Swali tunaloshindwa kujibu na kuwaelezea watoto wetu na kizazi kipya

Swali tunaloshindwa kujibu na kuwaelezea watoto wetu na kizazi kipya

wazanaki

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2020
Posts
1,092
Reaction score
808
Wakuu, kuna story nyingi positive zinazowahusu waafrika. Kuna nyingine zinadai kua waafrika walikua powerful sana, sikatai, hili tunaweza lithibitisha hata sasa hv kwenye wakati huu. Kua waafrika wanafit kila sehemu kuanzia kwenye michezo hadi ubunifu na uwezo wao mkubwa wa kuhimili magonjwa na dhoruba za maisha.

Kuna story kama za waafrika kuishi misri na kuanzisha ustaarabu na falsafa nyingi zinazotumika mpaka leo. Na nyingine nyiiiiiiiingi ambazo zinaweza kua zimefichwa kwa madhumuni ya kisiasa.

So sio swala la kuhisi kuhusu umuhimu wa waafrika na mambo wanayoendelea kuchangia katika ulimwengu kufanya dunia iwe na furaha na ubunifu mwingi walioufanya waafrika, mfano, umeme( misri), michezo ya marshial arts, ngumi, hip hop culture, military tactics, na mengine meeengi.

Sasa sote tunajua kua mpaka hapa tulipofika kua kuna story ya kutawaliwa ilitupitia, ni kwamba hii story haijaelezewa vizuri au imegeuzwa? Maana tukumbuke katika hiki kizazi hakuna anaejua. kila mtu ufahamu wa historia anaupata shuleni au kwa kusimuliwa. Lakini anyway, tuangalie impact ya sasa, kwa maisha ya sasa inaonesha dhahiri bado tunatawaliwa kwa kiwango kikubwa.

Sasa swali ambalo watoto wa kiafrika wanapenda kuliuliza ambalo liko in very simple logic, kwamba, " kwann waafrika walitawaliwa?"
Majibu ya wazazi wenye uchungu na upendo na afrika huwa yanakua ni ya kuzunguka sana, na mara nyingi sababu zinatofautiana, kivyovyote utakavyomuelezea mtoto au kijana mzalendo kuhusu kwann tulitawaliwa bado haitampa mtoto utulivu, kwa sababu watu wengi hawalijui hili fumbo vizuri.

Kwa kifupi hili ni swali ambalo huwa linakosa majibu yenye maelezo chanya, mara nyingi majibu huwa mepesi kwenye mitazamo hasi kama vile "maafrika yalikua mapumbavu ndo maana yalitawaliwa".

Kwa hiyo basi, mpaka mashuleni mwalimu au mzazi aweze kumuelezea mwanafunzi hilo swali katika mtazamo chanya ndo inaweza kusaidia wanafunzi kua na mtazamo chanya hata wakishika nafasi za madaraka ukubwani. Ila kama hakuna maelezo sahihi ya kumjenga mtoto. Basi tutegemee negativity all day.

Ni hayo tu wakuu, uzi huu ni kwa ajili ya kujenga sio kubomoa.
 
Wakuu, kuna story nyingi positive zinazowahusu waafrika. Kuna nyingine zinadai kua waafrika walikua powerful sana, sikatai, hili tunaweza lithibitisha hata sasa hv kwenye wakati huu. Kua waafrika wanafit kila sehemu kuanzia kwenye michezo hadi ubunifu na uwezo wao mkubwa wa kuhimili magonjwa na dhoruba za maisha.
Tuna kila kitu, except kujitawala, and other have nothing, except kutuwala.[emoji856]
 
Wakuu, kuna story nyingi positive zinazowahusu waafrika. Kuna nyingine zinadai kua waafrika walikua powerful sana, sikatai, hili tunaweza lithibitisha hata sasa hv kwenye wakati huu. Kua waafrika wanafit kila sehemu kuanzia kwenye michezo hadi ubunifu na uwezo wao mkubwa wa kuhimili magonjwa na dhoruba za maisha.
USIDANGANYWE:

Waafrika walitawaliwa kwasababu walikuwa WAJINGA na hawakuwa na UMOJA.

Hawakuwa Organised at all. Imagine Mzungu mmoja anabebwa kwenye kichanja na manamba/watumwa wa kiafrika kutoka mkoa mmoja hadi mwingine yaani kigoma mpaka Kilimanjaro kisa ana gobole moja, kwanini wasimuue?

