aminiusiamini
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 3,577
- 2,224
wewe mwanakijiji hujui unaongea nini. Sijawahi hata siku moja kuelewa akili yako. Blah blah nyingi.
Chuki zako na kikwete ni binafsi na sizielewi zinatoka wapi.
Maamuzi ya kikwete hayakutokana chuki au vita ya maneno na that so called president of Rwanda.Waulize waliotoka kule mikoa ya nchi jirani na rwanda watakuambia,fedhea na matatizo yaliyoko kule kwasabbau ya wageni. na mara nyingi hawa watu hukumbilia nchi jirani panapokuwa na shida imetokea
pia ikumbukwe matatizo ta nchi zetu za africa ba ardhi na wapi yanapoanzia.Utagundua kwanini hawa watu waliitaji kufukuzwa. marekani hata kama una greencard ukafanya crime utaondoka nchini mwao believe me.
tukirudi katika matatizo ya waafrica na ardhk zao. Sitashangaa siku moja baadae kagera ikaitwa ni sehemu ya wanyaruanda kwasababu walikaa pale for years and years watakuwa na kila sababu kusema ni kwao.
hapa cha msingi ni kuweka mstari na kuweka solid lines on immgration issues in tanzania .
kwahiyo unapoongea hzi vitu sababu ya kikwete nakushangaa.
Chuki zako na kikwete ni binafsi na sizielewi zinatoka wapi.
Maamuzi ya kikwete hayakutokana chuki au vita ya maneno na that so called president of Rwanda.Waulize waliotoka kule mikoa ya nchi jirani na rwanda watakuambia,fedhea na matatizo yaliyoko kule kwasabbau ya wageni. na mara nyingi hawa watu hukumbilia nchi jirani panapokuwa na shida imetokea
pia ikumbukwe matatizo ta nchi zetu za africa ba ardhi na wapi yanapoanzia.Utagundua kwanini hawa watu waliitaji kufukuzwa. marekani hata kama una greencard ukafanya crime utaondoka nchini mwao believe me.
tukirudi katika matatizo ya waafrica na ardhk zao. Sitashangaa siku moja baadae kagera ikaitwa ni sehemu ya wanyaruanda kwasababu walikaa pale for years and years watakuwa na kila sababu kusema ni kwao.
hapa cha msingi ni kuweka mstari na kuweka solid lines on immgration issues in tanzania .
kwahiyo unapoongea hzi vitu sababu ya kikwete nakushangaa.