagame na JK kama ndiyo chanzo.

Malalamiko yalianza muda mrefu kutoka kwa wenyeji. Kumyanyasa na kumwibia mali binadamu yeyote ni kosa, tunajua hilo.[/QUOTE

sipendi kuamini amaa kuaminishwa kuwa wahamiaji haram ndo majambazi...majambazi wamo humu ndani na nikujuze kitu...hivi ndo mnafanya kosa kwa kusema majambazi ni wahamiaji...kwa coveer hiyo mnazidi kuzalisha majambazi sugu...alafu huwezi ukawa makini kwa kusema unadhibiti ujambazi kwa kufukuza wahamiaji haram...sijaonaa strategy ya kukomesha ujambazi....ok hilo lilikuwa kagera...na majambazi wanaoua watu mchan kweupe dar ni wahamiaji haram wa nchi gani?acheni uswahili na kushadadia mambo yasiyokuwa na tija...mnapumbazwa kwa kuongelea swala la rwanda na kagame huku issue za madawa ya kulevya zinafifia ....ni hayo kuweni makini vita si lele mama...nina uhakika na ninachosema
 
Nguruvi3 unadhani Kikwete alirejea au kurudia ushauri wake kwa PK katika mkutano wa leo?kama sivyo ni kwa nini?
 
Last edited by a moderator:
Nianzie hapo mwisho. Article hiyo ya EAC imeeleza ubaguzi kwa watu wanaoishi kihalali na siyo wahamiaji haramu. Kwahiyo kuinukuu inaonyesha jinsi gani Wanyarwanda wasioelewa maana ya EAC treaty.
Pili, hakuna makubaliano ya kuhamisha watu, mitaji na mali yaliyofikiwa katika EAC.
Kagame hajasema hilo jambo, tunachojua yeye alikuwa busy kuhamisha makao makuu ya EAC, Rwandese should blame their own stupid president apparently purported as smart guy! nay he is stupid.

Pili, angaliae hizo red, kuna mtu ana ng'iombe 200 na kipande cha ardhi. Anakiri kabisa kuwa yeye ni mhamiaji kwasababu alijua sisi ni EAC hakuna shida. Ikiwa Mtanzania aliyezaliwa Tanzania na kuhamia UK au US akiwa na miaka 59 haruhisiwi kumiliki ardhi, haki hii ya mhamiaji haramu anaipata wapi. Totally uninformed Rwandese.

Mwingine amekiri kuwa baada ya kushtukiwa akaomba hati za kuwa mkazi au raia. Yaani kwa miaka 59 hakuwahi kufikiria hivyo huku akitumia resource za nchi hii leo anataka kusamehewa kwasababu amekaa miaka 59. Hebu angalia hii.

Yupo anyedai kuwa jirani yake amechoma nyumba moto na kuchukua mali zake. Hii maana yake ni kuwa watu wa Kagera wameishi kwa dhiki na chuki lakini hawakuwa na la kufanya na sasa imepatikana nafasi wanaonyesha hisia zao.
Kama hali itaachwa ipo siku kutakuwa na mapambano kati ya wazawa na wahamiaji haramu na tutaelekea kuwa Goma.
Ndio maana tunasema upo uhalali wa kuwaondoa hawa kwasababu nyingi lakini muhimu ni wao kuwa wahamiaji haramu
.

kumbe mkistuliwa mnastuka?
 
Back
Top Bottom