Kama Waafrika walikuwa wachawi sana kwanini hawakuwaroga hao wakoloni wafe?
Tulikuwa na madini ya chuma ya kutosha kwanini hatukuunda silaha japo bunduki tulipize kisasi?

Watu weusi ni jamii duni zaidi kiakili, tumezidiwa na Wazungu, Wahindi, Walatini amerika na Waasia, kuanzia zamani mpaka sasa.

Tazama leo hii tuna Ubunifu au Ugunduzi upi unaoisaidia dunia?

Wazee wetu walikuwa wajinga, waliokosa umoja na Dira.

Tunajipa tu moyo kwasababu za hovyo.
 
USIDANGANYWE:

Waafrika walitawaliwa kwasababu walikuwa WAJINGA na hawakuwa na UMOJA.

Hawakuwa Organised at all. Imagine Mzungu mmoja anabebwa kwenye kichanja na manamba/watumwa wa kiafrika kutoka mkoa mmoja hadi mwingine yaani kigoma mpaka Kilimanjaro kisa ana gobole moja, kwanini wasimuue?

Kama Waafrika walikuwa wachawi sana kwanini hawakuwaroga hao wakoloni wafe?
Tulikuwa na madini ya chuma ya kutosha kwanini hatukuunda silaha japo bunduki tulipize kisasi?

Watu weusi ni jamii duni zaidi kiakili, tumezidiwa na Wazungu, Wahindi, Walatini amerika na Waasia, kuanzia zamani mpaka sasa.

Tazama leo hii tuna Ubunifu au Ugunduzi upi unaoisaidia dunia?

Wazee wetu walikuwa wajinga, waliokosa umoja na Dira.

Tunajipa tu moyo kwasababu za hovyo.
Hiki ndicho tunachofundishwa shuleni.

Lakini mbona hu acknowledge vitu nilivovitaja kama hip hop culture, michezo, ubunifu( mkenya alievumbua mpesa, black america alievumbua light bulb kwenye kampuni ya thomas edison, na mengine mengi ambapo watu weusi wanazidi kutumik katik uvumbuzi, ubunifu na entertainment kama kina michael jackson, kina tyson, mayweather, usain bolt, muhamad ali na wengine wengi the best wa dunia

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Hiki ndicho tunachofundishwa shuleni.
Lakini mbona hu acknowledge vitu nilivovitaja kama hip hop culture, michezo, ubunifu( mkenya alievumbua mpesa, black america alievumbua light bulb kwenye kampuni ya thomas edison, na mengine mengi ambapo watu weusi wanazidi kutumik katik uvumbuzi, ubunifu na entertainment kama kina michael jackson, kina tyson, mayweather, usain bolt, muhamad ali na wengine wengi the best wa dunia

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Sijamaanisha kuwa hakuna chochote kilichofanywa na Mtu mweusi, hata Idea ya traffic light alileta na kufanya Mtu mweusi.

Nilichozungumza ni kuwa walichofanya ni kiduchu sanaaa kwa miaka ambayo wamesurvive duniani. Pia hizo zingine zinazoitwa gunduzi zao ni wamefanya kusupport vilivyoanzishwa na wazungu tu mfano ugunduzi wa bulb ila mengine ni uongo kabisa.

Labda uzungumzie kwny athletics stuffs ni kweli Blacks na Samoans are strongest of all races.
 
Nimekuwa nikipitia makala mbali mbali za maisha ya watu wa kale na kugundua kwamba walichokuwa wanakiwaza na kufanya kipindi kile hakina tofauti kubwa sana na sisi ila tu kuna maboresho madogo yanayotokana na factors mbali mbali ikiwemo technologia.

Hivyo basi in two tousand years to come binadamu wa wakati huo watatuona sisi ni primitive sana kwakua kutakuwa na lots of improvements.
 
Sijamaanisha kuwa hakuna chochote kilichofanywa na Mtu mweusi, hata Idea ya traffic light alileta na kufanya Mtu mweusi.

Nilichozungumza ni kuwa walichofanya ni kiduchu sanaaa kwa miaka ambayo wamesurvive duniani. Pia hizo zingine zinazoitwa gunduzi zao ni wamefanya kusupport vilivyoanzishwa na wazungu tu mfano ugunduzi wa bulb ila mengine ni uongo kabisa.

Labda uzungumzie kwny athletics stuffs ni kweli Blacks na Samoans are strongest of all races.
Tatizo ni kwamba tunabishana kutokana na vitabu tulivoandikiwa na wazungu.
Ila ulisha wahi kujiuliza. Adui yako aliekutawala, anaweza akaandika historia yenye ukweli na usawa, si ataelemea upande wake.
Kama wao ndo waliandika historia yetu, unategemea nn. Inabidi ujisumbue kuutafuta ukweli sehemu ingine

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Tatizo ni kwamba tunabishana kutokana na vitabu tulivoandikiwa na wazungu.
Ila ulisha wahi kujiuliza. Adui yako aliekutawala, anaweza akaandika historia yenye ukweli na usawa, si ataelemea upande wake.
Kama wao ndo waliandika historia yetu, unategemea nn. Inabidi ujisumbue kuutafuta ukweli sehemu ingine

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Sasa hata hiyo kututawala tu inathibitisha udhaifu wetu dhidi yao. They defeated us in every sphere. They enslaved us, they conguered us.

Kama tungekuwa able tungeresist ukoloni tangu mwanzoni kabisa.
 
Baadhi ya masomo(topic) nyingi hatukupaswa kuziweka katika mashule yetu kama hiyo ya kutawaliwa inamuaribu mtoto kisaikologia na kumjaza chuki.. bado wanatutawala tu
 
Mbona ndungai kamsaliti Hanganya kutoa siri ya mkopo trii 70 kwa umma na kua nchi hii itauzwa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kwa wazungu huko mbali, tuanze hapa hapa kwani. Lol
Wakusalitiwa ni ww mwananchi au raisi. We jamaa unachekesha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Ndugai hana cha kupoteza, we mwananchi unaechekelea kama unaangalia maigizo ndo unapoteza

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
USIDANGANYWE:

Waafrika walitawaliwa kwasababu walikuwa WAJINGA na hawakuwa na UMOJA.

Hawakuwa Organised at all. Imagine Mzungu mmoja anabebwa kwenye kichanja na manamba/watumwa wa kiafrika kutoka mkoa mmoja hadi mwingine yaani kigoma mpaka Kilimanjaro kisa ana gobole moja, kwanini wasimuue?

Kama Waafrika walikuwa wachawi sana kwanini hawakuwaroga hao wakoloni wafe?
Tulikuwa na madini ya chuma ya kutosha kwanini hatukuunda silaha japo bunduki tulipize kisasi?

Watu weusi ni jamii duni zaidi kiakili, tumezidiwa na Wazungu, Wahindi, Walatini amerika na Waasia, kuanzia zamani mpaka sasa.

Tazama leo hii tuna Ubunifu au Ugunduzi upi unaoisaidia dunia?

Wazee wetu walikuwa wajinga, waliokosa umoja na Dira.

Tunajipa tu moyo kwasababu za hovyo.

Umoja mpaka leo bado hatuna umoja..... lawama nyingi kuliko utendaji.
 
USIDANGANYWE:

Waafrika walitawaliwa kwasababu walikuwa WAJINGA na hawakuwa na UMOJA.

Hawakuwa Organised at all. Imagine Mzungu mmoja anabebwa kwenye kichanja na manamba/watumwa wa kiafrika kutoka mkoa mmoja hadi mwingine yaani kigoma mpaka Kilimanjaro kisa ana gobole moja, kwanini wasimuue?

Kama Waafrika walikuwa wachawi sana kwanini hawakuwaroga hao wakoloni wafe?
Tulikuwa na madini ya chuma ya kutosha kwanini hatukuunda silaha japo bunduki tulipize kisasi?

Watu weusi ni jamii duni zaidi kiakili, tumezidiwa na Wazungu, Wahindi, Walatini amerika na Waasia, kuanzia zamani mpaka sasa.

Tazama leo hii tuna Ubunifu au Ugunduzi upi unaoisaidia dunia?

Wazee wetu walikuwa wajinga, waliokosa umoja na Dira.

Tunajipa tu moyo kwasababu za hovyo.
Naunga mkono hoja imagine hadi leo badoo tunapigania ukeketaji etc ss hatukujaliwa vitu vingi hususan akili ni ndogo muno....
 
USIDANGANYWE:

Waafrika walitawaliwa kwasababu walikuwa WAJINGA na hawakuwa na UMOJA.

Hawakuwa Organised at all. Imagine Mzungu mmoja anabebwa kwenye kichanja na manamba/watumwa wa kiafrika kutoka mkoa mmoja hadi mwingine yaani kigoma mpaka Kilimanjaro kisa ana gobole moja, kwanini wasimuue?

Kama Waafrika walikuwa wachawi sana kwanini hawakuwaroga hao wakoloni wafe?
Tulikuwa na madini ya chuma ya kutosha kwanini hatukuunda silaha japo bunduki tulipize kisasi?

Watu weusi ni jamii duni zaidi kiakili, tumezidiwa na Wazungu, Wahindi, Walatini amerika na Waasia, kuanzia zamani mpaka sasa.

Tazama leo hii tuna Ubunifu au Ugunduzi upi unaoisaidia dunia?

Wazee wetu walikuwa wajinga, waliokosa umoja na Dira.

Tunajipa tu moyo kwasababu za hovyo.
Ukweli mchungu huu ambao wengi wetu hatupendi kuusikia.
Tunachowazidi ngozi nyeupe ni misambwanda na ukubwa wa viungo vya uzazi tu.
 
Wakusalitiwa ni ww mwananchi au raisi. We jamaa unachekesha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Ndugai hana cha kupoteza, we mwananchi unaechekelea kama unaangalia maigizo ndo unapoteza

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Kwan huyo lissu akitoa siri za nchi kwa wazungu hao uliowataja wanapoteza nn? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwan huyo lissu akitoa siri za nchi kwa wazungu hao uliowataja wanapoteza nn? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani tony blair akiwa mshauri wa raisi wetu mpendwa ww unapoteza nn[emoji23][emoji23].

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
USIDANGANYWE:

Waafrika walitawaliwa kwasababu walikuwa WAJINGA na hawakuwa na UMOJA.

Hawakuwa Organised at all. Imagine Mzungu mmoja anabebwa kwenye kichanja na manamba/watumwa wa kiafrika kutoka mkoa mmoja hadi mwingine yaani kigoma mpaka Kilimanjaro kisa ana gobole moja, kwanini wasimuue?

Kama Waafrika walikuwa wachawi sana kwanini hawakuwaroga hao wakoloni wafe?
Tulikuwa na madini ya chuma ya kutosha kwanini hatukuunda silaha japo bunduki tulipize kisasi?

Watu weusi ni jamii duni zaidi kiakili, tumezidiwa na Wazungu, Wahindi, Walatini amerika na Waasia, kuanzia zamani mpaka sasa.

Tazama leo hii tuna Ubunifu au Ugunduzi upi unaoisaidia dunia?

Wazee wetu walikuwa wajinga, waliokosa umoja na Dira.

Tunajipa tu moyo kwasababu za hovyo.
Hata sasa waafrika bado ni wajinga.
 
Trump akati anatutukana na kutuambia ukweli sisi alisema muafrika muda wote anawaza starehe hata hapa Marekani ni wako kwny entertainment tu kama uliowataja hpo juu ni usanii tu wamejikita. Asa burdani ni sehemu ndogo ya kubadilisha ulimwengu.
Kipindi cha mavuno huwa ni ngoma miezi kadhaa. Nenda nyasa uone. Mtu kavuna vijihogo ngoma ya kioda miez kadhaa kuanzia August hadi Novemba. Shit!!
 
Trump akati anatutukana na kutuambia ukweli sisi alisema muafrika muda wote anawaza starehe hata hapa Marekani ni wako kwny entertainment tu kama uliowataja hpo juu ni usanii tu wamejikita. Asa burdani ni sehemu ndogo ya kubadilisha ulimwengu.
Kipindi cha mavuno huwa ni ngoma miezi kadhaa. Nenda nyasa uone. Mtu kavuna vijihogo ngoma ya kioda miez kadhaa kuanzia August hadi Novemba. Shit!!
Kwenye ngoma hapa ndo huwa nacheka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Nasikia waafrika walikua watu wa kucjeza ngoma sana kuliko kitu kingine. Maisha yote yalikua yameishia kwenye ngoma

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom